Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Bavicha hawaamini wanachokiona uturn iliyopigwa na maadui wapya wa taifa ni ya hatari 😂😂
Wewe uliwahi kuwaunga mkono katika harakati walizokuwa wanazipigania? Ama ulivuta shuka na kujiambia moyoni watajua wenyewe?
Hapa akili na fikra zako zinajitanabaisha bayana kuwa hukuwahi kuwaza Wala kusumbuliwa na harakati zako na Sasa unawalaumu Kwa kuwaita wapiga kelele! Ungezitambua na kuziunga mkono harakati zao za kudai katiba mpya usingewabatiza majina hayo!
Teuzi hazijaisha, endelea kujipendekeza huenda ukaonwa!
 
Unaona unavyojikanyaga sasa. Bila wizi wa kura CCM isingekuwa na wingi wa wabunge wa kuweza kuyumbishwa na watawala. Point ni hasara kuwa na wabunge wengi wanaopokea maagizo toka serikalini.

..ili tufaidi matunda ya demokrasia bunge letu linatakiwa liwe ratio ya angalau 55 / 45 kati ya chama tawala vs wapinzani.

..yaani wapinzani wawe na akidi ya kutosha kuisimamia na kuirekebisha serikali wakati wote.

..chama tawala na serikali hawapaswi kuwa na idadi kubwa ya wabunge kiasi cha kupitisha bajeti na miswada ya sheria peke yao.
 
Sijalaumu bali nawaambia mnaosema hatukufanya kitu Mbowe alipofungwa kana kwamba ndio mtanzania pekee kufungwa kionevu wakati yeye alipofungwa watu walipiga kelele hadi akaachiwa ila wapo watanzania wengine huko jela kabla ya Mbowe na hakuna wa kuwapigia kelele kama ilivyokuwa kwa Mbowe, sasa ajabu kaachiwa anakuja kukaa kimya.

Ndio nikasema ilaumu serikali yako ya CCM. Kama haina Sera madhubuti ya magereza Hilo Ni shauri lake. Mbowe kashachafuliwa kwa kuitwa gaidi. Movement yoyote atakayoifanya kuipinga serikali atapewa kesi ya uhaini, hivyo ametulia akipanga mikakati mingine.
 
Kwani hata Mbowe angekuwepo huko bungeni na hizo tozo zikapita ndio ina maana na yeye kapitisha hizo tozo au kwamba Mbowe ndio alikuwa anaweza kuzuia wabunge wa ccm wasipitimishe mambo yao?
Watu wanachokisema ni kutokuona Mbowe akikosoa tena serikali kitu ambacho hakiitaji yeye hadi awe mbunge.

Una matatizo, kwa hivyo shida yako ni kumuona Mbowe akikosoa tu basi. Ila wabunge ambao wanakuwakilisha wewe bungeni hauna tatizo nao?. Nilidhani ungetumia nguvu nyingi kuwasema wabunge waliopitisha tozo na kuondoa fao la kujitoa, kuliko Mbowe ambaye ametangaza kuwa mwaka ujao anaachia uenyekiti wa CHADEMA.
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Wakati wanapambana walikuwa wanapambana na nani?,Hawa jamaa wamefungwa,wamenusurika kuuwawa!!sasa hapo adui wa Taifa ni nani?
Acha njaa njombaaa,kama huna kitu we toa hata pekee,kuliko kuwa chawa wa ccm/utawala.
Yaani aliyenusurika kuuliwa,ndio adui wa Taifa!!!vipi kuhusu wale waliowashambulia!!?
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Acha mawazo mgando wameona hakuna cha kupinga maana mama amekaba kila sekta inaenda vizuri ata wanaopinga wanaforce tu lakini ukweli wanajua mama anaupiga mwingi haijawaitokea
 
Hao sio wenzetu tena tujipange upya %95 ya hawa ni watu wa deal za kisiasa kuanzia sasa hata utakapoona wanaongea hawamaanishi chochote.

Kama sio wenzenu mbona kila siku kelele?. Bakini na lichama lenu la CCM mnaloliabudu kila siku. Mnashindwa kuiambia serikali ukweli kuhusu ugumu wa Maisha mmebakia kujificha kwenye mgongo wa Mbowe.
 
Ndio nikasema ilaumu serikali yako ya CCM. Kama haina Sera madhubuti ya magereza Hilo Ni shauri lake. Mbowe kashachafuliwa kwa kuitwa gaidi. Movement yoyote atakayoifanya kuipinga serikali atapewa kesi ya uhaini, hivyo ametulia akipanga mikakati mingine.
Mkuu swali ni kwamba mbona kakaa kimya hakosoi haya yanayoendelea? Hatujasema aanzishe mgomo,maandamano wala movement yeyote bali kinachowashangaza watu ni kimya chake.
 
Kama sio wenzenu mbona kila siku kelele?. Bakini na lichama lenu la CCM mnaloliabudu kila siku. Mnashindwa kuiambia serikali ukweli kuhusu ugumu wa Maisha mmebakia kujificha kwenye mgongo wa Mbowe.
Kumbe Mbowe huwa anawasemea wanachedema tu na si wananchi kwa ujumla?
 
Sijui kama una taarifa kuwa lidikteta na li bwanyenye lenu, mr ‘jiwe’ tulililaxa chini ya ardhi likiwa halina ujanja kisha tukafukia na juu ya kaburi lake tuka seal kwa nondo na zege ili lisi choropoke???
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Hao siyo maadui wa taifa Kwasababu hawajahatarisha usalama wa taifa kwa namna yoyote ile.
Ila ni watu walionyamazishwa kwa kupewa stahiki zao.
 
Kusema kweli nilikua nawamini Sana mbowe na lisu lakini Kwa haya yanayoendelea Kwa kweli hatuna wapinzani Tanzania
 
Una matatizo, kwa hivyo shida yako ni kumuona Mbowe akikosoa tu basi. Ila wabunge ambao wanakuwakilisha wewe bungeni hauna tatizo nao?. Nilidhani ungetumia nguvu nyingi kuwasema wabunge waliopitisha tozo na kuondoa fao la kujitoa, kuliko Mbowe ambaye ametangaza kuwa mwaka ujao anaachia uenyekiti wa CHADEMA.
Tatizo lako umeathirika na uccm na uchadema na kufikiri kila mtu ni mshabiki wa vyama, wengine hata kupiga kura tulishaacha.
Halafu wale waliyokuwa bungeni ni wabunge wako pia iwe uliwapigia kura au hukuwapigia kura na siku zote wabunge wa ccm ndio huwa wengi kule bungeni kuliko wakina Mbowe na Lissu.
 
Kusema kweli nilikua nawamini Sana mbowe na lisu lakini Kwa haya yanayoendelea Kwa kweli hatuna wapinzani Tanzania mama kawapa ububu kabisa
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Kuna haja gani ya kuhatarisha maisha yao kuwapambania wa tz wapumbavu kama wewe?

Ninyi si mliaminishwa na marehemu kuwa wapinzani ni wakala wa mabeberu na kuwa wanachelewesha maendeleo? Mkaiba uchaguzi mkaingia bungeni wenyewe?

Wamepiga kelele nyingi wakati huo wewe huna hata time unachezea tu nyeti za basha wako. Sasa mambo yamebadilika wameona ni upuuzi kupigia mbuzi gitaa!

Pambaneni na hali zenu kmmmk, si mliwachagua wote wapo huko bungeni?

Ndio hapo sasa mjue upinzani una faida zake.

Na tunaomba serikali ibuni namna ya kuongeza tozo nyingine tena iwe hata 1M ili wenye vichwa vibovu kama wewe mleta mada mzinduke. Na badooo!
 
Mkuu mbona kuna watanzania kibao jela wamefungwa kionevu na wako hadi hawana watu wa kuwaaombea kutoka kama ilivyokuwa kwa Mbowe.
Kwa hiyo unaamini kuwa kesi ya Mbowe iliisha kwa kuombewa???!!!! Kulikuwa na ushahidi gani pale hata wa kusema tu kuwa ana kesi ya kujibu? Mbaya zaidi mpuuzi mmoja aliyesababisha hayo anateuliwa kwenye nafasi moja nyeti sana!!!
 
Sijalaumu bali nawaambia mnaosema hatukufanya kitu Mbowe alipofungwa kana kwamba ndio mtanzania pekee kufungwa kionevu wakati yeye alipofungwa watu walipiga kelele hadi akaachiwa ila wapo watanzania wengine huko jela kabla ya Mbowe na hakuna wa kuwapigia kelele kama ilivyokuwa kwa Mbowe, sasa ajabu kaachiwa anakuja kukaa kimya.
Nionyeshe uzi wowote au bandiko lolote ulilopandisha humu JF ukiilalamikia serikali au hata kuishauri. Wewe si ulikuwa unakejeli watu humu na kutaka mbowe afungwe?
 
Back
Top Bottom