Heshima ipo kifuani?. Ok, itunze huku mtoto akifa njaa?.Uchungu wa mwana haihusiani na hii mada, Mama anatakiwa ajisitiri na kutunza heshima yake mbele za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima ipo kifuani?. Ok, itunze huku mtoto akifa njaa?.Uchungu wa mwana haihusiani na hii mada, Mama anatakiwa ajisitiri na kutunza heshima yake mbele za watu.
Mama anatakiwa afiche au kufunika kifua chake pale anapo mpatia mtoto chakula hadharaniJe wewe huwa unakula hadharani?
Kama jibu ni ndio basi jiweke kwenye nafasi ya mtoto anatakiwa kunyonya sababu ya njaa na yeye na mamaake wapo kwenye basi safari ya Mpanda kwenda Mwanza
Mkusanyiko kwa maana ya sehemu iliyo na watu ambao hawana uhusiano halali na Mama wa mtoto.Inabidi huo mkusanyiko uanzie watu wangapi?
Hujaelewa, mtoto anapaswa kupewa chakula lakini Mama yake lazima afiche au kufunika.Heshima ipo kifuani?. Ok, itunze huku mtoto akifa njaa?.
Amino nakwambia kujistiri ktk muktadha wa kufunika viungo vya mwili ni subjective. Kuna jamii ambazo mwanamke kuwekwa sura yake hadharani ni kutokujistiri.Kama hujui maana ya kujistiri basi nenda ukajifunze kwanza kuhusu hilo.
Jamii yetu ya kitanzania inajali heshima ya maumbile ya mwanamkeAmino nakwambia kujistiri ktk muktadha wa kufunika viungo vya mwili ni subjective. Kuna jamii ambazo mwanamke kuwekwa sura yake hadharani ni kutokujistiri.
Sioni shida asipofunika. Kuna shida gani lands?Hujaelewa, mtoto anapaswa kupewa chakula lakini Mama yake lazima afiche au kufunika.
LabdaMama anatakiwa afiche au kufunika kifua chake pale anapo mpatia mtoto chakula hadharani
Akili yako inawaza ngono tu.Nyege mbaya! mtoto anyonye popote kwa namna yoyote
Kama una heshima na nidhamu ndyo utajua sababu na umuhimu wa kusisitiza kujisitiriLabda
Ila saaababu hasa ni nini
Mimi ni mtanzania piaJamii yetu ya kitanzania inajali heshima ya maumbile ya mwanamke
Kama huoni shida ni sawa, huo ni mtazamo wakoSioni shida asipofunika. Kuna shida gani lands?
Kama kazungukwa na mume pamoja na michepuko yake Kama ishirini hivi,kuna haja ya kujificha?Ndio, maziwa hayatakiwi kuonekana na mtu yeyote, tofauti na mume wake
Ni dhahiri una misingi ya heshima, nidhamu na utu..... Vyema sana MkuuMimi binafsi naona sio vizuri
Ndo maana nikasema inategemea na muundo na quality ya nyonyo tajwa...mfano mimi nyonyo ya bhoke nikiiona tu hata kama hanyonyeshi nafeel mabata ushungi wallahLakini sio wote wanaofanya matangazo
We ukiona mtoto ananyonya unawaza nn? ungekua unaakil usngeleta huu uzAkili yako inawaza ngono tu.
Mabata ushingi ndyo nini Mkuu?Ndo maana nikasema inategemea na muundo na quality ya nyonyo tajwa...mfano mimi nyonyo ya bhoke nikiiona tu hata kama hanyonyeshi nafeel mabata ushungi wallah
Akili ninazo ndyomaana nakemea vitendo vya kuonesha sehemu za siri hadharaniWe ukiona mtoto ananyonya unawaza nn? ungekua unaakil usngeleta huu uz