Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
-
- #21
Visauti ni nini mkuu?Ndio haja ipo tena sana kwa sababu Sisi binadamu ni Social beings,lakini ni lazima wote wawili muwe na Spiritual Stamina, vinginevyo visauti vitawatafuna!
Haha wewe ndio wanakuita lucia, ila utani mbaya sana hahaKweli naomba namba yako tuwe marafiki tu sikutongozi, nataka unifundishe neno
TutafundishanaMbona mimi silijui neno sasa mkuu
Sawa kaka😊Tutafundishana
Heshima tu, mimi rafiki yangu mmoja wa karibu ni mwanaume na ameishia pia kuwa rafiki wa bebi wangu kupitia mimi.Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Urafiki wenu ni wa umalayaUpo urafiki tena unawezekana
Mimi nimeweza kuwa na rafiki mwanamke huwa namtumia kupata mademu wengine
Wazungu wanaita wingman ila huyu namwita wing woman
Kutokana anaweza kunichukulia namba sehemu ambazo mimi siwezi kufika
Ni minong'ono ya nafsini mfano "Unaona paja hilo?","Cheki kifua hicho" n.kVisauti ni nini mkuu?
Shida walio wengi hawana heshima kabisa haswa hawa niliokutana nao mimiHeshima tu, mimi rafiki yangu mmoja wa karibu ni mwanaume na ameishia pia kuwa rafiki wa bebi wangu kupitia mimi.
Hiyo ndiyo inayopelekea watu kukulanaNi minong'ono ya nafsini mfano "Unaona paja hilo?","Cheki kifua hicho" n.k
Pole, inabidi upate marafiki ambao hawakutamani 😂😂 na ukiwa na bebi asiwe na wivu uliopitiliza!Shida walio wengi hawana heshima kabisa haswa hawa niliokutana nao mimi
Solution yake ni kuwa na Spiritual Stamina tu hamna namna!Hiyo ndiyo inayopelekea watu kukulana
Sitaki kabisa marafiki wa kiume aisee🥲🙌Pole, inabidi upate marafiki ambao hawakutamani 😂😂 na ukiwa na bebi asiwe na wivu uliopitiliza!
Siyo kuacha kabisa urafiki na mtu wa jinsia tofauti na yako??Solution yake ni kuwa na Spiritual Stamina tu hamna namna!
Kama huo urafiki ndio chambo ya Ndoa kuna ubaya?. Hofu inatoka wapi?Siyo kuacha kabisa urafiki na mtu wa jinsia tofauti na yako??
Urafiki utadumu tu kama mtwangio na kinu vikitoa ushirikiano .Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Wenye nia hiyo wachache lakiniKama huo urafiki ndio chambo ya Ndoa kuna ubaya?. Hofu inatoka wapi?
Hapo mnaweza kupoteza na urafiki wenyewe tuUrafiki utadumu tu kama mtwangio na kinu vikitoa ushirikiano .
Unataka wawe wengi ili iweje?. Kwenye Uchache ndipo penye thamani.Wenye nia hiyo wachache lakini
Akikuona hivyo ndio unakuwa hivyo? JIAMINI,ishi uhalisia wako!Ukiwa na urafiki na demu usipomla anakuona kama domo zege, asipokuona domo zege basi atakuona we ni shoga ake.. asipokuona ni shoga ake basi atakuona una kibamia...