YEHOVA= MWENYEZI MUNGU=YAHWEH.Tutofautishe kati ya majina ya cheo na majina ya pekee hivyo Mungu ambaye ni muumba mbingu na nchi ana majina mengi ya cheo kulingana na ukuu wake kwahyo unaweza kumuita Mungu,bwana,mwenza yote,mwenyeenzi kuu, n.k lakini anajina la Pekee ambalo linapatikana Zaburi 83.18 jina hilo ni YEHOVA .jina hili ndo humtofautisha na miungu mingine
Mungu ni MMOJA, na YESU KRISTO /YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.utaamua wewe unavyotaka kuita ila haya machache
tajiri
kiongozi
mkurugenzi
mkuu
Analo.Mungu hana jina
Hayo siyo majina ni sifa zakeMajina yote mazuri ni yake
Yawhe
Jehova Jire
Jehova Rafa
Jehova Nisi
..........
........
hana...Analo.
Analo.hana...
Alipewa na nani?Analo.
Hakupewa na mtu,Alipewa na nani?
Allah ni kiarabu tu, kwa kiswahili ni Mungu kwa kiingereza ni God.Hizo ni sifa na sio Majina
Mungu wa Waislamu anaitwa Allah.
Hilo ni Jina la kimamlaka, la office.Anaitwa Niko
Unajuaje kuwa hakupewa na mtu? Alipolifunua alisema kuwa kajipa mwenyewe? Jina alilitamka kwa lugha gani?Hakupewa na mtu,
Alilifunua Jina lake wanadamu tulijue.
AGANO la kale,Unajuaje kuwa hakupewa na mtu? Alipolifunua alisema kuwa kajipa mwenyewe? Jina alilitamka kwa lugha gani?
Binadamu ndo tunampa majina ili angalau kuwezesha akili ziweze mtafsiri. Fuatilia mazungumzo ya Musa na kijiti kinachowaka ila hakiteketei, utaelewa.
Alisema ndo jina lake halisi? Usipotoshe boss.AGANO la kale,
Jina la Mungu halikufunuliwa,
Alijifunua Kwa Majina mbalimbali kulingana na office na mamlaka.
AGANO jipya, Jina la Mungu limefunuliwa wazi kabisa,
The name above all names,
The name of Jesus.
MUNGU ni MMOJA na YESU KRISTO /YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.
Amen
Soma (Wafilipi 2:9-11)Alisema ndo jina lake halisi? Usipotoshe boss.
YESU ni utambulisho wa MUNGU duniani akiwa katika umbile la mwanadamu, hata yeye YESU alipokuwa duniani hajawahi kusema jina la MUNGU, hata alipokuwa anakufa msalabani aliita jina ambalo baadae ilijulikana kumbe si jina akikuwa akiita MUNGU WANGU, MUNGU WANGU.
Boss, Anzia fungu la 5 sio 9, ni moja ya mafungu yanayomtenganisha MUNGU na YESU. Ukisoma haya mafungu ndipo unaona utofauti wa MUNGU MUNGU na MUNGU YESU.Soma (Wafilipi 2:9-11)
Hilo ndilo JINA pekee la Mungu tulilofunuliwa WANADAMU.
Limefunuliwa na Nani????AGANO jipya, Jina la Mungu limefunuliwa wazi kabisa,
Mungu mwenyewe amefungua codes Jina lake likajulikana.Limefunuliwa na Nani????