Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Duh π€£Umeona kasheshe hii?
Halafu wiki kadhaa zilizopita waliitana kindugu kufanya press eti kusapotiana kimataifa
Ndio maana Afisa Habari wa Simba hakuenda, kwasababu walikuwa wanafanya unafiki tu.
Hatuui mada tuna expose ushamba wa Yanga.Hapo unaua mada kwa kujieleza sana
Timu walizozipokeaPamoja na kuwawekea video watasema ni propaganda
Sasa si umeona ushaaribu madaHatuui mada tuna expose ushamba wa Yanga.
Kuna baadhi ya vitu huwezi kushangazwa kuviona kwasababu vinafanywa na mashabiki.
Lakini kuona kiongozi wa juu kabisa wa Club anavaa hadi jezi ya timu pinzani huo ni ushamba
tumewashika uchawi kazi mnayo na mkawapa na dawa wazimwage uwanjaniIzo ni editing tu mambo yanaendaje kombo wakati sisi hatuhusiki nao
Halafu anatoka mtu huko.kavimbiwa ugali wa muhogo anasema hersi ni kichwa cha mpiraUmeona kasheshe hii?
Halafu wiki kadhaa zilizopita waliitana kindugu kufanya press eti kusapotiana kimataifa
Ndio maana Afisa Habari wa Simba hakuenda, kwasababu walikuwa wanafanya unafiki tu.
Kaka ongelea mpira hapa hoja sio uchawi kama uchawi ungekuwa Dili basi Nigeria angekuwa bingwa wa kombe la duniatumewashika uchawi kazi mnayo na mkawapa na dawa wazimwage uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muwasindikize wagenu wenu huko.Hizi habari sio za kweli ni uzushi Kabisa kwanza inabidi uulize sisi tunakaa kigamboni kwanza Hawa jamaa hawajafanya mazoezi avic town sio kweli
π€£πππππ€£π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muwasindikize wagenu wenu huko.
Wee usitudanganye hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani unaamini kilichoandikwa hapo?
Basi wewe huzijui vizuri timu za Kariakoo, Simba na Yanga ni mapacha wasioweza kuumizana linapokuja suala la kitaifa na hili mashabiki wengi wa miaka hii hawakijui...
Kama kweli Yanga iliwahost hao jamaa, basi ilikuwa ni makakati mahususi wa kimafia wa timu hizi za Kariakoo [emoji28], kuwaingiza mkenge hao wageni wakiamini wamepata rafiki kumbe ni tego...
Na kama wamekula vya Avic na walishaji ni Yanga, wajue wamekula vya Simba pia [emoji28]
Mmmh kwa hili hapanaaa, tuachee kwaniHazijawahi kuacha kuwa kitu kimoja kwenye maslahi ya kitaifa...
Hizi ni habari ambazo wanachama wa kawaida hawatakiwo kujua...
Hivi unajua kuwa kwenye mechi kubwa hawa jamaa wanaweza tumia mchawi/wachawi wale wale...?
Bora wee umesemaa hapa. LolWewe ndio kumbe hujui.
Simba na Yanga hazijawahi kuombeana mema kwa namna yeyote ile bila kujalisha ni katika ushiriki wa michuano ambayo inaweza kuitangaza nchi.
Kila timu ina hiyo spirit.
Hata wanaojitokeza hadharani kusema kwamba wanaiunga mkono Yanga au Simba kwa kigezo cha kuiwakilisha nchi, wengi hufanya kwa unafki tu sio kwa mapenzi ya kweli kutoka moyoni.
Utofauti unakuja ni kwenye njia zinazotumika katika kuonesha wewe huisapoti Yanga au Simba kwenye michuano ya kimataifa.
Kwa Simba utaona kabla na baada ya mechi wakionesha kutoitakia mema Yanga kwenye mechi yao ya kimataifa.
Hiyo inaitwa inderect
Lakini kwa Yanga utaona hilo lipo tofauti.
Kwani hadi viongozi wanahusika kama mpango kazi wa kuifelisha Simba.
Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wake waliwahi kwenda kuwapokea wapinzani wa Simba ili Simba ifungwe.
Yanga ndio timu pekee ambayo imewahi kuwatengea semina ya kuwapa mbinu wapinzani wa Simba ili waifunge Simba.
Yanga ndio timu pekee ambayo viongozi wao waliwahi kutoa shutuma za uongo kwa timu pinzani kuwa iwe makini na vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba hupulizia sumu.
Na jana tulisikia hizi tetesi za Jwaneng Galaxy kupokelewa hapo Kigamboni
Japo hiyo habari bado haijawa confirmed ila kupitia rekodi hizo hapo juu naona hilo linauwezekano mkubwa kuwa ni kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23] yeye si alitaka 5? Tumempa na 1 la nyongezaa.[emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji23]
Nakazia ni USHAMBAAAAAHatuui mada tuna expose ushamba wa Yanga.
Kuna baadhi ya vitu huwezi kushangazwa kuviona kwasababu vinafanywa na mashabiki.
Lakini kuona kiongozi wa juu kabisa wa Club anavaa hadi jezi ya timu pinzani huo ni ushamba
π€£ππ Embu lala uko π[emoji23][emoji23][emoji23] yeye si alitaka 5? Tumempa na 1 la nyongezaa.
Sisi ndo simbaaaa, muwasindikize wageni wenu hukoooo.
Kichwa cha mpira atakuwa yule?Halafu anatoka mtu huko.kavimbiwa ugali wa muhogo anasema hersi ni kichwa cha mpira
Wapumbavu kabisa hao
Nilale? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji23] Embu lala uko [emoji23]
Ngoja nije kukutupia jini hapo kwenu π€£ππππNilale? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi kukucheee, nafurusha majini uchwara wa Avic Town leo.
Nina marashi kutoka Cairo, lete hayo majini yako yasipokua machizi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nije kukutupia jini hapo kwenu [emoji1787][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]
π€£ππππ UtazimiaNina marashi kutoka Cairo, lete hayo majini yako yasipokua machizi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]