jingus
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 471
- 317
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wahutu wenzenu waliopo makambini au waliotoroka makambini au wanaofanya vibarua mashambani huko but we really tzn hutuwafahamu kabisaNinachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]
Blackberry
Yes
Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda.
Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako.
bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba.
Huyo mtoto anahesabiwa ni wao hata akizeeka na wanajuana kwenye system yao. Wewe baba hasa mwenye uwezo au mwanasiasa mkubwa anatumika tu kama mbeleko ya kunawirishia kabila hili lenye warembo wa kuvutia.
Wakuu Kuna ukweli wowote au story tu za wazee wetu Kwenye ghahawa
Andika kiswahili basi tupate kukuelewaNonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukidhani DNA kwa Tz ndo italutatulia tatizo ?? Kwa taarifa yako tu kwenye kipimo lazima mama awezpo na kingine majibu yatakaa wiki moja kisha mtapewa na pia madaktari huwa wanaangalia na effect ya majibu yao kwa watoto kwamba wanaweza kukwambi watoto si wako kisha ukavunja ndoa hii itawaumiza watoto kwa kuwa unaweza muacha mama yao halafu wakalelewa na mzazi mmoja .Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tall ndio nani?Naskia hata tall amechezewa huo mchezo naskia mtoto mmoja wapo sio wake ni wa swahiba yake wakaribu ndio alimdungua wife.. tall ameshtuka too late [emoji3][emoji3]
Sawa!Mkuu uko sahihi 100%,Hao jamaa ndivyo walivyo,nimeishi Rwanda miaka 10,Burundi na karagwe,vision yao ni ku create tutsi empire, lengo lao likiwa ni kuitawala Africa mashariki na kati, Ni kweli ishu ya kubambikiwa mtoto hata uku kwetu ipo,ila kwa hawa jamaa kwao ni too much pia kabila hili linafanana na wasomali aisee ukioa msomali mwanamke atajitahidi apigwe mashine na msomali mwenzie,tutsi nao ni the same.
Sent using Jamii Forums mobile app