Je, ni kweli Yanga tunafanya hivi?

Yani unasema propaganda wakati video na picha zipo, kuna mtu kaweka video juu hapo mkipokea mashabiki ni uwongo huo ??
 
Umefunga mjadala
 
Na vipi pale Raisi wa TFF alipozionya timu zinazopokea wapinzani alikuwa muongo au ?
 
Jwaneng Galaxy ni timu bovu tu hatua ya makundi kafunga goli moja tu hiyo nayo ni timu..kwanza ilitakiwa icheze na lipuli au tra hakuna timu pale ya kubweka nayo..
Wachezaji wengi wa Jwaneng Galaxy hata uwezo tu wa kutuliza mpira mguuni hawana kipa ana kitambi kama afisa masurufi..
 
Yani unasema propaganda wakati video na picha zipo, kuna mtu kaweka video juu hapo mkipokea mashabiki ni uwongo huo ??
Ndugu mtu akisema propaganda maana yake ni mpango fulani unaandaliwa kwa ajili ya jambo fulani. Kwa maana hiyo hata ushahidi wa picha na video unaweza kuwepo ili ku emphasize kile kilichokusudiwa.

Propaganda sio habari ya uongo au udaku, ni uhalisia ila upo kwa ajili mlengo fulani. Uelewe hilo
 
Inatusaidia nini sisi? Haya kiko wapi? Na kama Simba wangeshindwa sisi tungefaidika na nini? Hizi ni roho za kichawi tu. Viongozi badilikeni acheni huu upumbavu.

Mwishoni wote tunaonekana tu vilaza.
View attachment 2922583
Kumbe na maana baada ya mechi kule Misri walirudi mapema kabla ya mechi yetu kuchezwa.Daaaah Mungu ni mwema tumemunywa shoga yao 6-0
 
Wakati Manara anawaambia wapinzani wa Simba wasiingie vyumbani wala wasiwashe AC naona ulikuwa kwenu Tandahimba huko hujaja mjini bado
Maskini AS-Vita Hadi walivalia Jezi zao Barabarani kwa kumsikiliza Minara Mitatu.
Walitishwa sana, hadi Maafisa wa CAF walishikwa na Butwaa maana Dactari wao hakuona dalili yoyote ya hujuma.

Walianzia kuwapokea wapinzani wa Simba Uwanja wandege.
Hadi hao wapinzani walipo wakatalia baada ya kuwaibi vitu vyao.

Tumewazoea.
 
Kaizer Chiefs waliokuja kwenye tamasha lenu waliulizwa kuhusu Yanga wakasema hawaijui.
 
 
Kwahiyo mlikuwa sahihi mlichokifanya ? Hivi mpaka Raisi wa TFF akemee bado utasema mipango ya ndani ni kuwa kitu kimoja ???

Kweli Yanga wenye akili wawili tu
 
I
Huyu mwamba anavyotema madini humu halafu ghafla mpira unakuja katikati na kumtemesha pumba kama hizi inasikitisha sana!!
Madini ukiyaona utayajua?

Kwanza ligi ya bongo unaujua na kuifatilia au ndio wale wadau wa big event?
 
Tatizo mnalazimisha hizi timu zipeane sapoti hicho ni kitu hakiwezi tokea, kila mtu apambane na hali yake.
Kwani nani aliyesema tunataka support yenu ? Nyinyi si ndio mliita press conference kuwa tuwe kitu kimoja ilhali nyinyi ndio vinara wa kupokea timu pinzani.

Tukiyasema haya mnapokea timu pinzani, wenzako wanakataa, tazama huko juu pumba walizokuwa wakitema.
 
Kuna haja gani ya kusema timu fulani inapokea timu pinzani.

Labda mnasahau Simba mlipokuwa mnawaspoti TP Mazembe enzi za Manji.

Pokeeni malipo na riba juu.

Simba ikifungwa ni furaha kwa Yanga, Yanga ikifungwa ni furaha kwa Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…