Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?


Mafundisho ya usiue,usiibe,usizini una ya tolea wapi kama sio kwenye torati?au wewe na kanisa lenu hamfuati sheria hizo kwakuwa ninyi si moja ya makabila 12 ya wana wa israel?
 
Hakuna sehemu yesu amezungumxia Zaka mkuu acha kuongopa...
Hivi huwa hamuoni Aibu kuongopa kwa ajiki ya maslahi yenu binafsi

Wewe mkuu ulitaka aseme zaka ndio uelewa maana ya kumpa Mungu vilivyo vyake Mungu,mkuu mbona uko na akili mgando,btw kama wewe huna hela ya zaka ya fungu la 10 au huna injili hiyo kaa tulia kuliko kupotosha muongozo wa maandiko.
 
Ni wapi uliwahi kuagizwa wewe hapo upeleke fungu la kumi kanisani?

Ni wapi mchungaji wako amewahi kuagizwa apogee fungu la kumi?

Kwahiyo kanisani kwenu hampeleki fungu la 10 wala sadaka?[emoji28][emoji28] kanisa lipi hilo.
 

Pole sana kama ni mkristo muongozo uko wazi,ila kama sio mkristo na si myahudi,kaa tulia we unadhanj injili inaenda tu kwa maneno bila pesa,unadhani bills za kanisa zinatoka wapi ujenzi wa majengo mazuri ya kanisa pesa hutoka wapi?
 

Mkuu hata kwenye vilinge mnaacha pesa,kuku,mtama n.k hakuna tofauti chupa mpya mvinyo uleule.
 

Mkuu kanisani kwenu wote watakatifu hakuna mtenda dhambi hata mmoja?
 

Hii hoja yako mfu,ulitaka mpka mzungu atoe ndio nawe utoe yani ulitaka wakuwekee miamala yao ya fungu la 10 ndio uamini?hopless kabisa
 
Wapewe ardhi ipi hawa wajinga?wakoloni wamekuja Afrika wakapora ardhi yote na kujenga makanisa bafala ya viwanda vikubwa?

Hivi kuliwahi kutokea KUHANI MWAFRIKA au MUASIA?

Viwanda si mliviua kwa ufisadi na ujinga wenu,hivi hujui hii nchi ilikua ni shamba ina viwanda vikubwa vya usindikaji wa mazao ya kahawa,chai,pamba na mkonge na vyote vilianzishwa na wakoloni sasa viko wapi?usilaumu mkoloni kwa upuuzi wa ngozi nyeusi.
 

Huo sio utaratibu wa kibiblia kuhusu fungu la 10,huo ni utaratibu wenu binafsi ila sio muongozo.
 

Kumbuka moja ya sheria alizo kili ni kutoa fungu la 10 kama zaka na ulikua muongozo kwa wana waisrael na halikua ombi ni sheria,

Yesu alitaka kumfundisha tajiri upendo kwa wengine na kuondoa ubinafsi wa kukumbatia mali zake peke yake ndio ama aliambiwa auze mali agawie masikini ili kumpatia dhana ya upendo kwa wengine wahitaji.
 

Still bado fungu la kumi lipelekwe kanisani,ili kaxi ya injili isonge mbele,hao yatima na wajane wapate wokovu.
 
Kuna tofauti ya zaka na sadaka

Ndio zaka ni fungu la kumi la kipato chako,katika ujira wako au biashara zako au mali zako ni ile 1/10 hii inapelekwa kanisani.

Sadaka ni sehemu yoyote ilobaki hutolewa kwa kugusawa na upendo juu ya jambo fulani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…