Hili ni weweseko, pole!
 


Most adjustments are done using a device called a programmer. This is a specialized computer that communicates with the pacemaker or ICD using magnetic signals via a "wand" or loop placed over your chest where the device is implanted. Your doctor will instruct you about the schedule of follow-up visits you should keep based on your condition and type of device. You may have an assessment using a monitor and telephone line or an internet connection on a periodic basis. Most current ICDs and some pacemakers can now be followed remotely. This means the device can wirelessly transmit data to your doctor.

Lakini kwa Magufuli ni Corona ilisababisha Pacemaker kutokufanya kazi vizuri. Wengi wenye Pacemaker wakipata Corona wanakufa nashangaa kwanini hawakumlinda vizuri hasa pale ambako Ikulu kulikuwa na watu waliopata Corona. Wengine tumejitahidi sasa sana kushauri kwa upendo lakini kila ukiongea kuhusu Corona watu wanafunga masikio na kuweka siasa. Tumejaribu kushauri sasa sasa kwasababu ya mapenzi yetu lakini watu wengine walifikiria ni siasa.
 
Hoja yako kuwa mission ya kwanza ikikuwa 2020 kumwondoa kwa kura au maandamano ni hoja dhaifu
2020 uchaguzi ulikuwa kwa mujibu wa sheria na kila chama kilishiriki kwa mujibu wa sheria,kila chama kilichoshiriki ikiwepo ccm na Chadema kilikuwa na lengo moja tu kushinda na kuongoza serikali...haikuwa dhidi ya Magufuli

Chadema ilimsimamisha TL ili ashinde na sio kwa matakwa ya mabeberu bali kwa matakwa ya Watanzania ambao walitekeleza wajibu wao kwa kupiga kura nyingi...
 
19 covid hiyo mfumo wa umeme ni maneno tuu yamechonekewa hapo
 
Sijamuona daktari wake katika huu msiba 🤔🤔
 
Ilikuwa system na Rais washituke na kuchukua about turn juu ya porojo za kusali na kuamin kuwa maombi yameondoa corona, baada tu ya kifo cha John Kijazi , Katibu Mkuu Kiongozi.
 
Na mkiendelea na hizi hoja mfu basi Lissu apige tena hapo hapo kwenye mshono. Munamchokoza wenyewe. Ngoja awarudie tena[emoji23][emoji23] munajua anavyojua kuwakera. MATAGA kubalini Mzee hayupo tena. Period...
We Pendo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tundu Lissu anaingiaje hapo.. mbona mnaweweseka sana na jamaa!! Na bado!
Mimi si mpenzi wa Lissu wala huwa sikubaliani naye katika mambo mengi.
Lakini its a fatal failure ya Intelligence kuanza kutafuta scape goats wakati inajulikana kuwa maafa tunayo yaona ni failure ya Intelligence/scientific Analysis.
Threat ilikuw corona , sasa anatafutwa mchawi kumlundikia lawama ili watu wapolish mafaili yao!

Hii ni boy scout naivety!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…