Amazing revelations. But, vipi ushahidi mwingine wa kimazingira kuhusu vifo vya viongozi wengine inner circle vilivyofuatana kwa ukaribu!??? Mfano, JPM alimaliza tu kumzika Ambassador Kijazi, haikupita muda naye akafuata.
Ndo amesema inawezekana ujio wa china haukuja kwa mema...inawezekana wakawa poisoned wote waliokuwa pale
 

Unfortunately some of us have been blessed with minds that have ability to think on its own, ability to question authority and confront the hard truth.

I am sorry to say that I have Mind that does not take things as they appear to ordinary minds like yours .

May be your mental strength is too small to fit into this discussion.

Pole
 
Don't hack me my bro...


 

Attachments

  • hacked-medical-devices.jpg
    66.2 KB · Views: 1
Hujawahi kusoma: Those who cannot learn from history are doomed to repeat the very same mistakes!??? JFK alipopigwa risasi, mfumo mzima wa presidential protocals & security ulibadilishwa milele. Ndiyo maana kumuua US president sasa hivi hadi labda uwe rafiki muhibu sana wa the supposedly ^Israeli Mtoa-Roho^
 
Hizo propaganda tu..CDF leo alisema wazi aliongea na mkuu kuwa alimuomba marehemu 26/02/2021 ahudhurie na kwenda kutoa nishani kwa wanajeahi waliohitimu mafunzo ..lakini ulipokaribia huo muda alimwambia CDF amebanwa na ratiba hivyo aliomba wasogeze hadi March 6..na ilipofika March 6 akamwambia hajisikii vizuri wasogeze mpaka March 10 lakini haikuwezekana tena....

Sasa kwa maelezo hayo tu hanaonesha Mh Rais alianza kuumwa siku nyingi..pia hata Makamu wa Rais kabla ya kuapishwa alisema mzee alilazwa mara mbili akiwa anaumwa ...

Siamini kama kuna watu walimuua,isitoshe hata kipindi cha kampeni mzee alionesha mgonjwa na hata laishindwa kufanya kampeni sehemu zote na kila akitembea alikua anatembea na mafeni(sijui kama nimepatia jina lake)... bila shaka hapa kuna watu mnawatafuta muwape zigo la Mavi
 
Basi na Samia naye anaweza kuwa hatarini...kama atafuata ya jpm
Ofisini jalada la kwanza kabisa linalomsubiri ni muelekeo wake wa covid19 akifuata msimamo wa jpm tutakuwa hatunaye kinyume chake ni kutukanwa na kudhalilisha na media zao kwa kushirikiana na wachache wenye maslahi dhidi ya nchi hii.
Ukitaka kuamini corona ni biashara wala sio ugonjwa tazama sarakasi za Kenya
Unaambiwa usiku huu ndio virus wameamka wajipige lockdown asubui virus watalala hivyo lockdown inasitishwa hadi usiku tena
 
uwezekano wa Corona kuwa kisababishii ni mkubwa sana ila imebidi kupindisha ukweli kwa sababu...lakini matokeo yake sasa tumeanza tafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu, kutokana na kutokuepo uwazi wa seala hili wengi wetu tuliamini maandishi ya ‘bwana yule’ wa ughaibuni na hii inatokana wasaidizi wake kuto tuambia ukweli tangu mapema, yaani kiongozi anasimama hadharan na kutudanganya kuwa mkuu yupo safi kabisa na anachapa mzigo kumbe nyuma ya pazia mkuu tayari alikwisha tangulia mbele za haki. Baada ya hapo wanatuletea habari za pacemaker ....
 
Kama nimekuelewa vzr mkuu kwa huu uzi, unajua majuzi nilileta uzi ambao ulionekana wa kawaida kwa kuwa ulikuwa katika mfumo wa Code (Sauti kutoka chumba cha siri) ili kuufanya uishi na wachache waelewe kisha waeleze wengine, , , kwa bahati mbaya hata wale wachache hawakuwelewa.
Anya way niachane na nayo, Iko hivi kuwa na PSU ndani ya PSU siyo bongo tu, hiyo ilitokea Kwa Moi/Kenya bahati nzr akafanikiwa lkn Mugabe alishindwa mwishoni ingawa mwanzoni alifanikiwa kupenya.

Sasa nije nije kwako, unadhani hao Intelligence wabobezi wenye uwezo wa kufanya uchunguzi huo atatoka wapi? Nje au ndani?
Kama ni nje na unasema huwenda watu wa nje wamefanikisha kumuhujumu Jiwe je watatoa majibu ya kweli?

Na kama ni wa ndani na ndani ya PSU kuna Ka-PSU kadogo unadhani zoezi hilo litafanikiwa bila kutokea hujuma nyingine?

Mimi nadhani SSH kwa usalama wake anakila sababu ya kuijenga upya TISS lkn kusema mara ooh kuna viapo, viapo ni nini si yale maandishi tu mtu anasoma kisha kukabidhi file.
 
This was a preplanned death, it wasn't a natural one. Insu ya kigogo2014, ilikuwa inaonyesha mamluki ndani ya tiss. Membe, makamba, etc, highly likely
 
Hata kifo cha JFK walisema ni Conspiracy, kwa sasa tumeshajua kuwa haikuwa ni Conspiracy.....he tested the establishment.... and they eliminated him

Keep your eyes open.
Ulinzi saiv uimarishwe kwa viongozi kuwe na physical security na technological security.
Hasa ulinzi kwa kutumia technologia ya hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…