Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Kwa maelezo yako ni kwamba hata yeye hakuwepo, kama ni absolute nothingness, in every sense of the word (unayoijua na usiyoijua) , means hakuwepo, hata consiousness yake, haikuwepo, ili kitu kiwepo, inabidi kiwepo. Haiwezekani kitu hakipo halafu useme kipo, how?!
Ufahamu wako wa kuhoji haunitoshelezi Mheshimwa.

Uwepo wa nukta A hali yake ni lazima ufanane na uwepo wa nukta B?

Labda nilielezee kwa mifano: Tabaka la viumbe hai liko kwenye mpangilio wa kushangaza na wanasayansi kila mwaka wanakuja (wanavumbua) sheria mpya zinazoendana na mpangilio huo. Katika elimu ya fizikia, ili mabadiliko yaweze kutokea kwenye dutu, dutu hiyo itabidi ibadilike.

Mfano mwengine: Hewa ni mchanganyiko wa nitrogen 78%, oxygen 21% na noble gases ambayo ni 1%. Hewa si kitu kimoja bali ni mchanganyiko. Basi oxygen angezidi kipimo cha 21% angeweza kuyachoma mapafu yetu. Na angelikuwa chini ya 21% asingeweza kuchoma rutuba za damu. Na isingewezekana binadamu na wanyama kuishi. Kipimo hiki hakibadiliki kutoka kwenye sehemu kwenda nyengine hata mvua ikinyesha.

Haya ni mabadiliko yaliyo kwenye mpangilio wa kushangaza. Na mabadiliko haya hayajaanza leo wala jana, tangu dunia ilipoanza kusapoti uwepo wa viumbe hai mpaka sasa. Hii inaonyesha yupo aliyeweka huu mpangalio. Huu utaratibu upo pia ndani ya kanuni zinazojulikana za kifizikia, kimia, astronomy n.k. Mpangilio wa kanuni hizo upo kimahesabu.

Huu mpangilio si wa bahati mbaya, bali unaonekana una msimamizi, na msimamizi huyu anaonekana ni mwenye uwezo, mda wote yupo hai, mjuaji wa kila kitu, kusikia kila kitu, mwenye kuona kila kitu, mwenye kusema na mwenye kuumba. Kwa sifa kama kutokuwepo, kifo, ujinga, kutokuweza au kuondolewa na wengine, kulazimishwa, uziwi, upofu na ububu ni sifa zenye kasoro na hazijakamilika. Kwa hivyo basi sifa zenye kasoro kama hizo haziwezi kuwa kwa msimamizi, mleaji wa kanuni na mahesabu hayo maalumu.

Nukta yangu ni nini? Tizama sifa zake na sifa zako wewe zinaendana? Narudi awali kwenye swali langu; Uwepo wa nukta A hali yake ni lazima ufanane na uwepo wa nukta B? Sifa za A ni lazima zifanane na za B? Uwepo wako wewe ni lazima ufanane na uwepo wa Mungu? Nguvu zako ni lazima zifanane za nguvu za Mungu? Ufahamu wako ni lazima ufanane na wa Mungu? Hata logic inakataa.

Alikuwepo Mungu pasipo na chochote kuwepo!

Na nani aliyekuambia pasipokuwepo kitu, hicho kitu nacho hakipo? Space ipo, ipo kwenye nini?
 
Kwahiyo unataka kunambia kabila la Dogon kule nchini Mali waliohifadhi kumbukumbu za mababu zao ni Wazungu mpaka wadanganye kwamba mababu zao wa kale huko misri walitembelewa na Miungu kutoka Orion mpaka wadanganye?
Think twice Broo Hata hao Wazungu waliambiwa na wamesoma text za kale ya kwamba wamisri wa kale waliweza cooperate na viumbe kutoka nyota za mbali kitu ambacho hata wao kinawashangaza iliwezekanaje?

Ukweli utabaki kua ukweli tu daima ya kwamba mababu wa kale huko misri walifikia maendeleo makubwa mpaka kuweza kushirikiana na viumbe kutoka Orion's!

Acha kubeza ukweli mchungu!
Okay! Na maendeleo ya sasa vumbuzi kubwa ya nchi (maeneo) tofauti tofauti yanachagizwa na nini?
 
Okay! Na maendeleo ya sasa vumbuzi kubwa ya nchi (maeneo) tofauti tofauti yanachagizwa na nini?
Mkuu chunguza kwanini Wazungu miaka ya 1400's walianza kuizunguka Dunia,wakitumia nguvu kubwa sana na kuwekeza Pesa nyingi kuwa finance kina Captain Magellan, Christopher Columbus,Vasco da Gama, Hernandez Cortez nk kwenda pande za mbali za Dunia kuchunguza vitu?
Unaambiwa jamaa kama
Hernan Cortez alibeba tablets za Siri kutoka huko Jamii za Aztec, Maya, Peru nk
Tablets nyingine walizibeba misri na huko Mesopotamia ya Assyrian na Babylon wakaanza kuzifungua code Na ndio maana miaka 1880's mapinduzi ya viwanda yalitokea ghafla sana kiasi kwamba Kuna baadhi ya vitu kama ingines na mitambo mbali mbali ilianza tengenezwa Kwa Kasi sana na ndio Ilikua miaka ya mageuzi ya Dunia ndani ya Muda mfupi sana ukilinganisha na historia ya kuhusle miaka maelfu ila ndani ya Karne Moja tu Kila kitu kiakawa kimeundwa
Utaona magari,balloons,marine ingines,train ingines
Aircraft zikaanza kufanyiwa innovation
Mapinduzi mengi ya kijamii yalizuka na kuibadilisha Dunia kua kama ilivyo Hii Leo
Hii ilitokea ndani ya Karne Moja na nusu tu Kila kitu kikawa top
Mpaka miaka 1915 vita ya kwanza ya Dunia inapigwa watu walikuwa na mashine za hatari sana zilizoundwa Muda mfupi tu!

Hayo ni maendeleo yaliyochagizwa na Accient writings zenye ujuzi wa Hali ya juu na ndio maana mataifa makubwa yanajua Siri ya mchezo!
 
Hayo uliyoyauliza hapa kama masihara au kwakujivunia uzima wako yatakuja kukuadhibu soma coment zote ukimaliza naomba utubie kwa ulicho kiongea Mungu ni mwingi wa kusamehe ila ukikaza sana kichwa ukifa kaulize hayo maswali ukiwa kaburini utajibiwa
 
waliokua wanatumia zana za Mawe ni Homo Elactus
Ambao walikua Bado Wana u primitive
Baada ya Annunak kufika ndio wakamfanyia cloning project akawa homo sapiens Sapiens aliekamilika na super intelligent

Hata wanasayansi wanakili kwamba kulikua na mabadiliko ya ghafla Sana ya kimazingira maana homo Elactus walibadilika ndani ya Muda mfupi na kua homo sapiens kitendo kinachodaiwa kulikua na mwingiliano wa ghafla wa kitu kisicho Cha kawaida katika DNA zao
Yaani wanadai Homo Elactus Alikua kawaida tu ila baadaye ikaonekana ana DNA zilizopandikizwa kutoka Nje ya mfumo wetu wa Nyota na kumfanya awe modern Man na hapo hapo anaanza ustaarabu mkubwa wenye ujuzi wa kushangaza
Hivyo nadharia za Annunak kumproject Zina mashiko!
Kama Unakubaliana Na Hayo basi Hata Wale waliosema Sisi Tumetokana Na Nyani Wapo sawa.

Kwamba Nyani walibadilika Wakawa Binadamu. Kitu unachosema Kikichunguzwa Kwa Muda Mrefu kitaonekana Hakina Ukweli ndani yake. Kama Ilivyo kwa Binadamu kutokana na Nyani.

Na Yote hayo Hayatakuwa tofauti na Vitabu vya Dini Mbalimbali tu Hzii tulizonazo
 
Ulichokiandika hakina tofauti na wanaoandika kwa mlengo imani ya dini. Umekielezea ulichokiamini nao wanaelezea wanachokiamini.

Unajua katika race zote ulimwenguni mzungu ndiye race ya mwisho kupata elimu na kuendelea mpaka leo hii. Kwa kila zama ziliendelea kielimu, kiuchumi, kitabibu na kiteknolojia kulingana na zama husika. Mzungu ndiye akawa race ya mwisho kurithi haya.

Lakini mzungu alichokifanya ni kuzima vumbuzi za nyuma kwa kuzinyanyua kuzifanya za kwake husika na kwa mlengo huo zama zilizopita akazifanya ni dark ages, ndilo jina alilolipa. Na kama nilivyoelezea hapo awali; asili ya mzungu kupata elimu ni Misri ya kale. Anachokifanya mzungu ni kupoteza ushahidi wa maendeleo ya kiujumla ya zama zilizopita kwa kupachika ANUNAKI, na kama ukihitaji kulifahamu hili zaidi angalia documentaries zinazoelezea maendeleo ya Misri ya kale, wazungu wanakataa wanasema kwa karne hizo binadamuasingekuwa na ujuzi huo bali kuna msaada wa waziunaonekana aliupata. Kutoka kwa nani? Jawabu wanakupatia ni ANUNAKI.

Hivyo, hili suala la ANUNAKI usiliangalie kwa upande mmoja wa chapa ya sarafu, liangalie kwa pande zote mbili. Jawabu utakalolipata ni suala si ANUNAKI, suala ni kuna kitu wanajaribu kukifanya.

Imani yako juu ya ANUNAKI naiona haina tofauti na imani ya wale wanaosema wanaoamini vitabu vitakatifu vya Mungu.
Hadi leo hawaelewi jiwe la tani 10 linapandishwaje hadi kwenye kilele cha pyramid bila vifaa vya hydraulics kama vya sasa, na wakiambiwa hao wamisri wa kale walikuwa weusi wanagoma na kupindisha ukweli hasa kwenye movies zake. Mzungu hapa anatupiga changa la macho
 
Ufahamu wako wa kuhoji haunitoshelezi Mheshimwa.

Uwepo wa nukta A hali yake ni lazima ufanane na uwepo wa nukta B?

Labda nilielezee kwa mifano: Tabaka la viumbe hai liko kwenye mpangilio wa kushangaza na wanasayansi kila mwaka wanakuja (wanavumbua) sheria mpya zinazoendana na mpangilio huo. Katika elimu ya fizikia, ili mabadiliko yaweze kutokea kwenye dutu, dutu hiyo itabidi ibadilike.

Mfano mwengine: Hewa ni mchanganyiko wa nitrogen 78%, oxygen 21% na noble gases ambayo ni 1%. Hewa si kitu kimoja bali ni mchanganyiko. Basi oxygen angezidi kipimo cha 21% angeweza kuyachoma mapafu yetu. Na angelikuwa chini ya 21% asingeweza kuchoma rutuba za damu. Na isingewezekana binadamu na wanyama kuishi. Kipimo hiki hakibadiliki kutoka kwenye sehemu kwenda nyengine hata mvua ikinyesha.

Haya ni mabadiliko yaliyo kwenye mpangilio wa kushangaza. Na mabadiliko haya hayajaanza leo wala jana, tangu dunia ilipoanza kusapoti uwepo wa viumbe hai mpaka sasa. Hii inaonyesha yupo aliyeweka huu mpangalio. Huu utaratibu upo pia ndani ya kanuni zinazojulikana za kifizikia, kimia, astronomy n.k. Mpangilio wa kanuni hizo upo kimahesabu.

Huu mpangilio si wa bahati mbaya, bali unaonekana una msimamizi, na msimamizi huyu anaonekana ni mwenye uwezo, mda wote yupo hai, mjuaji wa kila kitu, kusikia kila kitu, mwenye kuona kila kitu, mwenye kusema na mwenye kuumba. Kwa sifa kama kutokuwepo, kifo, ujinga, kutokuweza au kuondolewa na wengine, kulazimishwa, uziwi, upofu na ububu ni sifa zenye kasoro na hazijakamilika. Kwa hivyo basi sifa zenye kasoro kama hizo haziwezi kuwa kwa msimamizi, mleaji wa kanuni na mahesabu hayo maalumu.

Nukta yangu ni nini? Tizama sifa zake na sifa zako wewe zinaendana? Narudi awali kwenye swali langu; Uwepo wa nukta A hali yake ni lazima ufanane na uwepo wa nukta B? Sifa za A ni lazima zifanane na za B? Uwepo wako wewe ni lazima ufanane na uwepo wa Mungu? Nguvu zako ni lazima zifanane za nguvu za Mungu? Ufahamu wako ni lazima ufanane na wa Mungu? Hata logic inakataa.

Alikuwepo Mungu pasipo na chochote kuwepo!

Na nani aliyekuambia pasipokuwepo kitu, hicho kitu nacho hakipo? Space ipo, ipo kwenye nini?
Nakujibu hayo yote kwa namna rahisi kabisa. Katika chujio lenye vitundu vya sentimita 1, unategemea jiwe la sentimita 2 lipite? Na kila wakati yakipita mawe ya sentimita 1 tu na si mengine utashangaa? Ulimwengu wetu kuanzia mwanzo ni chujio, kinachokidhi vigezo tu ndio kinabaki. Hence evolution (natural selection and adaptation). Na nilishafafanua kwenye uzi huo chini

 
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi?
MUNGU NI MUNGU.... Yeye ni mwanzo, na pia mwisho. Alikuwepo tangu mwanzo, yupo na atakuwepo to the infinity. Wewe utaondoka na vizazi vyako vyote... Lakini yeye atakuwepo. Aliamuru ulimwengu nao ukatokeza... Hazuiliwi na nafasi , anakaa popote... Beyond space !!
 
MUNGU NI MUNGU.... Yeye ni mwanzo, na pia mwisho. Alikuwepo tangu mwanzo, yupo na atakuwepo to the infinity. Wewe utaondoka na vizazi vyako vyote... Lakini yeye atakuwepo. Aliamuru ulimwengu nao ukatokeza... Hazuiliwi na nafasi , anakaa popote... Beyond space !!
Sijabisha, aliumba akiwa wapi?
 
Back
Top Bottom