Huyo kafa kwa covid 19. Imekuwa hivyo sababu.imemkuta na magonjwa mengi yasiyotibika
 
Acha kufuru wewe mshamba, juzi hapa umetahiriwa kwa msaada wa walipa kodi wa marekani kwanini huyo unaemsujudu hakutoa? Na hao 4.2 bil labda umechanganya na misukule ya gamboshi iliyokufa tangu kabla ya kifo cha Confucius.
 
Kwa hiyo wanaokufa kwa COVID Wana act yaani wanakufa kiuongouongo? Kweli hii nchi ina vilaza, yaani unasema anasadikika halafu una conclude kwamba haupo ni wa kufikirika? Wewe ni maiti inayotembea
 
mimi bado najiuliza waliowaaminisha umma wa watanzania hii conspirancy juu ya covid 19 walitafakari kweli kuhusu madhara yake?maana watu wameaminishwa kujifukiza majani,kunywa tangawizi malimao na vitu vingine kama hivyo vinatibu,vipi kuhusu magonjwa mengine tuliyonayo?maana ukimwi zamani watu walikuwa wanahisi wamerogwa wanaenda kwa waganga haya mambo yatarudi tena maana nao ni ugonjwa una conspirancy pia,watu wataacha kutumia condom maana nazo pia huwa hawaziamini wanatumiatu shingo upande maana zinatoka hukohuko kwa mabeberu,watu wataacha kunywa ARVs watakunywa mitishamba,matangazo ya tunatibu ukimwi yatarudi watu watatapeliwa pesa nyingi,watu wataepuka chanjo zote tunazopata kutoka nje maana kuna chanjo nyingi tu tunazitumia mpaka sasa je watu wakianza kuzigomea kama wanavyoaminishwa wagomee chanjo za covid 19 kwamba zina madhara vipi chanjo nyingine zinazotoka huko nje ya nchi?nani atawarudisha watu kwenye mstari?maana tumeshaaminishwa mabeberu hawatutakii mema,tumerudishwa kwenye enzi za kuamini mizizi,mitishamba na mizimu yetu asili yetu waafrika,je hili jambo haliwezi kuleta madhara?maana ndani yake ndio kuna ramli,kuamini umerogwa,kwenda kwa waganga,yani kila kitu ni asili hiyo hadi kwenye kufanya biashara,vikongwe watauwawa sababu ya macho yao mekundu,tulishatoka huko au matukio hayo yalipungua sana nguvu nyingi ilitumika kuwabadilisha watu fikra potofu leo tumerudishwa hukohuko tulikotoka,mambo ya kuamini mkono wa albino unawasaidia watu kwenye biashara,vyeo na mambo mengine kama hayo!nani ataturudisha tena kwenye kuamini Sayansi?maana watu wameamini mafundisho ya kiongozi wao na yamewakaa sawasawa akilini yamekuwa kama mafundisho ya dini,wafuasi wameyashika sawasawa mafundisho ya kiongozi wao wa kiimani,nani atakuja kuyatengua mafundisho hayo?HII NDIO HATARI NA MADHARA TUTAKAYOKUTANA NAYO MBELE YA SAFARI!
 
Ni kweli, mdukuzi anaweza kudukua hata akiwa mbali.
 
Hicho kifaa kinaweza kubadilishwa baada ya miaka 10. Kwanini hawakufanya hivyo?
1. Uzembe mahali
2. Makusudi
N
Kuna nini hasa kwenye hili?
Akili ya kawaida ya utambuzi inaweza kukuambia kilichomuuwa siyo kufeli KWA pacemaker Bali Ni tatizo jingine ambalo mimi na wewe hatulijui.

Ingekuwa Ni hiyo betri kwanini hawakumbadilishia.Na tunaambiwa kuna za kisasa zenye ukubwa wa kidonge.
 
Kwanza nadiklea uwepo wa mungu lkn hayo ya sababu za Mungu kuruhusu mm ndiyo huwa yananidanganya Sana.

Mfano km Ni mpango wa mungu, Delila, Petro ,Yuda na wengine Wana makosa gani wakati haikuwa KWA nguvu zao na wasingeweza kuyazuia hayo.
 
Kwanza nadiklea uwepo wa mungu lkn hayo ya sababu za Mungu kuruhusu mm ndiyo huwa yananidanganya Sana.

Mfano km Ni mpango wa mungu, Delila, Petro ,Yuda na wengine Wana makosa gani wakati haikuwa KWA nguvu zao na wasingeweza kuyazuia hayo.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Isaya 55:8-9​

"Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu."

Warumi 11:33-36​

Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazitafutikani! Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake? Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena? Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.
 
Mimi naiangalia kwa namna nyingine.
Hii pacemaker ina life span na muda wake ukifika inatakiwa kubadilishwa. Je inawezekana madaktari wake walijisahau kuhusu muda wa kuibadilisha?
Ngoja nikupe elimu kidogo, baada ya mimi kuwasikiliza wataalamu na nikawaelewa.

Pacemaker sio life support machine bali assistance heart beat (rhythm) machine. Yaani mgonjwa anaweza kutolewa hicho kidubwacha mwilini mwake na bado akaendelea kuishi na mapigo ya moyo yakaendelea kuwepo japokuwa mwenendo ukawa mbaya. Hivyo hata kikizimika ghafla bado mhusika ataendelea kuishi fresh.

Yote kwa yote, Pacemaker ina betri ndani yake ambayo life span yake ni miaka 5-7 (mara chache huwa miaka 10) na katika kipindi hicho mgonjwa hubadilishiwa. Kuiweka na kuitoa pacemaker sio big deal, nasikia kwa miaka ya karibuni hata Muhimbili pale JKCI hufanya hizo operation.

Kuhusu Magufuli na Pacemaker yake, tetesi za mitandaoni za muda mrefu zinasema alikuwa na Pacemaker ya kisasa sana, na huenda alishabadilisha sio chini ya mara mbili. Na popote alipokuwa akiwepo, kuna Daktari bingwa wa hicho kifaa alikuwa karibu naye ili incase akionyesha dalili mbaya mara moja anawahi kuchukua hatua.
 
Mimi nawaza tu hii misongamano niliyoiona wiki hii hadi tarehe 26 machi 2021, Baada ya hapo tukianza kudondoka kama wale nzige walivyonyweshwa sumu tusianze kusingizia mabeberu yanaihujumu nchi. Yaani kuanzia raisi mpya wa nchi hadi wale waliokuwa wanakimbia pembeni ya barabara( WANYONGE) hakuna aliyechukua tahadhari ya kaugonjwa kapya. Yangu macho
 
Hii yote ni kukwepa kuzungumzia Covid-19?
 
Kuna mambo mtu unatakiwa uelewe kidogo tu.

Kuyajua maandiko lazima ujitoe fahamu na upunguze uwezo wako wa kureason kihesabu (mathematical reasoning) otherwise unaweza kuambiwa unakufuru. Kunahitaji na ujinga kidogo.

Ukihoji unaambiwa huna roho mtakatifu. (Hii alinambia mke wangu Jana, nikamwangalia nikasema hiiiiiiii....)
 
Mimi nilishangazwa na media Kubwa duniani kuandika kuhusu Hali ya Rais tena wakaidai yupo mahututi huku credible source yao ikiwa ni Lissu ambae alianza ku report huko Twitter, Rais ni taasisi, Lissu anamengi ya kutuambia ili tuzidi kujilinda zaidi mana ni kama alikuwa na Partial Plan ya kumtoa mzee sasa atueleze hao Plotters walioligharimu Taifa Taifa letu Tukufu, Diwani msake huyu jamaa awekewe Peremende ageuke nyumbani tumbane atupe ABC, he knows something
 
[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…