Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

Kuwa megawatt 80 za mtera ndio zinaleta mgao ,bado tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye uzalishaji wa umeme bado tunazalisha kidogo hakuna plant ya uzalishaji yenye uwezo wa kutoa megawatt 500 au 1000 independently hapa nchini wakati ukienda misri kituo kimoja cha gesi kimejengwa 1979 kinazalisha megawatt 1200 rejea uzaloshaji wetu nchi nzima kusanya vyote ni 1600+ megawatt ,sasa ukiangalia vituo vya kisasa vya misri viliyojengwa 2018 vinazalisha megawatt 4800 na vipo 5 pale kwao yaani kimoja tu kinazalisha mara tatu yetu sasa kama proved reserve ni 55cubic trillions za gesi hapa kwetu na misri wao ni 65trillions cubic ni wakati sasa tujenge magasi turbine makubwa yaani stations plant kubwa tuachane na hizi gas stations za megawatt 120, 200 sijui 45 its time we go big nyerere dam ipo lakini suala la ukame ni issue hapa kwetu nyerere iendelee lakini kuna haja ya kuwa na stations ya kuzalisha kubwa ya maana na pia ni wakati productions policy yetu iwe ni kuanzia megawtt 500,1000 kuendelea na sio hivi vidogo vidogo kwa kuwa kasi ya miji kukua ni kubwa na mahitaji mapya ya viwandani na majumbani yanaongezeka kila siku inawezekana tunaweza.
Unadhani watakuelewa hawa
Wanachowaza ni uchaguzi na teuzi

Kumsifia mtawala
 
Inaonekana Makamba, mtoto mdogo tu, anawatoa jasho kweli kweli. Hampati usingizi wala utulivu kwa ajili yake; kutwa kucha mpo katika harakati za kumtafuta kwenye hili na lile. Kijana yupo kimya anawacheki tu na kufanya calculations zake. Kimsingi mpaka sasa ameshaonesha ukomavu wa akili zaidi yenu nyote. Kama ingekuwa ni mechi ya mpira basi sasa ingekuwa ni mapumziko na Makamba 3: nyie (kundi la wanga na wachawi) 0
 
Mwakaa huu nyanda za juu kusin kulikuwa na mvua za kutksha saaana ndo mana mpunga ulikubali ,mahind yalikubali, na mikoa yote ilipata mvua na kulikuwa mavuno mazur na wat wamejivunia kuwa wakulima na maji yalikuwa mengi saaan hivyo mqji hayo ndo yanayo jaza mto ruaha.

Sasa kama mvua zilikuwa nyingi maji lienda wapi na mwaka huu zilikuwa nyingi

Ukweli ni kuwa maji yalifunguliwa ilanushahid ndo huwez kuupata.
Mkuu mwaka huu mvua azikuwa nyingi ila zilinyesha vizuri
 
MTALIA KILA KILIO.

TATIZO KUBWA LA HI NCHI NI CCM.

CCM IMEJAWA NA VIONGOZI ,


Wezi.
Wapumbafu.
Wajinga.
Mazwazwa.
Ma lofa.
Mafisadi.
WASIO na akili.
WASIO na Maono.
VICHAA nk.

HAIWEZEKANI DUNIA YA LEO KUTEGEMEA UMEME WA MAJI.
 
Kuna UMEME MBADALA kama
Gesi.
Upepo..
Nyuklia.
Soral.
Tidal.
Biomass
 
Whatever is happening now consernig umeme, sisi lawama zote tunamtupia ⌚💯. Kalemani alifanya dhambi gani hata akaondolea kwenye ile wizara. Enzi za kalemani haya mambo tulikuwa tushayasahau. ⌚💯 ni Rais wa hovyo.
 
Kwenye hizi social media kuna watu wako kukubali na kuamini kila kinachoandikwa ndo maana ni rahisi kuharibu image ya mtu via medias,vilevile ni rahisi kumfanya mtu awe mzuri via media.Simkubali Makamba especial reaction yake kwenye kifo cha JPM,ila naamini vitu vingi humu anasingiziwa kwa chuki.
Usimtetee sana. Baada ya JPM kushinda uraisi uliona katuni aliyopost Kipara kwenye ukurasa wake wa twitter? kama hukuiona, itafute
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
"Lice" ndugu choiceVariable anakuja kulitolea ufafanuzi!!
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?

Maji yamwagike bure toka ndani ya bwawa la Mtera na kuelekea wapi?

Kwa nini itajwe kwamba umeme wa maji usipokuwepo basi uzalishaji wa umeme wa gesi utaongezeka ilihali uwezo wa mitambo ya gesi kuzalisha umeme ni ule ule?
 
Aliyekwambia na yeye kaambiwa. Yaan ni uzushi juu ya uzushi
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Unaandika nn hata majina yanakushinda si bora usiandike tu?
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
January kilaza na maharage yake kilaza pia kwa hiyo combination unategemea nn kigunduliwe?
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?

Lisemwalo lipo kama halipo laja
 
Back
Top Bottom