Je, ni halali kumpiga makofi mama mkwe anayekukera kila siku?

Je, ni halali kumpiga makofi mama mkwe anayekukera kila siku?

Yaan wewe umeoa??? mwee mkeo mbinguni moja kwa moja [emoji23]
Ah mke wangu kwa kweli anavumilia mengi angekuwa kama wanawake wa jf mbona tulishaacha mwaka wa kwanza tuu.
Kweli nilimuoa breki pumbuz lakini ni mwanamke ambaye she wants to be a wife and a mother. Na ana roho nzuri sema bwana kwenye mambo ya hela loh! Balaaa. Cha msingi anilelee watoto wangu vizuri becoz she is a gud mother, the rest can be forgiven.
 
Hata hao wako mbali,mama mkwe alichoka kusubiri mjukuu akamwambia mwanae nitumie nauli nije
Mama mkwe anajuaje kama mwanaye ndiye mwenye shida? Kumpiga makofi amekosea japo mama mkwe hakutumia busara kufoka foka, inawezekana mwanaye ndiye hana uwezo wa kuzalisha
 
Ah mke wangu kwa kweli anavumilia mengi angekuwa kama wanawake wa jf mbona tulishaacha mwaka wa kwanza tuu.
Kweli nilimuoa breki pumbuz lakini ni mwanamke ambaye she wants to be a wife and a mother. Na ana roho nzuri sema bwana kwenye mambo ya hela loh! Balaaa. Cha msingi anilelee watoto wangu vizuri becoz she is a gud mother, the rest can be forgiven.
Amiin❤️
 
Mama mkwe anajuaje kama mwanaye ndiye mwenye shida? Kumpiga makofi amekosea japo mama mkwe hakutumia busara kufoka foka, inawezekana mwanaye ndiye hana uwezo wa kuzalisha
🤣wanaelewaga Hilo Kwan🙌
 
Aah wanawake sisi Mungu atusaidie tu. Ila upuuzi wa kusumbua mtu eti kisa hazai huo ndio siwezi kumfanyia mtoto wa mtu sababu kuzaa ni majaaliwa. Vipi kama mwanae ndio angekua wa kike angeshauri aachike? Upuuzi tu wa huyo mama.
Point🤝
 
Ukiona kwenye ndoa flani hawapati mtoto na BABA hana mtoto hata mmoja wa nje bhasi jua MWANAUME NDO MWENYE MATATIZO. Wanaume hatunaga uvumilivu kabisa aiseee
 
Ni halali kumpiga makofi mama yako mzazi? Tuanzie hapo kwanza
 
Ni tukio limetokea jana jioni hapa uyole. Ndoa ina miaka mitatu mke hajabahatika kushika ujauzito. Sasa mama mtu alikuwa anapiga kelele juu ya hilo. Nataka mjukuu nataka mjukuu, mnataka nife sijaona wajukuu na kadhalika.

Ni mama mkwe hivo binti akawa hana la kusema zaidi ya tutapata mama na mume kumwambia mama yake kuwa na subra. Nadhani huyu mama aliona kelele za mbali hazifanyi kazi, akamwomba mwanae amtumie nauli aje awasalimie hivo akasafiri na tangu mwezi wa 6 yupo pale nadhani alikuwa anataka ashuhudie tumbo likinyanyuka akiwa pale pale.

Sasa kisa cha ugomvi ni nini? Unaambiwa tangu afike ni kelele hizohizo, sasa jana binti kamfuma mama anamwambia mwanae "Au uoe mke mwingine mwanangu?" Binti hakutaka kupepesa akamrukia mama na kumpa mabanzi ya mashavu ya maana. Mama kizunguzungu chali.

Mwenye mama kaghadhibika kamrukia mke. Kwanini unanipigia mama yangu wakati mimi nakuvumilia na maneno mengi mengi. Ndio hivo ugomvi ukawa ugomvi mpaka majirani kwenda kuamria.
Ungejiita Queen bee kulikuwa na shida gan mpaka kujiita Beesmom we mwalimu wa uyole!
 
Wee muache awapee mbususu hao tall dark and handsome, kufunga na kufumbua 35 hii hapa. Mwenyewe ataanza kusema mzabzab nioe basi mke wa pili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mke wa pili? Wacha niendelee kubaki mwenyewe.
 
Mimi kipindi hicho nipo ndoani, mama mkwe aliniambia hata asingekuoa wewe bado angepata mwingine wa kumwoa. Means Mimi nisijifeel so special kuolewa na mwanae😥😏
Niliwahi kutamkiwa hivyo,, jibu nililompa hatosahau kamwe, na liliweka heshima kati yetu, nyambaf
 
Wanaume wanavyong'aka kupigwa mama zao, ilhali wao huwapiga mama za watoto wao ndo maana mwanaume hathaminiki na kuvuja jasho kooote ila mwisho wa siku anaimbwa nani Kama mama,
 
Back
Top Bottom