Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]


Blackberry
Hao ni wahutu wenzenu waliopo makambini au waliotoroka makambini au wanaofanya vibarua mashambani huko but we really tzn hutuwafahamu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda.

Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako.

bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba.

Huyo mtoto anahesabiwa ni wao hata akizeeka na wanajuana kwenye system yao. Wewe baba hasa mwenye uwezo au mwanasiasa mkubwa anatumika tu kama mbeleko ya kunawirishia kabila hili lenye warembo wa kuvutia.

Wakuu Kuna ukweli wowote au story tu za wazee wetu Kwenye ghahawa


Kumbe umesikia akili ya kuambiwa changanya na ya kwako,mwanamke akipata watoto anaofanana nao unadhani ametembea na kaka zake acheni kuwadharau wanawake wa kabila hilo.
 
Mkuu uko sahihi 100%,Hao jamaa ndivyo walivyo,nimeishi Rwanda miaka 10,Burundi na karagwe,vision yao ni ku create tutsi empire, lengo lao likiwa ni kuitawala Africa mashariki na kati, Ni kweli ishu ya kubambikiwa mtoto hata uku kwetu ipo,ila kwa hawa jamaa kwao ni too much pia kabila hili linafanana na wasomali aisee ukioa msomali mwanamke atajitahidi apigwe mashine na msomali mwenzie,tutsi nao ni the same.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na historia ambayo baba yangu mzazi kila siku ananisimulia kuhusu hao watu,mi hata mpango wa kukaa na kupiga nao story sina
 
Tatizo mnaoa kufuata sura,lakini mnashindwa jinsi ya kuwashughulikia
Inabidi amtafute mtusi mwenzie ammwage maji,ndipo anapopatikana mtoto wa kitusi
Unatakiwa ukioa mtusi,lazima uendane na teknolojia yao,ukishindwa atatafuta tu mtusi mwenzie,maji yakijaa yanakera!
 
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Andika kiswahili basi tupate kukuelewa
 
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukidhani DNA kwa Tz ndo italutatulia tatizo ?? Kwa taarifa yako tu kwenye kipimo lazima mama awezpo na kingine majibu yatakaa wiki moja kisha mtapewa na pia madaktari huwa wanaangalia na effect ya majibu yao kwa watoto kwamba wanaweza kukwambi watoto si wako kisha ukavunja ndoa hii itawaumiza watoto kwa kuwa unaweza muacha mama yao halafu wakalelewa na mzazi mmoja .
Si rahisi kama unavyodhani inahitajika uwe na bonge la connection.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila mtu anaweza aka afford kupima DNA labda kama ingekuwa bure kila mtu angepima kwa watoto wote ila wategemee lolote na endapo itatokea wengine sio wako basi mwisho wa ndoa/ mahusiano
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji178][emoji178]
2020-01-14%2008.15.05.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naskia hata tall amechezewa huo mchezo naskia mtoto mmoja wapo sio wake ni wa swahiba yake wakaribu ndio alimdungua wife.. tall ameshtuka too late 😀😀
 
Mkuu uko sahihi 100%,Hao jamaa ndivyo walivyo,nimeishi Rwanda miaka 10,Burundi na karagwe,vision yao ni ku create tutsi empire, lengo lao likiwa ni kuitawala Africa mashariki na kati, Ni kweli ishu ya kubambikiwa mtoto hata uku kwetu ipo,ila kwa hawa jamaa kwao ni too much pia kabila hili linafanana na wasomali aisee ukioa msomali mwanamke atajitahidi apigwe mashine na msomali mwenzie,tutsi nao ni the same.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mambo inaweza ikawa kweli au si kweli, nimeishi ngara, biharamulo, kabanga, rusumo, hizi stori zipo na watu wanaushahidi nazo, wale wanawake sio wakukaa nao kimasihara sio mtoto mmja tuu yani wote anaweza kuzalia kwao , sijui ndo utamaduni au ndo ujinga na wanasema hata muwe na mapenzi ya dhati kama ya waigizaji wa kwenye runinga bado haitosaidia
 
Back
Top Bottom