Wewe uliwahi kuwaunga mkono katika harakati walizokuwa wanazipigania? Ama ulivuta shuka na kujiambia moyoni watajua wenyewe?Bavicha hawaamini wanachokiona uturn iliyopigwa na maadui wapya wa taifa ni ya hatari ππ
Unaona unavyojikanyaga sasa. Bila wizi wa kura CCM isingekuwa na wingi wa wabunge wa kuweza kuyumbishwa na watawala. Point ni hasara kuwa na wabunge wengi wanaopokea maagizo toka serikalini.
Sijalaumu bali nawaambia mnaosema hatukufanya kitu Mbowe alipofungwa kana kwamba ndio mtanzania pekee kufungwa kionevu wakati yeye alipofungwa watu walipiga kelele hadi akaachiwa ila wapo watanzania wengine huko jela kabla ya Mbowe na hakuna wa kuwapigia kelele kama ilivyokuwa kwa Mbowe, sasa ajabu kaachiwa anakuja kukaa kimya.
Duh.........
Kwani hata Mbowe angekuwepo huko bungeni na hizo tozo zikapita ndio ina maana na yeye kapitisha hizo tozo au kwamba Mbowe ndio alikuwa anaweza kuzuia wabunge wa ccm wasipitimishe mambo yao?
Watu wanachokisema ni kutokuona Mbowe akikosoa tena serikali kitu ambacho hakiitaji yeye hadi awe mbunge.
Wakati wanapambana walikuwa wanapambana na nani?,Hawa jamaa wamefungwa,wamenusurika kuuwawa!!sasa hapo adui wa Taifa ni nani?Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Acha mawazo mgando wameona hakuna cha kupinga maana mama amekaba kila sekta inaenda vizuri ata wanaopinga wanaforce tu lakini ukweli wanajua mama anaupiga mwingi haijawaitokeaHapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Hao sio wenzetu tena tujipange upya %95 ya hawa ni watu wa deal za kisiasa kuanzia sasa hata utakapoona wanaongea hawamaanishi chochote.
Mkuu swali ni kwamba mbona kakaa kimya hakosoi haya yanayoendelea? Hatujasema aanzishe mgomo,maandamano wala movement yeyote bali kinachowashangaza watu ni kimya chake.Ndio nikasema ilaumu serikali yako ya CCM. Kama haina Sera madhubuti ya magereza Hilo Ni shauri lake. Mbowe kashachafuliwa kwa kuitwa gaidi. Movement yoyote atakayoifanya kuipinga serikali atapewa kesi ya uhaini, hivyo ametulia akipanga mikakati mingine.
Kumbe Mbowe huwa anawasemea wanachedema tu na si wananchi kwa ujumla?Kama sio wenzenu mbona kila siku kelele?. Bakini na lichama lenu la CCM mnaloliabudu kila siku. Mnashindwa kuiambia serikali ukweli kuhusu ugumu wa Maisha mmebakia kujificha kwenye mgongo wa Mbowe.
Hao siyo maadui wa taifa Kwasababu hawajahatarisha usalama wa taifa kwa namna yoyote ile.Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Tatizo lako umeathirika na uccm na uchadema na kufikiri kila mtu ni mshabiki wa vyama, wengine hata kupiga kura tulishaacha.Una matatizo, kwa hivyo shida yako ni kumuona Mbowe akikosoa tu basi. Ila wabunge ambao wanakuwakilisha wewe bungeni hauna tatizo nao?. Nilidhani ungetumia nguvu nyingi kuwasema wabunge waliopitisha tozo na kuondoa fao la kujitoa, kuliko Mbowe ambaye ametangaza kuwa mwaka ujao anaachia uenyekiti wa CHADEMA.
Kuna haja gani ya kuhatarisha maisha yao kuwapambania wa tz wapumbavu kama wewe?Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Kwa hiyo unaamini kuwa kesi ya Mbowe iliisha kwa kuombewa???!!!! Kulikuwa na ushahidi gani pale hata wa kusema tu kuwa ana kesi ya kujibu? Mbaya zaidi mpuuzi mmoja aliyesababisha hayo anateuliwa kwenye nafasi moja nyeti sana!!!Mkuu mbona kuna watanzania kibao jela wamefungwa kionevu na wako hadi hawana watu wa kuwaaombea kutoka kama ilivyokuwa kwa Mbowe.
Kwa hiyo wabunge mliowachagua nyie wako upande gani? Wa wananchi au wa serekali?Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.
Nionyeshe uzi wowote au bandiko lolote ulilopandisha humu JF ukiilalamikia serikali au hata kuishauri. Wewe si ulikuwa unakejeli watu humu na kutaka mbowe afungwe?Sijalaumu bali nawaambia mnaosema hatukufanya kitu Mbowe alipofungwa kana kwamba ndio mtanzania pekee kufungwa kionevu wakati yeye alipofungwa watu walipiga kelele hadi akaachiwa ila wapo watanzania wengine huko jela kabla ya Mbowe na hakuna wa kuwapigia kelele kama ilivyokuwa kwa Mbowe, sasa ajabu kaachiwa anakuja kukaa kimya.