jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 556
- 830
Ni ukwel mchunguNdugu achana nao, muasi siku zote huwa na CHUKI kubwa kwa aliyemuasi kuliko hata adui wa aliyemuasi
Unaona hoja kuu hapa ni nini!!? Ni kuanguka kwa kanisa KATOLIKI, ndiyo tamanio lao hawajui kuwa kuanzishwa kwa makanisa yao ni mpango wa shetani kunyong'onyeza huduma na injili, wanatamani kanisa liangamie
ACHANA NAO Huu uzi tuuachie hapa
Wakaleta na sikukuu zao za kipagani kwenye ukristo.Catholicism is not Christianity basing on the history of the church.
Huwa nikiisoma historia ya Ukristo na machungu ambayo Jesuits waliwapa wakristo wa kweli, pamoja na nguvu kubwa iliyotumika kuharibu na kupoteza maandiko ya Biblia ya kale badi sichelei kusema Catholic church is a pagaic church not a Christian Church.walileta na
Io ni kanuni ya imani1. Nani anaabudu sanamu? Kuabudu manaake nini?
2.Ni lini kanisa Katoliki limeruhusu ndoa za jinsia moja
3.ubatizo manaake nini na lengo lake nini?
Yesu aliwaagiza wafuasi wake hivi: “Mkafanye wanafunzi . . . . mkiwabatiza katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.” (Mathayo 28;19-20)
Kwanini mna lazima ha ubatizo uwe wa kuzamishana,ni wapi Yesu alisema ili mtu anayo we ni lazima azame majini?
4. Biblia inasemaje kuhusu padri kuwa mpatanishi wa Mungu na mwanadamu?
Mathayo 16;19
NAMI NITAKUPA WEWE FUNGUO ZA UFALME WA MBINGUNI; NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGWA MBINGUNI, NA LOLOTE UTAKALOLIFUNGUA DUNIANI, LITAKUWA LIMEFUNGULIWA MBINGUNI.”
Kosa letu ni nini hapo?
5. Mnada kanisani manaake nini na huo mnada huwa unahusu nini?
6 Litrujia manaake nini na kazi yake ni nini?
7. Kanuni ya imani ina shida gani?
Kanuni ya imani inasema Hivi.
Nasadiki kwa Mungu mmoja (wewe husadiki)
Baba mwenyezi ( unakubali kuwa Mungu ni baba mwenyezi)
Muumba wa mbingu na nchi/dunia (unabisha)
Na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana (unakubali?)
Na kwa Yesu kristo bwana wetu (unapinga)
Ngoja niishie hapa,niambie kanuni ya imani ina shida gani?
Huujui ukatoliki,umekaririshwa na wachungaji wako namna ya kuutukana ukatoliki.
Ninekuwa nalisema hili humu kila uchwaoRoman catholic ni pango la shetani
Mathayo 12:46-48Yesu alimuita Maria ewe mwanamke?
Hebu tupe fungu.
Kweli wasabato mnahitaji ubatizo kwa Mara ya pili,nyie ndyo wapinga kristo wa kweli
Yesu alimuita Maria ewe mwanamke?
Hebu tupe fungu.
Kweli wasabato mnahitaji ubatizo kwa Mara ya pili,nyie ndyo wapinga kristo wa kweli
Yohana 19:26Yohana 19:26-27
Neno: Bibilia Takatifu
26 Yesu alipomwona mama yake na yule mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu, alimwambia mama yake, “Mama, huyo ni mwanao!” 27 Kisha akamwambia yule mwanafunzi, “Na huyo ni mama yako.” Tangu wakati huo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake.
Pumbavu we msabato.
Nitake radhiNa ndiyo maana tukisema nyie wasabato sio wakristu sijui kwanini hamuelewi!
Humuamini mama yake Yesu ila unamuamini ELLEN GOULD WHITE, nimesoma vitabu vingi sana vuenu wasabato mmejaziqa chuki tu na huyo mama juu ya kanisa la Mungu...
Unayo nafasi ya kurekebisha roho yako na kuifanya iwe dhabihu Safi bila chuki wala mawaa
Itikadi zenu hazina tofauti na waislamu, mnakera sana nyie kikundi cha wasabato
Kama neno la Mungu halibadiliki unaamini emu nisomee Isaya 65:12 na tafsiri yake na lini iliruhusiwa tena.Nitake radhi
Wasabato wameshikilia siku ya sabato wasiyoijua
Nakukatazana kula vyakula ambavyo mungu akivitoa viliwe na binadan
Wakamsikiliza na nabii mke
Wakaiacha neema ya kristo na sababu halsi ya yesu kuja na kufa
Wasabato waliikataa neema.
Ao tuwaweke kando na wengineo
Unafahamu historia ya unachokiamini?Waumini wa Katoliki wao ndio waamke waache kuamini dhehebu, wamuamini Mungu aliye hai...
Waache kufia Dini
Wapotashaji kwa reference ipi?Wao wanauza bidhaa za upako nyie mnauza sanamu- wote ni wapotoshaji
Ukatoliki ni upagani kwan hamjajuaga tuuu mpaka leo
Haonsio wakristo
Maskini waumini hawajui lolote, wanaingiza shimoni wakat wote
Kuna ibada za mapapa waliokufa, zinatisha na mengine mengi.
Mungu hajawah kuwa na kanisa katoliki hata siku moja
Na yesu alisema pale wanapozan wapo na mm, mm ndo sipo nao.
Kama maria na yusufu, walidhan wapo nae kumbe walimuacha hekaluni
Kimbia katoliki ukoa nafsi yako.
Kama mungu hayupo humo ww unafanya nn.
Unasema uko bize na imani yako wala hauhangaiki na sie, hapo hapo unasema unafanya uinjilishaji.
Umejisoma kweli?
Toka huko kuzimu wewe mfuasi wa kadinali. Achana na masuala ya ushirikina wa Ukatoliki. Soma Biblia ili ukweli ukuweke huru.
Hakuna Mkristu wa kweli ambaye atakuacheni gizani mwangamie. Tutakufuateni kila siku hadi injili ya kweli ipenye kwenye mioyo iliyojaa makufuru ya kipagani.
Mafarisayo walijiona wako kwenye imani na dini sahihi, lakini Yesu akasema wamo gizani.
Ukatoliki ni kama kipofu anayemwongoza kipofu mwenzie, mwisho wote wawili watatumbukia shimoni.
Mpinga kristo ndiyo aliyekuletea dini huku ushenzini,ndiyo aliyeitunza Biblia na kuipanga hivyo unavyotumia,ndiyo Alikufanya unasali jumapili,ndiyo aliyekufundisha utatu mtakatifu,ndiye aliyeifafanua Biblia kwa Lugha yako.
Unatumia sana za mpinga kristo.Wewe ni mfuasi wa mpinga kristo,hivyo wewe ni mpinga kristo.
Katoliki sio kanisa
Ni dhehebu
Lipo radhi liache biblia ila lishike kanuni walizojiwekea ambazo hazipo kwenye biblia na nyingi zinapingana na biblia wanayodai kuiamini.
Na kama ulikuwa hujui adui kubwa wa hili picha la yesu kupingwa makanisani ni roman na binti zake.
Naona ilitengenezwa kwa ajili ya biashara na kuhodhi ardhi kila sehemu duniani kwa mgongo wa Dini
Ukweli unaanza kudhihirika, ila inabidi sasa wajiandikishe kama wafanyabiashara na sio dhehebu ili walipe kodi sawa
Kama hujui kuwa mtu wakwanza kuitafsiri biblia kutoka kirumi kwenda lugha nyingine(kijeruman) alikuwa ni luther
Aliposhtakiwa na kutaka kuuwawa akakimbilia kwa mfalme wa kwao ujerumani.
Akamuelezea mfalme akamtafsiria biblia
Akamuonyesha kuwa hoja zake 95 zilikuwa sahihi kulingana na maandiko.
Ndipo aliponusurika kuuwawa
Nisikurahisishie nenda katafute historia padri hatakuambia ayo.
Ww kaa kwenye bench usubiri kipabde cha mkate mwembamba unachoambiwa ni mwil wa kristo.
Wafia imani wote waliuwawa na kanisa gani? katoliki
Wakatubu wakawaita majina yao majina ya makanisa mpaka leo.