Hilo eneo linajulikana kisheria kama linatoa huduma hiyo iliokatazwa?Uzi unaeleza kakutwa kwenye zile nyumba ambamo hao akina "dada" hutoa huduma kwa kubadilishana na amafranga yaliyokubaliwa.Kama eneo tu limejulikana hutolewa huduma hiyo,je sheria za nchi zinaruhusu mtoa na mtaka huduma kuwepo eneo hilo?
๐๐๐๐๐๐Sio kosa mkuu huo ni wivu
Tukuyu?๐๐๐KUNA mwananzengo mwenzetu alikamatwa usiku uliopita kwenye vyumba vya Wale wanawake wa lile kabila wakiuza Tukuyu zao.
Polisi wanasema wamemkamata kwa uzembe nanuzururaji, je mtu anaweza kuzurura chumbani?
๐๐๐๐๐๐Polisi wanatafuta ada za watoto wao.
Ni kosa... ndio maana ukijaribu kupitia huko nyuma utakuta wamekamatwa wengi tu kwa makosa kqma hayo na yanayofanania na hayo
Tukuyu 4 saleTukuyu?๐๐๐
Aiseee ngumu sana kujiridhisha bila kuacha shaka yoyoteKahaba kama alivyo mtu mwingine ana haki ya kuwa na mpenzi.Awali,umeeleza jamaa amekutwa ile sehemu inakotolewa huduma ya ngono(ina maana jamii na hata weye unajua kwamba wanafanya biashara hiyo).Swali:Sheria za nchi zinaruhusu hiyo biashara?Jamaa amekutwa hapo.Ni kwake?Kama si kwake na anajua yupo "gulio" hatarishi huyo ni mzembe kuzembea utii wa sheria.Hayupo kwake.Ina maana anazurula bila kujielewa shughuli aifuatayo.Sasa,asipelekwe kabatini kwa nini wakati amevunja sheria,anafanya umalaya na yupo sehemu isiyo sahihi anazurula?
Tulishaachana mbona๐๐๐๐ ngoja wambabue dudu๐Bujibuji Simba Nyamaume unakula makahaba, To yeye yuko wapi?
Unafurahi mwenzako kushirikiana na wauza mwili?Tulishaachana mbona๐๐๐๐ ngoja wambabue dudu๐
Afu mbona ni new born huyo....hawez fanya maujinga hayo.Ana mke na watoto anaanzaje kwenda kwa makahaba.Sema ngoja mi kama bi mdogo nimwambie asiandike mada kama hii tena...watu wanamhisi vibayaUnafurahi mwenzako kushirikiana na wauza mwili?
Wauzaji au wakodishaji?Unafurahi mwenzako kushirikiana na wauza mwili?
Kweli, wanakodisha utamuWauzaji au wakodishaji?
Mwache bhana.... mada imechangamka hadi sasa swali lake halijajibiwaAfu mbona ni new born huyo....hawez fanya maujinga hayo.Ana mke na watoto anaanzaje kwenda kwa makahaba.Sema ngoja mi kama bi mdogo nimwambie asiandike madam kama hii tena...watu wanamhisi vibaya
Waambie haoMit 6:32 SUV
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake