Ile ni sample ukiisoma vizuri imebeba kila kipengele muhim kwenye maombi,Kwanini Yesu aliwafundisha mitume wake sala ya kusalimia ambayo ni BABA YETU au na yeye alitaka wanafunzi wake wakariri?
Mathayo 16:18
"Nami ninakuambia: Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitalishinda."
Kristu amejenga Kanisa Katoliki juu ya mwamba. Hakuna nguvu za kuzimu zinazoweza kulishinda.
Kamwe halitaruhusu dhambi ya ushoga wala kuruhusu manyanyaso ya mashoga na wadhambi wengine.
Mungu huchukia dhambi, si wadhambi.
Basi itakuwa ama hujui maana ya kuamini au hujui kinachozungumziwa.Hakuina mahali nimeona wakatoliki wanamuamini papa .
Pope hana uwezo wala mamlaka ya kubadili mafundisho ya kanisa. Kazi yake ni kusimamia mafundisho ambayo kanisa linayo kwa enzi na enzi.
Kama anataka ndoa ya jinsia moja, akaanzishe kanisa lake. Ndani ya ukatoliki ameshashindwa na hatakuja kuweza
Ukatoliki siyo kanisa, per se. Hiyo ni religio-political entity iliyojivika vazi la dini na kujinasibia baadhi ya mafundisho ya Ukristo ili kutimiza malengo yake ya kuzimu.Catholicism is not Christianity basing on the history of the church.
Huwa nikiisoma historia ya Ukristo na machungu ambayo Jesuits waliwapa wakristo wa kweli, pamoja na nguvu kubwa iliyotumika kuharibu na kupoteza maandiko ya Biblia ya kale badi sichelei kusema Catholic church is a pagaic church not a Christian Church.
Kwe
Kweli Mia kwa Mia na wakatoliki hatujui maandiko yaani biblia.Watakuja kukupinga wafia dini.
Madhehebu ni upotevu na ujinga kabisa...Ukiona tu anashabikia dhehebu basi tambua hana elimu .Siyo hivyo tu ...ukimwona mtu yoyote awe wa dini yoyote ukamuuliza yeye ni dhehebu gani akakutajia dhehebu lake basi ujue huyo ni mpumbavu kama wapumbavu wote ....maana mtu wa dini ya kweli hawezi kuwa na dhehebu .....mkristo wa kweli awezi kuwa na dhehebu kwa sababu ukristo wa kweli ni kinyume na mambo ya madhehebu ...na muislamu wa kweli awezi kuwa na dhebebu kwa sababu uislamu wa kweli ni kinyume na madhehebu .....Yesu siyo mkatoliki wala msabato wala mpentekosti nk ..Muhamadi siyo msuni wala mshia wala musarni ..nk
INASIKITISHA SANA KUONA WAKRISTU WENZETU WAKITUCHUKIA KWA KIASI KIKUBWA NA NAMNA HII
HAKIKA INASIKITISHA MNO
ILIBIDI TUJENGE NYUMBA MOJA ILA HII CHUKI MLIYO NAYO WAKRISTU WENZETU SIO TU INAONDOA IMANI, MATUMAINI NA MAPENDO BALI INAKARIBISHA ROHO YA UMAUTI KUPITIA MAPANDIKIZI YA CHUKI JUU YETU WAKATOLIKI
INAUMA SANA
Kwa sababu lina umuhimu sana kwa mustakabali wa Ukristo.Nawao kwanini wamuulize swali hilohilo kila mwaka?
Zambi ni zote na kazi ya kanisa ni kuendelea kukemea dhambi sio kuzibarikiNi lini na wapi kanisa limebariki huo upumbavu unaousema?
Maovu mengine mnayofanya ni nani amebariki?
Kwenu dhambi zipo ngapi?
^Bikra Maria, Mama wa Mungu, tuombee sasa na saa ya hukumu.^Wakatoliki wanamhubiri Kristo nanyi mnamhubiri Kristo nadhani hili liwe msingi mkuu wa amani na umoja kati yenu.
Hasa! Huu ujumbe uwafikie wote wanaowaombea marehemu ama wafu, huku wakiacha kumhubiri Kristu aliye hai.Wasio mtangaza na kumuhubiri Kristo hao ndio wapinga Kristo.
kuna sala za kukariri sikatai!!,lakini kuna sala za mishale ya moto!!!hauwezi kushambuliwa na mapepo alaf ukategea usali sala ya baba ye2 eti ndo yatakimbia,,,no way,,,,kukimbiza mapepo unahitaji "roho mtakatifu"..okay!!!,YESU alifundisha sala za kukariri!!,,lakini ROHO MTAKATIFU alipowashukia mitume siku ya pentekoste walinena kwa lugha,,,walirap kama 2PAC SHAKUR!!,,,unaona bhana!!!!!,,,,,,,,,,,,,,,,,ROHO MTAKATIFU akikushukia,,unapoteza ufaham wa kibinadamu,,na unanena lugha ya mbinguni!!!...lakini ata YESU kristu alipoondoka alisema"naondoka ila ninamwacha msaidizi ambae ndio ROHO MTAKATIFU"kimsingingi huu ni wakati wa ROHO MTAKATIFU...ata biblia inasema"dhambi zoooooooooooooote zinasehemeka,ila dhambi ya kumkashif ROHO MTAKATIFU haisameheki kamwe!!!,,,,,,naaa,kwenye Q'RAN tukufu,ROHOMTAKATIFU anajulikana kama malaika GIBRIL,,ila kwenye BIBLIA TAKATIFU ROHO MTAKATIFU anajulikana kama MUNGU katika utatu mtakatifu!!Kwanini Yesu aliwafundisha mitume wake sala ya kusalimia ambayo ni BABA YETU au na yeye alitaka wanafunzi wake wakariri?
jana papa katangaza kwamba mashoga wana haki ya kubatizwa na kusimamia ndoa,,,kimsingi ushoga ni ruksa kwa katolikiAmka ndotoni usije ukajikojolea. Walishasema hivyo miaka 2000 iliyopita tena kanisa lilipigwa vita na kina hitler na badala yake kanisa linazidi kuimarika 😀
Ni ngumu sana kuwa na dini moja katika ulimwengu ambao, wale wanaodai eti walipewa ufunguo wa kanisa la Petro, wanaabudu sanamu na kufuata mapokeo kinyume na mafundisho ya Kristu.Mkuu ni vyema na inapendeza kama dunia tukiwa na dini moja itapendeza sana kuliko huu upuuzi na takataka za dini zinznzoendlea duniani kwa sasa.
TUACHENI WAKATOLIKI TUABUDU SANAMU ZETU, Nyingi siyo Mungu hamuwezi kutuhukumu.
Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu. Dini ni uhuniBiblia inasema Mungu ni yeye yule jana na leo na hata milele, yaani Mungu habadiliki wala habadilishi misimamo yake. Mwaka juzi papa alipoulizwa kama kanisa Katoliki linaweza kubariki ndoa ya jinsia moja, alijibu haiwezekani KWA SABABU MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI:
ROME (AP) — The Vatican declared Monday that the Catholic Church won’t bless same-sex unions since God “cannot bless sin.”
The Vatican’s orthodoxy office, the Congregation for the Doctrine of the Faith, issued a formal response to a question about whether Catholic clergy have the authority to bless gay unions. The answer, contained in a two-page explanation published in seven languages and approved by Pope Francis, was “negative.”
Lakini mwaka huu alipoulizwa swali lile lile papa amesema ndoa za jinsia moja zinaweza kubarikiwa, na watu hao wanaruhusiwa kuwa baba na mama wa ubatizo!:
Catholic Church relaxes rules for transgenders
Pope Francis recently suggested priests could bless same-sex unions on an individual basis.
The Vatican’s doctrinal office has clarified its stance on transgender believers, saying they may get baptized and play various roles within the Catholic faith so long as it does not risk “public scandal.”
In a letter responding to questions posed by a Brazilian bishop, the church’s Dicastery for the Doctrine of the Faith outlined its position toward transgender and other LGBT worshipers, affirming that they may receive the sacrament of baptism, serve as witnesses in wedding ceremonies and act as godparents to Catholic children.
Je, Mungu kabadili msimamo kuhusu dhambi ya ushoga maana papa alisema awali kuwa MUNGU HAWEZI KUBARIKI DHAMBI, au kanisa katoliki chini ya papa Fransis limepata mungu mwingine wa kichina ambaye yeye kwake kubariki dhambi ya ushoga siyo tatizo?
Kwa maoni yangu binafsi, kwa kuwa ninaamini kuwa Mungu hawezi kubadilika kwa mujibu wa Biblia (Ebr 13:8), basi italkuwa kanisa katoliki limeachana na Mungu wa Biblia na limejipatia mungu wa kichina anayekwenda na wakati hasa akizingatia haki za kidemokrasia kam,a zinavyosimamiwa na mataifa ya magharibi hasa Marekani (Democratic). Wadau mnasemaje? karibuni tudadavue!!
Hiki kichaka ni kidogo sana, huwezi kujifichamo. Toka humo haraka usije ukafa ewe mfuasi wa kadinali.Asiye na dhambi apinge hayo ya Catholic kwa Nguvu zake zote
Watu wasiomtambua Kristu (wapinga-Kristu) ni wale wanaofuata mapokeo yao ya dini, huku wakiyaacha mafundisho ya Kristu. Soma Mathayo 15:9.Mpinga Kristo ni wale wasio mtambua Kristo katika imani zao na wanaosema Kristo sio Mwana wa Mungu.
Hivyo ndivyo Ukatoliki ulivyo, na wala haujawahi kubadilika.Ila hizi kauli za huyu papa sa hivi zinaweka kanisa njia panda wewe kama ni kukataa ukata au kama ni kukubali ukubali tatizo hyu kiongozi amekuwa Neutral mno kiasi cha kuwaacha waumini njia panda kuhusu suala la LGBTQ yani inaboa sana hta tu kumwona😏😏