Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kumpa hela mwanaume kwa ajili ya matumizi pale inapobidi sio shida.We jaribu hata siku moja kuomba hela ya mwanamke ukanunue shati la sh 10000 uone moto utakao waka hapo. Ila wao ni sawa kukuomba 50,000 akanunue nguo ya kuvaa kwenye send off ya rafiki yake.
Shida kutoa mahari,,lol hapana kwa kweli.