Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mikdde waongeze na hii ya mitaa ya rufiji, uhuru na lumumba kwa mbali
IMG-20231204-WA0013.jpg
IMG-20231204-WA0018.jpg
IMG-20231204-WA0016.jpg
 
North neighborhood..(makongoro road ,,isamilo and ilemela municipal)View attachment 2843176
Mwanza haiwezi kuicheka Mbeya ni slums everywhere.

Kinachowafariji ni huyo tugorofa CIty centre.

Kilicho ikost Mbeya ni kuingia Kwa soko la Uhindini watu wakakimbilia Mwanjelwa ambayo haikuwa imepangwa na kuandaliwa kuwa CBD wakajenga hivyo hivyo but magoroga yote yangekuwa sehemu Moja ingekuwa na skyline kama ya Mwanza tuu.
 
Mwanza haiwezi kuicheka Mbeya ni slums everywhere.

Kinachowafariji ni huyo tugorofa CIty centre.

Kilicho ikost Mbeya ni kuingia Kwa soko la Uhindini watu wakakimbilia Mwanjelwa ambayo haikuwa imepangwa na kuandaliwa kuwa CBD wakajenga hivyo hivyo but magoroga yote yangekuwa sehemu Moja ingekuwa na skyline kama ya Mwanza tuu.
Kwa maghorofa Gani yaliyopo mbeya... iringa is far better than mbeya ........
Mwisho mji wenye slum nyingi Tanzania ni dar...inafta mbeya ,, mwanza na Arusha zinakuja then Tanga na dodoma..
 
Kwa maghorofa Gani yaliyopo mbeya... iringa is far better than mbeya ........
Mwisho mji wenye slum nyingi Tanzania ni dar...inafta mbeya ,, mwanza na Arusha zinakuja then Tanga na dodoma..
Far better Kwa lipi Sasa? Hata idadi ya sensa hujui kusoma au? Narudia kukwambia isingekuwa kuungua Kwa soko la Uhindini ambako kulipangwa kuwa CBD,magoroga yote yaliyojengwa Kando ya Barabara yangekuwa Mjini kule na skyline ingependeza sana.
 
Kaunguze na Mwanza iwe droo ngoma...
Mwanza hata mkiunguziwa soko hakuna njia iliyopo busy sana mtasalia huko huko Mjini.

Kwa Mbeya kule mjini kuwe ni maalumu Kwa Ajili ya mataasisi,ofisi ambazo hazihusiani na Biashara na makazi ya watu.

Biashara zote zimehamia Mwanjelwa au Kando ya Barabara Kuu.
 
Far better Kwa lipi Sasa? Hata idadi ya sensa hujui kusoma au? Narudia kukwambia isingekuwa kuungua Kwa soko la Uhindini ambako kulipangwa kuwa CBD,magoroga yote yaliyojengwa Kando ya Barabara yangekuwa Mjini kule na skyline ingependeza sana.
Baada ya kuungua kwa soko la Uhindini na magorofa nayo yakaungua? Wewe acha kujifariji Mbeya ni kama Nyegezi tu! Mwanza imeiacha Mbeya mbali sana na hamna ndoto za kufika hata Mwanza ilipo kwa sasa! Mji wenu unazidiwa gorofa mpaka na Morogoro au Iringa! Mpangilio hamna hata nyumba za maana mtaani ni chache sana!
 
Kaunguze na Mwanza iwe droo ngoma...
Unajua huyu bwana yeye huwa anavita kali sana na Mwanza! Ila asichojua kuwa Mwanza ni center ya Africa mashariki na maziwa makuu! Hakuna namna hata iweje eti Mbeya itakuja kuizidi Mwanza kimaendeleo!
 
Baada ya kuungua kwa soko la Uhindini na magorofa nayo yakaungua? Wewe acha kujifariji Mbeya ni kama Nyegezi tu! Mwanza imeiacha Mbeya mbali sana na hamna ndoto za kufika hata Mwanza ilipo kwa sasa! Mji wenu unazidiwa gorofa mpaka na Morogoro au Iringa! Mpangilio hamna hata nyumba za maana mtaani ni chache sana!
We fala kweli hata huelewi.Hayakuungua Sasa wapi Kumejengwa majengo mengi ya Gorofa kati ya mjini na Mwanjelwa/Tanzam road?
 
We fala kweli hata huelewi.Hayakuungua Sasa wapi Kumejengwa majengo mengi ya Gorofa kati ya mjini na Mwanjelwa/Tanzam road?
Bora kuwa fala! Ila hapo Mbeya hata gorofa sioni! Hizo gorofa tano uchwara nazo gorofa sasa!
Mji wa kipumbavu kama huo hakuna mtanzania asiye wa asili ya huko anatamani kuishi!
Mbaya ni kama Dampo hamna lolote la maana hapo wewe mwenyewe unajua hilo ila kwa vile nyumbani unashupaza shingo!
 
Bora kuwa fala! Ila hapo Mbeya hata gorofa sioni! Hizo gorofa tano uchwara nazo gorofa sasa!
Mji wa kipumbavu kama huo hakuna mtanzania asiye wa asili ya huko anatamani kuishi!
Mbaya ni kama Dampo hamna lolote la maana hapo wewe mwenyewe unajua hilo ila kwa vile nyumbani unashupaza shingo!
Ila kyuma Huwa unaziona si ndio? 🤣🤣
20231014_154909.jpg
20231006_161305.jpg
 
Far better Kwa lipi Sasa? Hata idadi ya sensa hujui kusoma au? Narudia kukwambia isingekuwa kuungua Kwa soko la Uhindini ambako kulipangwa kuwa CBD,magoroga yote yaliyojengwa Kando ya Barabara yangekuwa Mjini kule na skyline ingependeza sana.
Na Mwanza wakisema wachukue maghorofa ya kirumba, Nyegezi, Buzuruga, Ilemela, bwiru na Capripoint yote wakayaweka Kwenye CBD we unazani pangekuwaje?
 
Back
Top Bottom