Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga kama wewe huwa sijibizani nao anyway kwakuwa ndo mara ya mwisho ngoja nikujibu hivi.Unataka apinge kukusanya kodi?
Huna akili kabisa kuna nchi inaendelea bila kodi.
Fyatu kabisa wewe
Wewe huwezi? Kwa hio wewe ulikuja Duniani kusubilia wengine wakusemee? Kwani Mbowe si anavuta Oxygen ambayo na wewe unavuta?Hujui unachokibishia unafikiri mbowe ni mwanamziki? mbowe ni mwanasiasa na kiongozi wa upinzani ilitakiwa yeye ndo awe wa kwanza kupinga haya yanayoendelea sasa kuliko hata kipindi cha nyuma na hiyo ndo nafasi alioichagua au unafikili siasa ni mpaka uchaguzi tu
Pambaneni huko huko kwenye liccm lenu.Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Wewe ni kielelezo cha mpumbavuLissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.
Sasa wabunge wenu vilaza wa CCM wameshaipitisha tozo kuwa Sheria hebu tuekeze hapa ulitaka Mbowe afanye nini? Kama ukishindwa kutoa pendekezo nini cha kufanya funga hilo domo lako chafu milele. Kosa ifanye CCM na Serikali yake lawama kwa Mbowe na Chadema are you mad? Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCMSijalaumu bali nawaambia mnaosema hatukufanya kitu Mbowe alipofungwa kana kwamba ndio mtanzania pekee kufungwa kionevu wakati yeye alipofungwa watu walipiga kelele hadi akaachiwa ila wapo watanzania wengine huko jela kabla ya Mbowe na hakuna wa kuwapigia kelele kama ilivyokuwa kwa Mbowe, sasa ajabu kaachiwa anakuja kukaa kimya.
Kwani hata Mbowe angekuwepo huko bungeni na hizo tozo zikapita ndio ina maana na yeye kapitisha hizo tozo au kwamba Mbowe ndio alikuwa anaweza kuzuia wabunge wa ccm wasipitimishe mambo yao?
Watu wanachokisema ni kutokuona Mbowe akikosoa tena serikali kitu ambacho hakiitaji yeye hadi awe mbunge.
Hao sio wenzetu tena tujipange upya %95 ya hawa ni watu wa deal za kisiasa kuanzia sasa hata utakapoona wanaongea hawamaanishi chochote.Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Hujui hata kinachojadiliwa.Sasa wabunge wenu vilaza wa CCM wameshaipitisha tozo kuwa Sheria hebu tuekeze hapa ulitaka Mbowe afanye nini? Kama ukishindwa kutoa pendekezo nini cha kufanya funga hilo domo lako chafu milele. Kosa ifanye CCM na Serikali yake lawama kwa Mbowe na Chadema are you mad? Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM
Miaka yote wabunge wa ccm ndio huwa wengi huko bungeni kuliko wa upinzani na maana yake wakitaka kupitisha jambo lao hulipitisha.Wewe kilaza jifunze hasara ya kuwa na wabunge wengi wa CCM. Dhalim alitumia mitutu ya bunduki kuhakikisha Bunge lote linakuwa la CCM hii ndiyo hasara yake. Uchaguzi ungekuwa wa huru na haki hata kama CCM ingeshinda urais isingekuwa na wabunge wengi kiasi cha kuburuzwa na Serikali. Mlishangilia sana upinzani kukosa wabunge sasa shangilieni na tozo zilizopitishwa na wabunge wa CCM.
Unaona unavyojikanyaga sasa. Bila wizi wa kura CCM isingekuwa na wingi wa wabunge wa kuweza kuyumbishwa na watawala. Point ni hasara kuwa na wabunge wengi wanaopokea maagizo toka serikalini.Miaka yote wabunge wa ccm ndio huwa wengi huko bungeni kuliko wa upinzani na maana yake wakitaka kupitisha jambo lao hulipitisha.
Wewe hutaki kuelewa ninachosema .Hujui hata kinachojadiliwa.
Lakini mbona 95% ya Bunge ni CCM,hao mnaowasema hawapo kwenye mfumo wa utawala wa nchi hii,jee wanastahili lawama kweli? Hao mnao waamini ndiyo wako madarakani sasa hizi kelele na mayowe yenu za nini?Hao sio wenzetu tena tujipange upya %95 ya hawa ni watu wa deal za kisiasa kuanzia sasa hata utakapoona wanaongea hawamaanishi chochote.
Wapuuzi nyie watu wanaumia na kuteseka wao na familia zao nyie mmekaa tu nyuma ya keyboard hamuwaungi mkono hata kwa kuandamana barabarani na mabango. sasa na wao wamepumzika kila mtu apambane na hali yake.Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Kwa hiyo hayo ndio maoni yako?Ngoja tuone maoni ya bavicha
Njozi yako itakapoisha utajikuta ni kichekesho.Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Pole sana ndugu.Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.