Ah mke wangu kwa kweli anavumilia mengi angekuwa kama wanawake wa jf mbona tulishaacha mwaka wa kwanza tuu.Yaan wewe umeoa??? mwee mkeo mbinguni moja kwa moja [emoji23]
Mama mkwe anajuaje kama mwanaye ndiye mwenye shida? Kumpiga makofi amekosea japo mama mkwe hakutumia busara kufoka foka, inawezekana mwanaye ndiye hana uwezo wa kuzalishaHata hao wako mbali,mama mkwe alichoka kusubiri mjukuu akamwambia mwanae nitumie nauli nije
Amiin❤️Ah mke wangu kwa kweli anavumilia mengi angekuwa kama wanawake wa jf mbona tulishaacha mwaka wa kwanza tuu.
Kweli nilimuoa breki pumbuz lakini ni mwanamke ambaye she wants to be a wife and a mother. Na ana roho nzuri sema bwana kwenye mambo ya hela loh! Balaaa. Cha msingi anilelee watoto wangu vizuri becoz she is a gud mother, the rest can be forgiven.
Point🤝Aah wanawake sisi Mungu atusaidie tu. Ila upuuzi wa kusumbua mtu eti kisa hazai huo ndio siwezi kumfanyia mtoto wa mtu sababu kuzaa ni majaaliwa. Vipi kama mwanae ndio angekua wa kike angeshauri aachike? Upuuzi tu wa huyo mama.
😂😂 Khaaa!! mkewe ana siti maalum mbinguni.Kaoa Kitambo,sema ana nyege mshindo😜
Wee muache awapee mbususu hao tall dark and handsome, kufunga na kufumbua 35 hii hapa. Mwenyewe ataanza kusema mzabzab nioe basi mke wa pili🤣🤣🤣🤣Bora umemshtua mapema🤝
Ungejiita Queen bee kulikuwa na shida gan mpaka kujiita Beesmom we mwalimu wa uyole!Ni tukio limetokea jana jioni hapa uyole. Ndoa ina miaka mitatu mke hajabahatika kushika ujauzito. Sasa mama mtu alikuwa anapiga kelele juu ya hilo. Nataka mjukuu nataka mjukuu, mnataka nife sijaona wajukuu na kadhalika.
Ni mama mkwe hivo binti akawa hana la kusema zaidi ya tutapata mama na mume kumwambia mama yake kuwa na subra. Nadhani huyu mama aliona kelele za mbali hazifanyi kazi, akamwomba mwanae amtumie nauli aje awasalimie hivo akasafiri na tangu mwezi wa 6 yupo pale nadhani alikuwa anataka ashuhudie tumbo likinyanyuka akiwa pale pale.
Sasa kisa cha ugomvi ni nini? Unaambiwa tangu afike ni kelele hizohizo, sasa jana binti kamfuma mama anamwambia mwanae "Au uoe mke mwingine mwanangu?" Binti hakutaka kupepesa akamrukia mama na kumpa mabanzi ya mashavu ya maana. Mama kizunguzungu chali.
Mwenye mama kaghadhibika kamrukia mke. Kwanini unanipigia mama yangu wakati mimi nakuvumilia na maneno mengi mengi. Ndio hivo ugomvi ukawa ugomvi mpaka majirani kwenda kuamria.
Mke wa pili? Wacha niendelee kubaki mwenyewe.Wee muache awapee mbususu hao tall dark and handsome, kufunga na kufumbua 35 hii hapa. Mwenyewe ataanza kusema mzabzab nioe basi mke wa pili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa huyu bora nibaki single maisha yote [emoji23]Bora umemshtua mapema[emoji1666]
Acha ujinga wewe ubaki mwenyewe ili funza ndio waje kuila hiyo mbususu🤣🤣🤣🤣Mke wa pili? Wacha niendelee kubaki mwenyewe.
Niliwahi kutamkiwa hivyo,, jibu nililompa hatosahau kamwe, na liliweka heshima kati yetu, nyambafMimi kipindi hicho nipo ndoani, mama mkwe aliniambia hata asingekuoa wewe bado angepata mwingine wa kumwoa. Means Mimi nisijifeel so special kuolewa na mwanae😥😏