mume wa mtu
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 653
- 386
Na akikataa alazimishwe!πMimi nataka Samia Suluhu aongezewe miaka mingine 10π€¨
Huyo kafa kwa covid 19. Imekuwa hivyo sababu.imemkuta na magonjwa mengi yasiyotibikaNimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.
Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa mwaka 2019 linaloonya makampuni yanayotengeneza pacemaker/defibrillator kuhusu hatari ya kifaa hicho kudukuliwa na wataalam wa udukuzi na kupelekea hata kifo kwa watu waliopandikizwa kifaa hicho.
Ukitaka kusoma onyo hilo unaweza kugonga hapa;
Link>>> Pacemakers and Hacker Dangers
Wizara hiyo ilibainisha kuwa wadukuzi wanaweza kuingilia mifumo ya pacemaker/defibrillator na kuweza kubadilisha mawasiliano yake ambapo inaweza kupelekea mtu aliyewekewa kifaa kufariki.
Wizara hiyo ilienda mbali zaidi na kusema hata wadukuzi ''mwenye uwezo mdogo'' wanaweza kudukua pacemaker/defibrillator na kufanikiwa kuleta madhara makubwa kwa watu waliopandikizwa vifaa hivyo kwa sababu vifaa hivyo havina mfumo wa uhakiki au idhini (authentication or authorization) ambao ni kinga ya mwanzo dhidi ya udukuzi.
Onyo hili lilipelekea watoa huduma ya afya nchini Marekani kuwaita wananchi wa Marekani zaidi ya nusu milioni waliopandikizwa vifaa hivyo na kuwaeleza ukweli wake.
Kama kifaa hiki kinaweza kudukuliwa hata na wadukuzi wenye uwezo mdogo na kuleta madhara au kifo, inafikirisha sana kusikia kifo cha Rais Magufuli kimesababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.
Inafikirisha zaidi baada ya kusoma makala iliyoandikwa na Tundu Lissu kupitia gazeti la Afrika ya Kusini liitwalo Maverick akidai alidokezwa kuhusu hali ya Rais Magufuli na chanzo cha ''uhakika'' kutoka Marekani tarehe 6 Machi.
Ukitaka kusoma makala hiyo gonga hapa;
Link>>> OP-ED: Tanzaniaβs five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli
Ukiyachanganua maelezo ya Tundu Lissu utagundua kuwa chanzo cha ''uhakika'' walijua wamefanikiwa ''mission'' ya kudukua hasa baada ya Rais Magufuli kwenda katika hospitali ya Muhimbili tarehe 6 Machi kutibiwa ambapo inaonekana daktari/madaktari walitoa siri hiyo nje lakini baada ya kutoka Muhimbili siku ya pili hawakujua yuko wapi kutokana na usiri wa hali ya juu wa ulinzi wa Rais Magufuli.
Hata gazeti ya Kijasusi liitwalo Africaintelligence halikuweza kujua aliko na likadai habari zinazosema yuko Kenya au India sio za kweli kwa sababu limefanya uchunguzi na kugundua sio kweli.
Kama chanzo cha kifo cha Rais Magufuli kitakuwa ni kudukuliwa kwa pacemaker/defibrillator, hii itakuwa ni aibu na udhaifu mkubwa kwa vyombo vilivyopewa mamlaka ya ulinzi na usalama wa taasisi ya Urais nchini Tanzania. Taasisi ya Ulinzi na Usalama inawezekana ilikuwa imejikita katika ulinzi wa mwili(Physical security ) pekee bila kujiandaa kwenye ulinzi wa saibenetiki(cybersecurity).
Kuna baadhi ya watu watajiuliza, kwa nini pacemaker/defibrillator ya Rais Magufuli idukuliwa kwa sasa?
Mtu mwenye upeo mkubwa atajua muda huu ndio ulikuwa ni muda mwafaka kiujasusi baada ya uchaguzi mkuu 2020 kwa sababu nguvu zilizokuwa zimewekezwa katika Uchaguzi Mkuu 2020 ili kumuondoa Rais Magufuli madarakani kwa njia ya sanduku la kura au maandamano kupitia kwa Tundu Lissu kutofanikiwa.
Ukisikiliza sauti ya tatu utagundua kuwa Tundu Lissu aliwaaminisha ''majasusi'' ana uwezo wa kumtoa Rais Magufuli madarakani kwa kura au maandamano.
Ieleweke kuwa, katika baadhi ya misheni hasa za kijasusi zenye changamano na tata huwa kuna mpango(plan) zaidi ya mmoja. Baada ya mpango wa kwanza kushindwa, mpango wa pili ulichukua nafasi yake na kufanikiwa!
Nadhani hoja za kinadharia kutoka kwa baadhi ya wanasiasa hasa wabunge za kutaka kubadilisha katiba ya Tanzania ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa Urais pia zimeharakisha sana ''mission'' hii kabla hawajaanza kuandika ''miswaada binafsi'' na kupeleka bungeni kwa sababu ungepitishwa bila kikwazo chochote!
Mission accomplished, the rest is history!
NOTA BENE.
Kwa wasiojua, pacemaker/defibrillatorni ni kifaa kidogo cha umeme chenye ukubwa kama kiberiti ambacho hufuatilia na kudhibiti wimbo wa moyo ambacho huingizwa kwenye kifua ili kufuatilia na kudhibiti sauti ya moyo isiyo ya kawaida ili kusukuma damu kwa kiwango kinachotakiwa.
View attachment 1733899
Acha kufuru wewe mshamba, juzi hapa umetahiriwa kwa msaada wa walipa kodi wa marekani kwanini huyo unaemsujudu hakutoa? Na hao 4.2 bil labda umechanganya na misukule ya gamboshi iliyokufa tangu kabla ya kifo cha Confucius.Kwa msiba huu mkubwa wa Baba wa uchumi, tutapata wapi muda wa wa kipuuzi kumzungumzia Tundu Lissu, yeye ataongelewa na wanachadema kwa kuwaulia chama chao. Magu kapanda mbegu ya uzalendo kwa watanzania, kifo chake kimeishikilia dunia hadi leo viewers wanakimbilia 4.2billion.
Piga kazi Mama wa Taifa Mama Samia Suluhu kamilisha maono mliyoratibu na Baba wa uchum
KabisaπππNa akikataa alazimishwe!π
Kwa hiyo wanaokufa kwa COVID Wana act yaani wanakufa kiuongouongo? Kweli hii nchi ina vilaza, yaani unasema anasadikika halafu una conclude kwamba haupo ni wa kufikirika? Wewe ni maiti inayotembeaCORONA ni ugonjwa wa kufikirika. Nina uhakika na hilo kwa sababu nimeshamhudumia mgonjwa aliyesadikika ana CORONA na alikuwa anapumulia mashine kwa miezi miwili. Sikuvaa barakoa wala kutumia sanitizer hata siku 1. Kutakana na jinsi mnavyoupa uzito hata mtu akifa kwa kugangwa na gari mtasema CORONA.
mimi bado najiuliza waliowaaminisha umma wa watanzania hii conspirancy juu ya covid 19 walitafakari kweli kuhusu madhara yake?maana watu wameaminishwa kujifukiza majani,kunywa tangawizi malimao na vitu vingine kama hivyo vinatibu,vipi kuhusu magonjwa mengine tuliyonayo?maana ukimwi zamani watu walikuwa wanahisi wamerogwa wanaenda kwa waganga haya mambo yatarudi tena maana nao ni ugonjwa una conspirancy pia,watu wataacha kutumia condom maana nazo pia huwa hawaziamini wanatumiatu shingo upande maana zinatoka hukohuko kwa mabeberu,watu wataacha kunywa ARVs watakunywa mitishamba,matangazo ya tunatibu ukimwi yatarudi watu watatapeliwa pesa nyingi,watu wataepuka chanjo zote tunazopata kutoka nje maana kuna chanjo nyingi tu tunazitumia mpaka sasa je watu wakianza kuzigomea kama wanavyoaminishwa wagomee chanjo za covid 19 kwamba zina madhara vipi chanjo nyingine zinazotoka huko nje ya nchi?nani atawarudisha watu kwenye mstari?maana tumeshaaminishwa mabeberu hawatutakii mema,tumerudishwa kwenye enzi za kuamini mizizi,mitishamba na mizimu yetu asili yetu waafrika,je hili jambo haliwezi kuleta madhara?maana ndani yake ndio kuna ramli,kuamini umerogwa,kwenda kwa waganga,yani kila kitu ni asili hiyo hadi kwenye kufanya biashara,vikongwe watauwawa sababu ya macho yao mekundu,tulishatoka huko au matukio hayo yalipungua sana nguvu nyingi ilitumika kuwabadilisha watu fikra potofu leo tumerudishwa hukohuko tulikotoka,mambo ya kuamini mkono wa albino unawasaidia watu kwenye biashara,vyeo na mambo mengine kama hayo!nani ataturudisha tena kwenye kuamini Sayansi?maana watu wameamini mafundisho ya kiongozi wao na yamewakaa sawasawa akilini yamekuwa kama mafundisho ya dini,wafuasi wameyashika sawasawa mafundisho ya kiongozi wao wa kiimani,nani atakuja kuyatengua mafundisho hayo?HII NDIO HATARI NA MADHARA TUTAKAYOKUTANA NAYO MBELE YA SAFARI!Unakuta mtu una degree ya procurement unageuka consultant wa public health an virology??
Nadhani tupunguze ujuaji maadam madaktari nguli wenye PhD ya Virology na pandemics wameshauri barakao kma preventive measure same to condom na UKIMWI!! Basi tuheshimu hilo kuliko kuanza kuleta ujuaji wakati sio taaluma zetu
TobaaaaaThe beauty of life is that we are all entitled to our own opinions!
Alhamdulilah
Ni kweli, mdukuzi anaweza kudukua hata akiwa mbali.Una akili kubwa sana aisee.
Ulichoandika nimekiwaza sana japo mi niliwaza zaidi kwenye sumu, huku nikiwaza bila majibu kuwa ni nani na kwa njia gani hata sumu imfikie Mheshimiwa mwenye walinzi lukuki.
Umesema vizuri, nisaidie hili, ina maana hicho chombo kingeweza kudukuliwa even from far?
Umesema doctors walitia shaka au waligundua hilo, je haikuwa rahisi kukibadili chap ?
Anyways hakuna mtu anayependa mtu afe kwa vyovyote ila kifo cha huyu Mheshimiwa ni very challenging.
Akili ya kawaida ya utambuzi inaweza kukuambia kilichomuuwa siyo kufeli KWA pacemaker Bali Ni tatizo jingine ambalo mimi na wewe hatulijui.Hicho kifaa kinaweza kubadilishwa baada ya miaka 10. Kwanini hawakufanya hivyo?
1. Uzembe mahali
2. Makusudi
N
Kuna nini hasa kwenye hili?
Kwanza nadiklea uwepo wa mungu lkn hayo ya sababu za Mungu kuruhusu mm ndiyo huwa yananidanganya Sana.Note:
Na nimemjibu aliyesema kwamba kama ni hivyo hakuna linalotokea bila Mungu kuachilia.... na ni kwa sifa na utukufu wake.
Na sijasema kwamba Magufuli ni Yesu ila Yesu Kristo alizaliwa na kuishi kama binadamu, alifanya miujiza mingi na hawakuona mwisho wakamuuwakamuu wakiamini ni mtu wa kawaida tuu......,
Kumbuka huyohuyo Mungu alivyoruhusu mnadhiri wake Samson auwawe na wafilisti, pamoja wazazi kujaribu kuzuia Samson alimuoa Delilah ila tunaambia kulikua na sababu toka kwa Mungu na
"Wazazi wake hawakujua kwamba huo ulikuwa mpango wa Mwenyezi-Mungu ambaye alikuwa anatafuta kisa cha kuchukua hatua dhidi ya Wafilisti. Wakati huo, Wafilisti waliwatawala Waisraeli." Waamuzi 14:4
En route to global occupationNiulize kitabu gani uchokifahamu nikufafanilie, ila kwa simu mwanga unazingua machoni
π π π π πKwanza nadiklea uwepo wa mungu lkn hayo ya sababu za Mungu kuruhusu mm ndiyo huwa yananidanganya Sana.
Mfano km Ni mpango wa mungu, Delila, Petro ,Yuda na wengine Wana makosa gani wakati haikuwa KWA nguvu zao na wasingeweza kuyazuia hayo.
Ngoja nikupe elimu kidogo, baada ya mimi kuwasikiliza wataalamu na nikawaelewa.Mimi naiangalia kwa namna nyingine.
Hii pacemaker ina life span na muda wake ukifika inatakiwa kubadilishwa. Je inawezekana madaktari wake walijisahau kuhusu muda wa kuibadilisha?
Kuna mambo mtu unatakiwa uelewe kidogo tu.π π π π π
Isaya 55:8-9
"Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu."
Warumi 11:33-36
Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazitafutikani! Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake? Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena? Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.
Ngumu sana Mzee, Popote alipo Mkuu Wa Nchi pana Signal jammmers either iwe gari au zile bags wanazopepa walinzi wake, possibly labda izo Jammers were hacked.Attackers wanaweza kutumia radio signals au mobile phone ambayo unaweka kwenye mfuko wa shati!
[emoji849][emoji849][emoji849]Mimi nilishangazwa na media Kubwa duniani kuandika kuhusu Hali ya Rais tena wakaidai yupo mahututi huku credible source yao ikiwa ni Lissu ambae alianza ku report huko Twitter, Rais ni taasisi, Lissu anamengi ya kutuambia ili tuzidi kujilinda zaidi mana ni kama alikuwa na Partial Plan ya kumtoa mzee sasa atueleze hao Plotters walioligharimu Taifa Taifa letu Tukufu, Diwani msake huyu jamaa awekewe Peremende ageuke nyumbani tumbane atupe ABC, he knows something