Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Unataka apinge kukusanya kodi?
Huna akili kabisa kuna nchi inaendelea bila kodi.
Fyatu kabisa wewe
Wajinga kama wewe huwa sijibizani nao anyway kwakuwa ndo mara ya mwisho ngoja nikujibu hivi.

Kwahiyo statement yangu umeisoma ukaelewa naongelea kodi tu sindio matamshi ya viongozi wanayoyatoa bila hofu ya uongozi kanakwamba Tanzania ipo kwa ajiri yao na sio wao kwa ajiri yetu hilo huoni sasa hivi tumefikia mpaka diwani anaenda nigeria kwa ziala ya kikazi hilo huoni kodi zinapanda bila mfumo maalumu sasahivi kodi kuwekwa wiki hii na kutolewa wiki ijayo ni kitu cha kawaida yaani nchi haitabiriki unafikiri ni mfanya biashara gani atawekeza kwenye nchi ambayo kiongozi yeyote ni sawa na Rais, nchi ambayo serikali inatabiri na kupromote bidhaa kupanda bei badala ya kutafuta suluhu, nchi ambayo transaction moja makato malambilimbili, nchi ambayo kilakitu ni pongezi hujui nyuma ya izo pongezi kuna nini kinaendelea hujui kama Rais kufanya kazi ndio wajibu wake na sio hiari, kwasasa waTanzania tunampambania Rais kuliko hata mungu.
 
Wewe huwezi? Kwa hio wewe ulikuja Duniani kusubilia wengine wakusemee? Kwani Mbowe si anavuta Oxygen ambayo na wewe unavuta?
 
Pambaneni huko huko kwenye liccm lenu.

Mbowe si mlimfunga na Tundu Lissu mkampiga risasi?
 

Nyie wapumbavu wa CCM si ndiyo mlikuwa mnapiga vigelegele wakati yule dhalim mporipori wenu anatumia mitutu ya bunduki kuhakikisha Bunge lote linakuwa la CCM? Sasa mnataka Mbowe na Lissu wakasemee wapi wakati hata mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani imepigwa marufuku kwa amri ya Rais? Ndiyo mjifunze mjue hasara ya kuwa na Bunge la kijani tupu. Hao wabunge wenu vilaza wameshapigwa pini kutopinga hoja yoyote inayoletwa Bungeni na Serikali. Na tozo ndiyo imeshatungiwa sheria na hao mazezeta wenu wameshaipitisha,sasa mnataka wapinzani washike bunduki? Mimi nasema tozo na kodi nyingine ziongezwe ili wapumbavu kama wewe mleta uzi huu akili ziwakae sawa.
Viongozi wenu wanapoharibu nchi mnashangilia mkifiri wanawakomoa wapinzani,sasa mtulie kimyaaa dawa iwaingie fresh.
 
Sasa wabunge wenu vilaza wa CCM wameshaipitisha tozo kuwa Sheria hebu tuekeze hapa ulitaka Mbowe afanye nini? Kama ukishindwa kutoa pendekezo nini cha kufanya funga hilo domo lako chafu milele. Kosa ifanye CCM na Serikali yake lawama kwa Mbowe na Chadema are you mad? Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM
 

Wewe kilaza jifunze hasara ya kuwa na wabunge wengi wa CCM. Dhalim alitumia mitutu ya bunduki kuhakikisha Bunge lote linakuwa la CCM hii ndiyo hasara yake. Uchaguzi ungekuwa wa huru na haki hata kama CCM ingeshinda urais isingekuwa na wabunge wengi kiasi cha kuburuzwa na Serikali. Mlishangilia sana upinzani kukosa wabunge sasa shangilieni na tozo zilizopitishwa na wabunge wa CCM.
 
Hao sio wenzetu tena tujipange upya %95 ya hawa ni watu wa deal za kisiasa kuanzia sasa hata utakapoona wanaongea hawamaanishi chochote.
 
Hujui hata kinachojadiliwa.
 
Miaka yote wabunge wa ccm ndio huwa wengi huko bungeni kuliko wa upinzani na maana yake wakitaka kupitisha jambo lao hulipitisha.
 
Miaka yote wabunge wa ccm ndio huwa wengi huko bungeni kuliko wa upinzani na maana yake wakitaka kupitisha jambo lao hulipitisha.
Unaona unavyojikanyaga sasa. Bila wizi wa kura CCM isingekuwa na wingi wa wabunge wa kuweza kuyumbishwa na watawala. Point ni hasara kuwa na wabunge wengi wanaopokea maagizo toka serikalini.
 
Hao sio wenzetu tena tujipange upya %95 ya hawa ni watu wa deal za kisiasa kuanzia sasa hata utakapoona wanaongea hawamaanishi chochote.
Lakini mbona 95% ya Bunge ni CCM,hao mnaowasema hawapo kwenye mfumo wa utawala wa nchi hii,jee wanastahili lawama kweli? Hao mnao waamini ndiyo wako madarakani sasa hizi kelele na mayowe yenu za nini?
 
Wapuuzi nyie watu wanaumia na kuteseka wao na familia zao nyie mmekaa tu nyuma ya keyboard hamuwaungi mkono hata kwa kuandamana barabarani na mabango. sasa na wao wamepumzika kila mtu apambane na hali yake.
 
Ukifika uchaguzi unatuwekea nyimbo za ccm mbele kwa mbele ukija kupata kiminyo toka kwa serikali yako uliyoichagua unaanza kuwalaumu Mbowe na lissu bro kila mtu ashinde mechi zake hd tutakapokuwa na kauli moja km wakenya
 
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.
Pole sana ndugu.
Kumbe bado unaendelea na mistali ya 'luturgia' ya IBADA kwa nabii njozi wa BURIGI. Nakuona kama vile una bidii kubwa ya kujitafutia laana bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…