Je, ni wakati wa vijana kufikiria kutafuta kazi nje ya nchi?

Je, ni wakati wa vijana kufikiria kutafuta kazi nje ya nchi?

Kukomaa na kumtanguliza mungu pekee ndo silaha yangu nikweli najua maisha ya MTU yako kwa MTU lakini hatupaswi kulazimisha watu wengine watusaidie kama hawataki kikubwa nitafanya kulingana na uwezo wangu naimani mungu atabariki
Pamoja kamanda

Utafanikiwa tu

Ova
 
Ooh sawa mkuu kwa upande wako.
Huenda ikawa mimi nilitaka connection kubwa sana. 100k+ purchase
Uelewe tu linked sio kama yutube ambayo unataka views. Linked unatakiwa ujue unataka nini mtu mmoja tu anaweza kukutoa kutoka sehemu mmoja mpaka nyingine. Unatakiwa kujua unatafuta nini
 
K
Kwenye nchi zilizoendelea kwasasa kuna uhaba mkubwa wa vijana wa kufanya kazi lakini wakati huohuo kuna janga kubwa la vijana wasikuwa na kazi Tanzania. Pamoja ni jitihada nyingi za serikali za kusaidia vijana kupata kazi na kufanya shughuli za kilimo ni lazima vijana nao wajiongeze walau kuweka mikakati ya muda wakati serikali ikijipanga vizuri hasa kwenye viwanda na mashamba ya mikakati. Badala ya kushinda vijiweni huu ni wakati wa serikali kufikiria zaidi ya Tanzania kwenye mambo ya ajira.

Tatizo tofauti na jamii za nchi jirani kama Kenya na Uganda watu wengi Tanzania wameweka utamaduni wa kuaminisha vijana wakienda nje tu kutafuta maslahi eti sio wazalendo. Ni bora wabaki vijiweni na kupuyanga wakati hawana uwezo wa kuchangia chochote kwa familia zao na wazazi wao. Naomba mlielewe siongelei vijana wote lakini nacho sema hapa tusiweke madongo kwa wale wanaotafuta maslahi nje ya nchi. Je, kuna fursa zipi hasa na nashauri nini. Hii ni kwa wale vijana wasio na kazi wala vipato

1. Serikali msione aibu kuongea na kampuni kubwa za teknologia ambazo zinaajiri watu nchi nyingine. India mfano wanafanya kazi nyingi sana za nchi nyingine kuanzia engineering design, accounting, programming, computer coding, technology training. Sasa je, ni kwanini hakuna jitihada zozote za kuwezesha Watanzania waweze kuajiriwa wakiwa Tanzania. Nasema hivyo kwasababu mimi nipo USA na naona hizi nchi kuna watu wengi sana wanafanya kazi kutoka nchi nyingine. Kuna kampuni ya Houston, Texas ambayo ina wafanyakazi zaidi ya 100 na wanafanyia kazi India!. sasa hawa wametuzidi nini. Mawaziri wetu wa teknologia hata kujiangaisha au kufikiria haya hawafanyi.

2. Serikali iweke uhusiano mzuri na diaspora na kuwawezesha diaspora wenye nafasi za kiungozi kuweza kuajiri Watanzania. Tatizo kwasasa hakuna sheria ambazo ziko wazi mfano kama manager diaspora yupo Canada na anataka kumpa kazi kijana Mtanzania na afanyie kazi kutoka Tanzania je ni sheria gani za kikodi na uwazi zipo kwasasa ili yule mwajiri aweze kuwa na uhakika anafuata sheria? Je tunasheria za hivi au hatuna? mafao na kodi zinalipwa vipi?

3. Watanzania vijana wahangaikie kazi za muda. Nchi nyingi zina kazi za muda kuanzia kwenye kilimo, meli za wageni, hospitali, mahoteli.. na hata ujenzi. Vijana badala ya kushinda mitandaoni na kuendesha bodaboda kwa Tsh 10,000 kwa siku tumia muda wako kutafuta kazi nje. Hizi kazi ni za mikataba mwaka mpaka miaka mitatu halafu unaweza kurudi wakati serikali nayo imejipanga. Mjue tu miaka ya 1995-2000 kuna watanzania wengi tu walienda USA kwenye program ya summer camp. walitafuta wenyewe lakini vijana wa siku hizi ni wepesi kulalama badala ya kutafuta fursa.

4.Vijana tafuteni " mentor" au washauri wenye uzoefu. Kuna Watanzania Dunia nzima wewe ni kijana wa miaka 20's badala ya kulalama tafuta mtu mzima wa kukushauri ambaye anafanya kitu ambacho wewe unapenda. Tatizo leo mnashinda kufikiri na kutaka kuwa kama Diamond au Nandy badala ya kutafuta wataalamu au wafanyabiashara ambao unataka kuwa kama wao. Sio lazima wawe Tanzania. Jioulize Je una account ya linked? ume connect na watanzania gani ambao wewe unataka kuwa kama wao? linked ni bure kwanini hauja connect hasa kwa wasomi? Hata hapa vijana kuna watu wengi wakuwapa mawazo lakini mnakimbilia kupiga madongo!madongo yanakusaidia nini?

5. Vijana msisubiri serikali. Serikali haijawahi kusaidia vijana kama wakati huu lakini vijana wa huko nyuma miaka ya 1990's na 2000's walienda kutafuta vyuo na maslahi huko nje wenyewe na marafiki zao sio kwa msaada wowote wa serikali. Tatizo vijana mnasubiri sana serikali ambayo itachukuwa muda sana kuweka mambo ya ajira sawa. Nawashauri tafuteni kazi popote Duniani ilimradi unasaidia familia yako. Lakini usisahau nyumbani

Kukaa nyumbani vijiweni na kulalama siku hadi siku sio uzalendo. Na usijidanganye kuwa wewe ni mzalendo kuliko yule kijana anayetuma pesa kusaidia familia yake.

Nishatoa ushauri huu

Ubunifu ni muhimu sana kwa nchi. Ushauri wangu huu ni serious sana kuliko watu nwengi wanavyofikiria.

Mimi ni diaspora hapa USA naona jinsi ambavyo kazi nyingi za technolojia zinafanywa kutokea India. Sasa najiuliza kuna ugumu gani ya vijana wetu wanaomaliza shule na kufanya kazi hizi kutokea Tanzania? inawezekana kabisa lakini kunatakiwa kuwa na makubaliano na hizi kampuni.

Nashauri serikali ifanye mwaliko wa hawa maguru na wakubwa wa hizi kampuni ili wafungue data center Tanzania waweze kuajiri wataalamu tofauti hasa kwenye teknolojia. Tusione aibu kuandikia barua na kualika hata kama wakisema hawana muda tunaweza kubahatisha mmoja.

Niongezee tu kwenye soko la hisa za Marekani 50% ni kampuni za teknolojia hizo hapo ni thamani za kampuni mfano Apple hapo ni $T2.3 na Oracle ni $240B

bolCompanyCap Rank
1-27-23
Market Cap
1-27-23
1d Chg
1-27-23
1m Chg
1-27-23
12m Chg
1-27-23
AAPLApple12,311.01.4%12.2%-8.3%
MSFTMicrosoft21,848.00.1%4.7%-17.2%
GOOGLAlphabet31,294.3-0.9%-1.1%-34.6%
AMZNAmazon41,042.6-1.6%-10.6%-48.1%
BRK-ABerkshire Hathaway5682.80.0%1.7%1.9%
TSLATesla6561.811.0%63.0%-35.6%
NVDANvidia7501.02.8%44.2%-7.2%
TSMTaiwan Semiconductor8483.9-0.2%25.5%-19.8%
VVisa9477.23.0%12.2%12.3%
XOMExxonMobil10476.1-1.8%4.9%53.9%
UNHUnitedHealth11454.1-1.3%-8.6%5.3%
JNJJohnson & Johnson12439.8-0.4%-5.2%-1.4%
JPMJPMorgan Chase13411.60.2%6.5%-3.4%
METAMeta14397.93.0%29.8%-48.5%
WMTWalmart15386.50.8%-0.4%5.5%
MAMastercard16359.6-0.9%8.1%6.7%
CVXChevron17347.0-4.4%-0.1%32.6%
PGProcter & Gamble18331.6-0.4%-8.7%-11.7%
LLYEli Lilly19325.1-1.7%-6.2%44.5%
HDHome Depot20322.80.9%-0.9%-11.1%
BABANvidia21313.4-1.8%31.7%5.9%
BACBank of America22284.40.3%9.0%-22.0%
MRKMerck23267.2-1.4%-6.0%30.8%
ASMLASML24266.6-2.4%24.2%5.2%
KOCoca-Cola25261.6-0.5%-5.8%1.4%
ABBVAbbVie26258.7-0.8%-10.3%7.6%
AVGOBroadcom27247.0-1.3%6.8%9.0%
PFEPfizer28245.8-1.0%-14.4%-18.0%
ORCLOracle
Larry Ellison-Oracle Corporation
1675091721306.png

Tesla-Elon Musk
1675091739883.png

Microsoft-Satya Narayana Nadella
1675091764181.png

Alphabet-Google-Sundar Pichai
1675091784044.png


SAP CEO Christian Klein
1675091807608.png


IBM CEO Arvind Krishna's
1675091826399.png
Kuna chimbo la kazi abroad nimelistukia majuzi linaaitwa Indeed nimeapply kazi nyingi za sales na marketing kazi za kampuni za Arizona hapa Nina interview kama 4 za online ,
 
Uelewe tu linked sio kama yutube ambayo unataka views. Linked unatakiwa ujue unataka nini mtu mmoja tu anaweza kukutoa kutoka sehemu mmoja mpaka nyingine. Unatakiwa kujua unatafuta nini
You better elucidate well.
Vijana wengi wetu tunapenda mambo yasiyo tija.

LinkedIn ✅
Jamii forum ✅
Quora ✅
WhatsApp ✅

App hizo hutosheleza mahitaji yangu
 
K

Kuna chimbo la kazi abroad nimelistukia majuzi linaaitwa Indeed nimeapply kazi nyingi za sales na marketing kazi za kampuni za Arizona hapa Nina interview kama 4 za online ,
Hongera, jitahidi kuomba kazi nchi ambazo unajua kabisa utapata visa kirahisi, nchi kama canada kazi zipo nyingi tatizo lipo kwenye visa ina masharti kibao lazima ufanye mtihani wa lugha ambao ni laki saba, kama ni kazi za kutunza wazee lazima upite red cross kupata mafunzo, visa inachukua mpaka miezi 6 kupata. Lakini mtu akijipanga akafanikiwa kufika huko kihalali kabisa basi kupata mafanikio ni ndani ya mwaka tuu especially mtu ambae hajaenda na familia
 
Yeah ndio maana nasema anaye shindwa kupata pass kwa sababu ya barua basi huyo hana nia ya Safari bali ni malalamiko FC

Watu wana zipata mtaani kama njugu wanazo wame weka ndani

Wengine mpaka chanjo wanaenda chomea zenji wapate vikadi kamavya ATM vya uviko

Leo watu wana kaa mtandaoni wame kariri kama insha za kidato cha nne mfekane war, maji maji war...!
Mkuu safari ni ndefu sana Kila tatizo mtu anajitoa kuwajibika ananyoosha kidole kwa mwingine.
 
Napenda kutoa maoni na kujenga kuliko kulaumu na hiyo naona ni kati ya tofauti ya vizazi. Ingependeza zaidi kama ungetoa maoni tufanye nini step kwa step tuondokane na tatizo. Mfano kama passport zinasumbua basi tafuta mtu aliyefuatilia ili tujue ni sehemu gani hasa inakwamisha mambo ili tuweze kuwaelekeza wahusika kwa uhalisia. mfano tatizo ni wanataka documents nyingi, rushwa, technologia, muda au pesa ya kibali chenyewe?

Maoni fall on deaf ears. Sio kwamba hawajui ila hawataki. Nchi inayokataa uraia pacha kwa nguvu kabisa karne ya leo, nchi inayoogopa kutumia PayPal, what does that tell you? Kuna mtu haiamini paypal ukitoa bongo?

NALA ya mbongo kaitoa bongo sasa is headquartered Kenya, that speaks volume. That is a slap in the face. Ila wao wanaona fresh tu. Hakuna international comapny hata moja inataka kuwa na makao makuu bongo, sasa hadi balozi zote zinahamia Kenya miviongozi ya bongo inaona fresh tu. Ile nchi is doomed.
 
Kwenye nchi zilizoendelea kwasasa kuna uhaba mkubwa wa vijana wa kufanya kazi lakini wakati huohuo kuna janga kubwa la vijana wasikuwa na kazi Tanzania. Pamoja ni jitihada nyingi za serikali za kusaidia vijana kupata kazi na kufanya shughuli za kilimo ni lazima vijana nao wajiongeze walau kuweka mikakati ya muda wakati serikali ikijipanga vizuri hasa kwenye viwanda na mashamba ya mikakati. Badala ya kushinda vijiweni huu ni wakati wa serikali kufikiria zaidi ya Tanzania kwenye mambo ya ajira.

Tatizo tofauti na jamii za nchi jirani kama Kenya na Uganda watu wengi Tanzania wameweka utamaduni wa kuaminisha vijana wakienda nje tu kutafuta maslahi eti sio wazalendo. Ni bora wabaki vijiweni na kupuyanga wakati hawana uwezo wa kuchangia chochote kwa familia zao na wazazi wao. Naomba mlielewe siongelei vijana wote lakini nacho sema hapa tusiweke madongo kwa wale wanaotafuta maslahi nje ya nchi. Je, kuna fursa zipi hasa na nashauri nini. Hii ni kwa wale vijana wasio na kazi wala vipato

1. Serikali msione aibu kuongea na kampuni kubwa za teknologia ambazo zinaajiri watu nchi nyingine. India mfano wanafanya kazi nyingi sana za nchi nyingine kuanzia engineering design, accounting, programming, computer coding, technology training. Sasa je, ni kwanini hakuna jitihada zozote za kuwezesha Watanzania waweze kuajiriwa wakiwa Tanzania. Nasema hivyo kwasababu mimi nipo USA na naona hizi nchi kuna watu wengi sana wanafanya kazi kutoka nchi nyingine. Kuna kampuni ya Houston, Texas ambayo ina wafanyakazi zaidi ya 100 na wanafanyia kazi India!. sasa hawa wametuzidi nini. Mawaziri wetu wa teknologia hata kujiangaisha au kufikiria haya hawafanyi.

2. Serikali iweke uhusiano mzuri na diaspora na kuwawezesha diaspora wenye nafasi za kiungozi kuweza kuajiri Watanzania. Tatizo kwasasa hakuna sheria ambazo ziko wazi mfano kama manager diaspora yupo Canada na anataka kumpa kazi kijana Mtanzania na afanyie kazi kutoka Tanzania je ni sheria gani za kikodi na uwazi zipo kwasasa ili yule mwajiri aweze kuwa na uhakika anafuata sheria? Je tunasheria za hivi au hatuna? mafao na kodi zinalipwa vipi?

3. Watanzania vijana wahangaikie kazi za muda. Nchi nyingi zina kazi za muda kuanzia kwenye kilimo, meli za wageni, hospitali, mahoteli.. na hata ujenzi. Vijana badala ya kushinda mitandaoni na kuendesha bodaboda kwa Tsh 10,000 kwa siku tumia muda wako kutafuta kazi nje. Hizi kazi ni za mikataba mwaka mpaka miaka mitatu halafu unaweza kurudi wakati serikali nayo imejipanga. Mjue tu miaka ya 1995-2000 kuna watanzania wengi tu walienda USA kwenye program ya summer camp. walitafuta wenyewe lakini vijana wa siku hizi ni wepesi kulalama badala ya kutafuta fursa.

4.Vijana tafuteni " mentor" au washauri wenye uzoefu. Kuna Watanzania Dunia nzima wewe ni kijana wa miaka 20's badala ya kulalama tafuta mtu mzima wa kukushauri ambaye anafanya kitu ambacho wewe unapenda. Tatizo leo mnashinda kufikiri na kutaka kuwa kama Diamond au Nandy badala ya kutafuta wataalamu au wafanyabiashara ambao unataka kuwa kama wao. Sio lazima wawe Tanzania. Jioulize Je una account ya linked? ume connect na watanzania gani ambao wewe unataka kuwa kama wao? linked ni bure kwanini hauja connect hasa kwa wasomi? Hata hapa vijana kuna watu wengi wakuwapa mawazo lakini mnakimbilia kupiga madongo!madongo yanakusaidia nini?

5. Vijana msisubiri serikali. Serikali haijawahi kusaidia vijana kama wakati huu lakini vijana wa huko nyuma miaka ya 1990's na 2000's walienda kutafuta vyuo na maslahi huko nje wenyewe na marafiki zao sio kwa msaada wowote wa serikali. Tatizo vijana mnasubiri sana serikali ambayo itachukuwa muda sana kuweka mambo ya ajira sawa. Nawashauri tafuteni kazi popote Duniani ilimradi unasaidia familia yako. Lakini usisahau nyumbani

Kukaa nyumbani vijiweni na kulalama siku hadi siku sio uzalendo. Na usijidanganye kuwa wewe ni mzalendo kuliko yule kijana anayetuma pesa kusaidia familia yake.

Nishatoa ushauri huu

Ubunifu ni muhimu sana kwa nchi. Ushauri wangu huu ni serious sana kuliko watu nwengi wanavyofikiria.

Mimi ni diaspora hapa USA naona jinsi ambavyo kazi nyingi za technolojia zinafanywa kutokea India. Sasa najiuliza kuna ugumu gani ya vijana wetu wanaomaliza shule na kufanya kazi hizi kutokea Tanzania? inawezekana kabisa lakini kunatakiwa kuwa na makubaliano na hizi kampuni.

Nashauri serikali ifanye mwaliko wa hawa maguru na wakubwa wa hizi kampuni ili wafungue data center Tanzania waweze kuajiri wataalamu tofauti hasa kwenye teknolojia. Tusione aibu kuandikia barua na kualika hata kama wakisema hawana muda tunaweza kubahatisha mmoja.

Niongezee tu kwenye soko la hisa za Marekani 50% ni kampuni za teknolojia hizo hapo ni thamani za kampuni mfano Apple hapo ni $T2.3 na Oracle ni $240B

bolCompanyCap Rank
1-27-23
Market Cap
1-27-23
1d Chg
1-27-23
1m Chg
1-27-23
12m Chg
1-27-23
AAPLApple12,311.01.4%12.2%-8.3%
MSFTMicrosoft21,848.00.1%4.7%-17.2%
GOOGLAlphabet31,294.3-0.9%-1.1%-34.6%
AMZNAmazon41,042.6-1.6%-10.6%-48.1%
BRK-ABerkshire Hathaway5682.80.0%1.7%1.9%
TSLATesla6561.811.0%63.0%-35.6%
NVDANvidia7501.02.8%44.2%-7.2%
TSMTaiwan Semiconductor8483.9-0.2%25.5%-19.8%
VVisa9477.23.0%12.2%12.3%
XOMExxonMobil10476.1-1.8%4.9%53.9%
UNHUnitedHealth11454.1-1.3%-8.6%5.3%
JNJJohnson & Johnson12439.8-0.4%-5.2%-1.4%
JPMJPMorgan Chase13411.60.2%6.5%-3.4%
METAMeta14397.93.0%29.8%-48.5%
WMTWalmart15386.50.8%-0.4%5.5%
MAMastercard16359.6-0.9%8.1%6.7%
CVXChevron17347.0-4.4%-0.1%32.6%
PGProcter & Gamble18331.6-0.4%-8.7%-11.7%
LLYEli Lilly19325.1-1.7%-6.2%44.5%
HDHome Depot20322.80.9%-0.9%-11.1%
BABANvidia21313.4-1.8%31.7%5.9%
BACBank of America22284.40.3%9.0%-22.0%
MRKMerck23267.2-1.4%-6.0%30.8%
ASMLASML24266.6-2.4%24.2%5.2%
KOCoca-Cola25261.6-0.5%-5.8%1.4%
ABBVAbbVie26258.7-0.8%-10.3%7.6%
AVGOBroadcom27247.0-1.3%6.8%9.0%
PFEPfizer28245.8-1.0%-14.4%-18.0%
ORCLOracle
Larry Ellison-Oracle Corporation
1675091721306.png

Tesla-Elon Musk
1675091739883.png

Microsoft-Satya Narayana Nadella
1675091764181.png

Alphabet-Google-Sundar Pichai
1675091784044.png


SAP CEO Christian Klein
1675091807608.png


IBM CEO Arvind Krishna's
1675091826399.png
Mbona walianza kitambo? Walizamia meli au kutembea moka Algeria. Unasahau nani alileta Nguruwe (504)?
 
Ukiweka nia utapata mkuu. Kila mwaka Fulbright wanapeleka walimu kufundisha Lugha vyuo mbali mbali nje. Fuatilia.
Jaribu DRC, RWANDA au SA. Tatizo ni kwamba sirikari wanajua lakini hawatangazi kazi hizo.
 
Wanaosema kupata passport Tanzania ni ngumu wapo serious au ni kutaka tu kuonesha serikali haitoi passport.
Mimi passport ya kwanza Nilipata ndani ya siku mbili mwaka 2017 kwa elfu hamsini ile ile,Leo nimetoka kufuatilia passport mpya kwa hela ile ile laki moja na nusu.
Watanzania tunaongozwa na maneno ya mtaani na mtandaoni.
Mtu hujawahi fuatilia passport na kushindwa au kurudishwa unalalamika mtandaoni.
Tuache upuuzi.
 
Jaribu DRC, RWANDA au SA. Tatizo ni kwamba sirikari wanajua lakini hawatangazi kazi hizo.

Najua tunapenda kuongelea serikali lakini najaribu kuwaelimisha vijana mnatakiwa fikra itoke kwako kwanza. Nimeshatoa mifano hapa mingi wakati wetu hatukusubiria serikali kwa lolote kwasababu hakuna cha maana zaidi ya elimu ya tuition miaka ile ambacho serikali tulikuwa tunawategemea. Naona hapa vijana bado mnafikira sana serikali je nyie vijana wa miaka hii mnafanya nini kujikwamua. Je ni jitihada gani binafsi mnafanya ambazo hazihusishi serikali? Ya serikali nayo tumesha yasema
 
Andiko bora la mwaka, vijana wamestuck...... hakuna progress hawana future na wengi wanashindwa hata kuwa na familia sasa tutakuja kuwa na wazee wa hovyo hapo baadae
Huu ni ukweli mchungu. Wazazi na wazee wa kitanzania wamelala usingizi wa muda mrefu sana. Hawakuwa serious katika kuweka misingi ya ustawi wa jamii matokeo yake wamewanyima direction vijana wa kizazi cha kuanzia 1980 kuja 2000.
 
Nakumbuka sisi watoto wa form six miaka hiyo 1997 wakati nakuja. Tulitafuta shule wenyewe bila mitandao tulienda america culture center/ usaid pale , tulifanya mitihani ya toefl mzizima wenyewe, tulituma application kwa DHL wenyewe, interview wenyewe na tumekuja hizi nchi hatufahamu watu na tuna miaka 20 tu. Wazazi walikuwa hawjui lolote zaidi ya kusaidia nauli! Wewe unataka mimi eti ndiye nikupe gharama inaonyesha uvivu wa kizazi hiki ulipofikia.

Dogo mimi sina shida hapa naandika kuwasaidia nyie na kama mnaona huu ni utani Mungu wangu anajua najaribu kurudisha na kuelimisha jamii[emoji120].
Dah bro ndio unatusema hivyo kweli hadi tunaona aibu. Hapa mimi najiona bonge la mzembe maana hayo unayoyasema kwasasa naona kama hayawezekani.
 
FYI hata sisi tupo USA so you're preaching to the choir. Sijasema vijana hawabebi lawama kabisa ila nimesema serikali inabeba lawama zaidi. Ni wazi kupata passport bongo ni kazi wakati nchi zingine passport ni haki yako. Serikali ambayo haitaki hata paypal utaiambia nini kuhusu kuvutia tech companies? Unadhani ni kwanini Microsoft, google, twitter, BBC, Visa, FB hadi NALA kampuni ya mbongo kabisa are headquartered in Kenya badala ya TZ? Hapo napo utalalamikia vijana? Ndo maana nasema 80% ya shortcomings za vijana in the tech world ni sera mbovu za serikali.

Nisome hapa: Diaspora Hawatoi connection?
Well said [emoji122]
 
Picha linaanza kwenye kupata passport tuu, utaambiwa nenda ukalete cheti cha kuzaliwa cha babu mzaa baba sasa unajiuliza hivi nini maana ya kuwa na kitambulisho cha taifa (NIDA) kwa maana hiyo tuu inatosha kupata taarifa zote. Urasimu upo karibu kwenye kila sekta.
Na hizo nchi mfano India nk zina mikataba na nchi zinazohitaji hizo labour ,watu wanalaumu vijana tu ,watu wako biased ,we unafikiri unaamka tu umevimbiwa Makande unaenda Marekani kufanya kazi Ibm au wherever ? Tu kisa umepata barua ya mualiko ,?
Mnafikiri wamarekani ni wajinga , au unafikiri system ya kuajiri Marekani ni kama wahindi wanavyo ajiri hapa bongo ?
Yaani utoke tu bongo uende Marekani kufanya kazi , mnajua hata taratibu za kuajiri foreigners Marekani na nchi nyingine za magharibi ?

Mnafikiri Kenya ni wajinga serikali yao kuingia hiyo mikataba ili kuondoa vizingiti kwa raia wa Kenya kupenya kwenye soko la ajira hizo nchi za nje ? Kama ingekuwa ni rahisi kama mnavyodhani hizo agreements baina ya mataifa kuhusu ajira zingekuwepo ?.

Tanzania balozi mmejaza mataahira Makada wa ccm na vilaza wa jeshini humo na vimada wenu ,kazi kubenepeana tu huko badala ya kufanya kazi ya scouting opportunities zilizopo huko kwa raia kama ajira nk ,mbona Kenya wanafanya ? , Tanzania mabalozi walioko huko wana mitindo gani wa ubongo kushindwa kufanya kama mabalozi wa Kenya wafanyavyo ?
Kazi kuandaa tu bajeti za mabilioni kila mwaka kutumika katika hizi balozi bila faida yoyote .Upotevu wa pesa za uma
 
Serikali inashindwa kuzalisha ajira ni lazima iwajibike kwa asilimia kubwa kutafutia raia wake alternative nje ya nchi ,
 
Back
Top Bottom