Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

masare vipi na hili lipo bukoba ,na musoma ...
The natural iconic land mark [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Poor you....eti nature Windhoek,Johannesburg,Pretoria kuna natural feature gani yoyote 😀😀
Je kuna mji wowote East Africa unaogusa hata robo huko kwa ubora wa mpangilio wa hayo majiji
 
Poor you....eti nature Windhoek,Johannesburg,Pretoria kuna natural feature gani yoyote [emoji3][emoji3]
Je kuna mji wowote East Africa unaogusa hata robo huko kwa ubora wa mpangilio wa hayo majiji
Hiv ukitumwa mji uliopangwa utapeleka dodoma...ebu toa comedy zako ....Windhoek Kuna Namib desert where sand meet oceans ...johanseburg na Pretoria Kuna jacaranda green vegetation.... dodoma mna nini machaka au [emoji2][emoji2][emoji2]
Mwanza
 
Huwa nakushangaa sana unapojiitaga graduate😀😀😀 alafu hujui hata simple geography eti Windhoek kuna Namib desert wakati kutoka Windhoek hadi kufika Namib desert ni umbali wa zaidi ya kilometres 340....yaani umeshindwa hata kugoogle
 
Zaidi ya Ziwa Victoria hamna jipya...ndiomana pichazote unakwepa kuonesha vijumba vilivyojengwa bila mpangilio kule milimani ambapo hakuna umeme zaidi ya vibanda vya uswahilini vinavyotumia solar
 
Zaidi ya Ziwa Victoria hamna jipya...ndiomana pichazote unakwepa kuonesha vijumba vilivyojengwa bila mpangilio kule milimani ambapo hakuna umeme zaidi ya vibanda vya uswahilini vinavyotumia solar
Eti hakuna umeme . ...hamna jiji lisilo na slum hata Nairobi zipo...
 
Zaidi ya Ziwa Victoria hamna jipya...ndiomana pichazote unakwepa kuonesha vijumba vilivyojengwa bila mpangilio kule milimani ambapo hakuna umeme zaidi ya vibanda vya uswahilini vinavyotumia solar
Sawa sisi tunajuvunia ziwa nyie mnajivunia nini
 
Sawa sisi tunajuvunia ziwa nyie mnajivunia nini
Kigoma,Musoma,Mbamba Bay,Bukoba ni baadhi ya miji iliyozungukwa na maziwa....Je umewahi kuona wapi wakijivunia kitu ambacho ni natural feature au wakijaribu kujilinganisha na Jiji la Dodoma....Jiji pekee lililopangwa(man made feature),kupangiliwa(skyline),kupimwa+ubora wa miundombinu+ubora wa mipango miji+ubora wa huduma za kijamii+uwepo wa taasisi nyingi+makao makuu ya Serikali,Bunge,Mahakama
 
Kila siku unasema ubora wa mipango miji ...lakin unashindwa kuleta hata picha kuonyesha ubora huo
 
Kumbe picha ndio zinaonesha ubora wa mipangomiji[emoji3][emoji3]....ulisema umewahi kufika Dom City vp kuna mji wowote Tanzania hii uliopangiliwa vizuri kama Dodoma
Dodoma nimekaa Kwa miaka takribani minne ....naijua vizuri...ni uchafu tu
 
Hawana akili na ni wachafu sana hao ndugu zako 🤣🤣

View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1744747251367309775?t=3QWtWdM6jnYqqHwzRw3NOw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…