Sijui Kama atakuelewa
 
Katika comments zoote nilizosoma nakupa saluti mkuu umeeleweka
 
Uwezo wako was kuelewa issues ni mdogo Sana...na ndiyo maana unafurahia kifo Cha binadamu mwenzio...very stupid...juha...huwezi kuelewa kitu...umegubikwa na fikra za kishetani..Utafichaje kifo Cha Rais? Yaani Lisu alifichua njama za kuficha kifo Cha Rais? Ufiche kifo Cha Rais ili iweje? Huyo Lisu alijuaje kuwa Rais amekufa? Kwanba he was part and parcel of a plot to kill the President?..you want to tell us Lissu prematurely announced the death of our President? Do you think Lissu is at peace where he is? Who told you Kuna mamlaka inafanya uchunguzi was kifo Cha Rais? Do you know the meaning of conspiracy theories?
 
Wakti Magufuli anamwapisha Bashiru tarehe 27.02.2021 ndiyo ilikuwa siku yake ya mwisho kuonekana hadharani. Baada ya kumwapisha Bashiru, hakuzungumza lolote kama ilivyo kawaida yake. Je alikuwa anaanza kuhisi dalili za corona? J e inawezekana ile ziara aliyofanya Dar Es Salaam wakati wa kufungua stendi ya mabasi ndiyo wakati alipoambukizwa? Nasema hivi kwa sababu tarehe 28.02 Jumapili hakuonekana kanisani kama ilivyo kawaida yake. Upo uwezekano mkubw kuwa siku ya Jumamosi wakati anamuapisha Bashiru alikuwa hajisikii vizuri na ndiyo maana hakuzungumza na Jumapili dalili zikawa zimezidi ndiyo maan alishindwa kwenda kanisani. Mengine yamebaki kuwa historia ila somo tunaloweza kujifunza hapa ni kuwa tusipuuze corona. Tuombe Mungu huku tukichukuwa tahadhari
 
Usukumani, mtu akfa hata ni kawaida ichinjwe kuku ya ramle kutafuta sababu, inawezekana hili ndo jibu wamepewa. !?
 
Usukumani, mtu akfa hata ni kawaida ichinjwe kuku ya ramle kutafuta sababu, inawezekana hili ndo jibu wamepewa. !?
 
Tamko la serikali linasemaje kuhusu ugonjwa uliomuondoa JPM? Hayo ya Corona unajua wewe na wenzio ambao ni JPM haters...tuambie wewe mwrnzetu hatua unazochukua kupambana na Corona..
 
Ni athari ya COVID 19/SARS 2; oxygen ilikuwa chaini ta 70%. Kuweni makini.
 
Tamko la serikali linasemaje kuhusu ugonjwa uliomuondoa JPM? Hayo ya Corona unajua wewe na wenzio ambao ni JPM haters...tuambie wewe mwrnzetu hatua unazochukua kupambana na Corona..
Tamko la serikali lilisemaje wakati hajaonekana hadharani? Kufa ka corona siyo dhambi na mtu yoyote hata mimi inaweza kunipata. Nachoeleza hapa ni ukweli.
 
Mkuu with all due respect naomba usituzungumzie,jizungumzie mwenyewe.Na hii sio theory,it is a real possibility.Na kwamba sijui lazima mtu awe karibu,hili sio tatizo,mtu anaweza kutafutwa,akawa karibu,na akatimiza uovu huo.The likes of Bill Gates,Anthony Fauci and Rockefeller have unlimited money at their disposal and can literally pay any amount of money as long as their mission is accomplished. Na njaa za watanzania hizi, nani atakataa a Billion or more.

And then don't forget that the American alert inaweza kuwa zuga, ili wasiwe suspected.Kwa technology ilipo leo,naamini kabisa kwamba satellite inaweza kutumika,not forgetting HAARP of course.

Mkuu we need this information,tunahitaji kujua kitu gani kimemuua Rais wetu.Circumstances za kifo chake zinachanganya sana.If there is something you are tying to hide pole sana,possibly unajaribu kumtetea baba yako Shetani, Pythagoras nakujua!
 
Tutangaze kwanza ndio tuanze kuvimba, na lazima tuyajue madhara ya kujitoa ndio tufanye uamuzi wa kujitoa.
Hadi USA wanafanya maamuzi hayo ujue tayari Kuna shida.Hata hivyo madhara yslishaonekana kitambo Hebu kumbuka ishu ya vile vipimo vya Corona.Rip Jiwe alitufungua macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…