Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Hizi dini za kuletewa hizi zinavioja Sana. Mungu mlikutana nae wapi akayasema yote hayo? Au utashi wa binadamu ndio umepelekea kuyaandika hayo? Labda tuwaulize Ismail ni mtoto wa nani? Maana Abraham alimpata nje ya ndoa.

Masuala ya kusema ndoa ya kanisani au msikitini ni halali na nje ya hapo ni haramu yanaudhi Sana. Yaani mwanangu asirithi Mali au asitumie jina langu kisa dini! Basi Bora niachane na hiyo dini kuliko kupoteza uhusiano wa damu baina yangu na mtoto.

Jambo la kushangaza mtoto huyo huyo anakua na majina meeengi ya kumlaani. Lakini iwapo mama yake ukafunga nae tu ndoa japo Kwa kuchelewa yanabadilika. Kwahiyo kumbe shida sio mtoto Bali mnataka mwenye mtoto afunge ndoa na baba wa mtoto bila kujali ni mke wa pili, tatu au nne Sasa ndio Nini?

Waliowaletea dini wenyewe juzi wametengua kauli inayosema kuishi bila ndoa ni haramu na adhabu yake ni kifo. Walitengua Ili Ronaldo na mchumba wake waendelee na maisha, je nao waliambiwa na Mungu kuwa iwapo mtu ni maarufu Sheria haimhusu? Na wewe ambae upo kwenye familia ya kindoa utasema maneno hayo hayo iwapo mama Yako akisema huyo sio baba Yako? Muache kukalili na kuita binadamu wenzenu majina mabaya.

Kanuni zenu hizo hizo zimepelekea mabinti wengi kupoteza Malinda kabla ya ndoa Kwa hofu ya kupoteza bikra kabla ya ndoa au kuzaa kabla ya ndoa. Sasa unakua unafanya Nini Kama mtu unahofia kuchepuka Ili usizae haramu badala yake unatindua Malinda ya watoto wakiume wa madrasa Ili kutimiza haja zako? Na kanda zenye watu Kama nyinyi magasho wengi kwasababu ya hofu ya kuzaa nje kwahiyo mnaona Bora kujipooza huko .
Kote sawa ila ulipofika hapa umeboranga, yaani umeharibu, yaani umepuyanga, yaani umeandika pumba, yaani huna AKILI.

Yaani umeshindwa kutambua ni DINI ipi inaongoza kwa kutinduana marinda na kufunga ndoa za jinsia moja..?

Wewe ni taahira.


Baki na msimamo mmoja, na usipendelee upande wowote wa Dini.

Kama unaamini Dini ni upuuzi, haina haja ya kuponda dini moja , ponda dini zote.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Basi tu ndio dini zetu na sisi wanadamu tunatofautiana katika mapokeo ya hizi dini zetu.
Yaani mimi nifanye uzinzi na mwanamke tukiwa hatujaoana kwa raha zetu, halafu tukioana ama kutubu dhambi hiyo basi tunafutiwa lakini mtoto aliyetokana na starehe zetu yaani hajui chochote kuhusu starehe yangu na mama yake ndio hiyo dhambi inamuhuku hadi kifo chake nadhani huyo mnayemwabjdu is very unfair.

Yaani nyie wazazi mzini halafu atokee mtoto wewe mwanaume umkatae na kumpachika jina eti MWANAHARAMU ni kwa nini hilo jina lisiwe MZAZI HARAMU? Yaani ukipita popote baba uitwe hivyo lakini mnampa mzigo mtoto ambaye wakati mimba inatungwa hata hakuwa na habari ya uharamu maana sperms na ovules za wazazi hazina tofauti na zile za walio kwenye ndoa hamuoni hii ni unfair.

1. Huyo mnayemwabudu kwa nini asingejwwka mzigo huu kwenu wazazi?
2. Kwamba mnayemwabudu hakujua kuww kuna madhalimu na wabaya huwa wanabaka?
3. Hakujua kuww huu ni unyanyapaa kwa kiumbe ambacho hakikuwa na habari juu ya huo uzinzi?
4. Kwa nini kufanya uzinzi kuonekana ni dhambi ya muda mfupi lakini zao la uzinzi kuwa na adhabu ya milele?
5. Kwa nini hajawaagiza kukazia juu ya watoto wa Ibrahim mjifunze?
6. Huyo mnayemwabudu anawaza sawasawa?
7. Je hajui kuwa kuna wengine wanaanza kumwabudu pia baada ya kuwa wamemaliza kuzaa halafu leo unalazmishwa uwaite wanao haramu?
8. Mbona naona huyu mnayemwabudu ni mfarakanishi? Yaani leo mimi na mke wangu tulikua tukiishi kwa kufuata imani tofauti na hii tukajaaliwa kupata watoto 6, leo nikiamua kuja kwenye imani hii mpya naambiwa hao wanangu wote 6 ni haramu na hawatambuliwi😂😂😂😂😂.

MSIMAMO WANGU:
"HAKUNA MTOTO HARAMU BALI KUNA WAZAZI HARAMU"
Huo ni msimamo wako na tuna uheshimu Sana chief.

Naona kuna ufahamu mbaya juu ya hili swala au uelewa mbaya, Kwanza haijasemwa mtoto asitunzwe au kupewa huduma zote kama mtoto laa!

Atapata huduma zote kama watoto wengine pale nyumbani lkn kuna baadhi ya mambo huwezi kumfanyia na yeye hawezi kuyapata.

Huwezi kumuita Kwa jina ubini WA Baba yako,pili hawezi Kurithi Mali baada ya kufa kwako.

Lakini

Unaweza kumpa Mali na kumuwezesha katika mambo mengi Tu.

Na haifai kumuita mtoto wa haramu wala haifai hata yeye kujiona ni mtu tofauti na wengine.

Wenye kuelewa basi wataelewa
 
Hakuna mahali nimesema Waarabu na Wazungu wameanzisha dini. Usiniwekee maneno ambayo sijayasema.

Nimesema WAARABU NDIO WAMEANDIKA HICHO KITABU Unachokiamini na ambacho unakitumia kumtenga mtoto wako wa nje ya ndoa.
Sasa kuna tofauti Gani Kwa kusema hivyo

Yaani wewe huna tofauti na watu ambao walipinga Mitume na kutaka kuona Mitume ni Malaika au wamuone Mungu mwenyewe live Kwa macho yao
 
Mimi binafsi ni mhanga wa hili Jambo lakini namlea mwanangu vizuri Sana,ingawa sikupenda kabisa mwanangu WA kiume asichukue Jina la ubini wangu lkn sina namna kwakuwa namuamini Allah huyo mtoto ataitwa Kwa jina la ubini WA mama yake.

Kwangu Mimi neno la Mwenyezi Mungu lipo juu ya kila kitu.

Kwahiyo kama Baba natoa huduma zote stahiki.
Samahani mkuu, kama dini imekukataza kumtambua huyo mtoto je unatoa wapi mamlaka ya kumuhudumia na kusema kuwa wewe ni baba yake wakati huyo ni mtoto wa mama asiye na baba??

Ukinipa majibu kwa vielelezo vya maandiko toka kwa unayemwabudu vikieleza hayo ili tujue kama umeishika hiyo dini ama unachagua kushika baadhi ya vipengele itakua vema zaidi. Andiko please
 
Chief wewe ulisema hao watoto wa nje ya ndoa wamejaaliwa na Mungu ndio maana unaona sawa Tu,ndio nikakujibu je wote waliojaaliwa wapo sahihi?

Nikatoa mfano hapo majambazi na wauza unga.

Mwanaume anawajibishwa Kwa kuwekwa Mbali na mtoto Kwa maana ananyang'wa mtoto na haki zake ikiwemo kurithiwa na kuitwa Jina la ubini wake
Kwa hiyo hapo unaona mwanaume ndio kawajibishwa Mkuu?

Ipo shida mahali
 
Sasa kuna tofauti Gani Kwa kusema hivyo

Yaani wewe huna tofauti na watu ambao walipinga Mitume na kutaka kuona Mitume ni Malaika au wamuone Mungu mwenyewe live Kwa macho yao
Sasa kwani ni uongo hawakuandika waarabu? Au ni Mungu alikidondosha toka mawingini mpaka duniani na nyie mkakidaka!!??

Mohamad (mwarabu) alisimulia maono yake aliyodai kupewa na Alah na wafuasi wake (waarabu wenzake) wakayakariri na wakayaandika.. Sasa hapo nani mwandishi?

Hakuna kitabu kiliwahi kuandikwa na Mungu, Vitabu VYOTE vimeandikwa na wanadamu, including hiyo Quran unayoiamini.
 
Mkuu ETUGRUL BEY issue ya nyongeza hapa.
Umesema kuwa kuna limitations za baadhi ya haki kwa huyo mtoto kwa baba yake(ambapo unasema hana baba kwa mujibu wa dini yako).

1. Kama hana baba unaishi vipi naye kwako na kumruhusu akuite baba?
2. Kuna sheria yoyote ya dini inakutaka kumuhudumia huyo mtoto haramu wako?
3. Je usipomuhudumia kama mwanao kuna kosa lolote?

Asante.
 
Ww umeniuliza swali kana kwamba mtoto ni hadhabu kwa mwanamke na mimi nime kujibu kuwa mtoto sio adhabu kwa mama, mwanamke anaye hesabu kulea mtoto kama adhabu ni mpumbavu.
Hapa ulijibu ukiwa na maana gani? Kama ulikuwa umaanishi mwanamke kulea mtoto aliezaa nje ya ndoa ndio adhabu yake?
Ww mwanaume adhabu yako ya uzinzi iko inakusubilia kwa muumba.
 
Kwa hiyo mungu kukataza uzinzi ni hiyo ni roho mbaya?
Kwa hiyo binti yako huyo unaye mlea ukija kugundua kuwa ndo kipozeo cha nyege za vijana hapo mitaani kwako utamuita umpongeze?
Mungu kuja kukataza kitu ujue kina madhara, uzinzi umeshababisha matatizo makubwa ndani ya jamii.
Wanadamu kwa kumuumba Mungu hawajambo,huyo Mungu alitokea wapi hadi akaja kutoa hayo maagizo?
 
Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.

Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.

Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.

Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.

Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.

Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.

Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.

Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.

Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.

Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Samahani Mkuu, hivi Ishmael ambaye alikuwa mtoto ya kijakazi wa Ibrahimu yaani anatumia ubini wa nani?
 
Hizi dini za kuletewa hizi zinavioja Sana. Mungu mlikutana nae wapi akayasema yote hayo? Au utashi wa binadamu ndio umepelekea kuyaandika hayo? Labda tuwaulize Ismail ni mtoto wa nani? Maana Abraham alimpata nje ya ndoa.

Masuala ya kusema ndoa ya kanisani au msikitini ni halali na nje ya hapo ni haramu yanaudhi Sana. Yaani mwanangu asirithi Mali au asitumie jina langu kisa dini! Basi Bora niachane na hiyo dini kuliko kupoteza uhusiano wa damu baina yangu na mtoto.

Jambo la kushangaza mtoto huyo huyo anakua na majina meeengi ya kumlaani. Lakini iwapo mama yake ukafunga nae tu ndoa japo Kwa kuchelewa yanabadilika. Kwahiyo kumbe shida sio mtoto Bali mnataka mwenye mtoto afunge ndoa na baba wa mtoto bila kujali ni mke wa pili, tatu au nne Sasa ndio Nini?

Waliowaletea dini wenyewe juzi wametengua kauli inayosema kuishi bila ndoa ni haramu na adhabu yake ni kifo. Walitengua Ili Ronaldo na mchumba wake waendelee na maisha, je nao waliambiwa na Mungu kuwa iwapo mtu ni maarufu Sheria haimhusu? Na wewe ambae upo kwenye familia ya kindoa utasema maneno hayo hayo iwapo mama Yako akisema huyo sio baba Yako? Muache kukalili na kuita binadamu wenzenu majina mabaya.

Kanuni zenu hizo hizo zimepelekea mabinti wengi kupoteza Malinda kabla ya ndoa Kwa hofu ya kupoteza bikra kabla ya ndoa au kuzaa kabla ya ndoa. Sasa unakua unafanya Nini Kama mtu unahofia kuchepuka Ili usizae haramu badala yake unatindua Malinda ya watoto wakiume Ili kutimiza haja zako? Na kanda zenye watu Kama nyinyi magasho wengi kwasababu ya hofu ya kuzaa nje kwahiyo mnaona Bora kujipooza huko .
Umemaliza kazi kijana kanywe soda
 
Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.

Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.

Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.

Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.

Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.

Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.

Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.

Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.

Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.

Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Fala Sana ,upeo wako inaonekana mdogo...jitahidi kutumia bundle vizuri
 
Sijui kwanini watu wanapenda kujenga hoja za kibabe kwenye swala ambalo liko wazi kabisa. Sasa yeye amezaliwa amekuta kanuni. Basi anaanza kupingana nazo anaamini akizijengea hoja itahalalisha uovu anaofanya. Haramu ni haramu tu
Kwel kabisa madam Blessed Tanzanian ,watu wanataka mambo yawe wanavyotaka wao ili wapate uhalali WA kubariki maovu Yao,Hilo ndio tatizo hapo
 
Huyo Alah ni mungu wako wewe kwa imani yako. Elewa kwanza hili, usiendelee kukaririshwa msikitini.

Pili:
1. Mungu wa waisrael sio Alah, wana mungu wao anaitwa Yahweh/Jehovah na ameandikwa kwenye vitabu vyao.

2. Mungu wa wazungu sio Alah na wala hawamuamini.

3. Mungu wa Jamii za wachina sio Alah ni Budha.

4. Mungu wa wahindi sio Alah, wana miungu yao na wanaiamini na wanaona wewe unayemuamini Alah umepotea.

Mwisho kabisa:
Kwangu mimi, Alah sio mungu wangu na wala simtambui. Mungu wangu mimi anaitwa Jehovah/Yahweh.

Kila mtu ana mungu anayemuamini, kaeni kwa kutulia.
Sawa mkuu kutomtambaua hakufuti ukweli wq mambo,tuwe na Subira mapaka pale roho zetu zitakapo Acha mwili tutapata majibu mazuri sana
 
Sasa kwani ni uongo hawakuandika waarabu? Au ni Mungu alikidondosha toka mawingini mpaka duniani na nyie mkakidaka!!??

Mohamad (mwarabu) alisimulia maono yake aliyodai kupewa na Alah na wafuasi wake (waarabu wenzake) wakayakariri na wakayaandika.. Sasa hapo nani mwandishi?

Hakuna kitabu kiliwahi kuandikwa na Mungu, Vitabu VYOTE vimeandikwa na wanadamu, including hiyo Quran unayoiamini.
Kauli zako zinaonyesha kuwa huenda huamini Maandiko au hata huamini kuhusu maono au wahyi kutoka Kwa Mungu,kwahiyo naona tuishie hapa
 
Mkuu ETUGRUL BEY issue ya nyongeza hapa.
Umesema kuwa kuna limitations za baadhi ya haki kwa huyo mtoto kwa baba yake(ambapo unasema hana baba kwa mujibu wa dini yako).

1. Kama hana baba unaishi vipi naye kwako na kumruhusu akuite baba?
2. Kuna sheria yoyote ya dini inakutaka kumuhudumia huyo mtoto haramu wako?
3. Je usipomuhudumia kama mwanao kuna kosa lolote?

Asante.
Asante Kwa maswali yako mazuri chief

Kwanza unaweza kuishi au usiishi nae kwasababu Hana nasabu na wewe kabisa,Ila kuna mazingira ambayo huenda yakapelekea kuishi nae,mathalani umemuoa mama yake,hapo bilashaka utaishi nae,na atakuita Baba ingawa sheria haitambui Hilo.

Hakuna sheria ya Dini ambayo inamtaka mtu kumhudumia huyo mtoto,isipokuwa unaweza kumhudumia kama ambavyo ungeweza kuhudia yatima na watu wenye uhitaji

Hakuna kosa usipo muhudumia kwasababu sheria haitambui kama ni mwanao,Ila Busara ni kumhudumia


Kuhusu andiko katika Ile comment yako ya awali, bado natafuta IPO katika Sura gani hasa,Ila nitakuletea
 
Back
Top Bottom