Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Kwani hadi sasa mnazuiwa kufanya mikutano?

Si dhalimu wenu kafa?

Kataza lipo na sisi tunaendelea huku kwenye mitandao kama kawaida, au unaona hatari sana?
 
Robert Heriel:

Polisi jamii ni hao hao panya road na wezi, na wanatuhuma nyingi za uporaji usiku. Nina uhakika wewe hulindi mkuu. Kwanza hakuna tukio linaweza kutokea mahali popote wasiju, na panya road wanaofanya hivyo vitendo wapo na wanajulikana.
 
tatizo la wananchi kukimbia unaijua. rushwa ubambikaji wa makosa mpaka utoke! si bora ukimbie
 
Unadhani polisi wapo wengi sana kiasi cha kutosha kulinda kila mtu?

....jukumu la usalama lianzie kwenu
Sawa kabisa kaka, kumbuka, panya rodi wako na siraha, na raia haruhusiwi kuwa na siraha, siraha ziko police,

Linapotokea hilo, nguvu ya police itumike
 
Couldn't help..nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake.
 
Kwanini yanatokea sasa.
 
Muliro jumanne muliro atawashughulikia hao wote na hali itakuwa shwari kabisa.
 
tatizo la wananchi kukimbia unaijua. rushwa ubambikaji wa makosa mpaka utoke! si bora ukimbie
Gharama ya kukipata kitu chako ni bora uchange ukanunue kipya.
Utaombwa vocha,hela ya mafuta,nauli,hela ya kula yaani uliyeibiwa unageuzwa dili hawa jamaa wanakula kotekote.Kibaka nae kama hakuna mlalamikaji,anaombwa rushwa anatoka.
 
Njia pekee ya kudili na watu primitives ni kuwafanyia uprimitives zaid.
Kule Dar kwa wakurya ukiingia 18 unakamatwa njemba kama sita au zaidi hizi unakamatwa kichwa unatikishwa kwa nguvu sana kisha unaambiwa nenda tumekusamehe
 
Mtaa mkiwa na umoja mnakodisha kampuni binafsi ya ulinzi yenye silaha.
 
Undeni vikundi vyenu vya ulinzi shirikishi mjilinde wenyewe acheni uoga.

Halafu hao ni vijana wenu mnaishi nao huko kwenu huenda hayo ni matokeo ya malezi mliyowapa, jiulizeni mlikosea wapi.
Umetoka kazini umechoka,unawacha kulala unaenda kukesha kupigwa na baridi unalinda sungusungu?

Hawa maskarii kazi yao ni nini?
Wanalipwa kwa kodi zetu na bado tuwasaidie majukum yao?
 
Abiria chunga mzigo wako.
Police awafiki hata laki Moja tupo milioni 60 nani watalindwa nani waache, halafu kuondoa Mende mtaani siyo Kazi ya police hio ni ya jamii husika.
Jamii ikijichukulia sheria mkononi na njia hiyo ikaonekana ni kawaida na ndio suluhisho sijui mwisho wake itakuaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…