Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Unfortunately some of us have been blessed with minds that have ability to think on its own, ability to question authority and confront the hard truth.

I am sorry to say that some of us have minds that do not take things as they appear to ordinary minds like yours .

May be your mental strength is too small to fit into this discussion.

Pole
Yani hizo nadharia zako za uasi za kugeza kwenye majukwaa ya humu JF unajiona una akili sana? Yani unategemea watu wafanye kazi kwa speculations za akili za watu wa aina yako never ? Anyways mzee wa akili kubwa, kaburi la hayati lipo kama lilivyowekwa si kwa bahati mbaya ni kwa ajili ya kujibu maswali ya wajuaji kama wewe ....majibu utayapata soon japo CDF ashaeleza wazi mzee aliumwa sasa wewe endelea na ramli mufilisi


Wasalaam.
 
1. Hujuma katika kifaa cha Pacemaker

Katika Lugha nyepesi kabisa, kazi ya kifaa cha Pacemaker ni kuratibu mapigo ya moyo. Ni katika mazingira magumu sana kifaa hiki kuleta shida. Aidha, Kutokana na evolution ya technology, mfumo wa kifaa hiki unaweza kuharibiwa kwa kutumia data base na access code zilizotumika ku program kifaa.

Unahitaji kupata access ya zile code kisha uwe na muhusika umbali mdogo ili kuharibu mfumo wa kifaa kwa kukihamuru kusababisha shock na kufanya mapigo ya moyo kutorandana tena. Kama kutakuwa hakuna wataalamu wa kuliona hilo kwa haraka na kuwahi kukibadili kifaa, hatari itakuwa ni kubwa kwa maana muda mwingi utapotezwa kwenye first aid za ku support maisha yake badala ya kuondoa kifaa kilichoharibiwa mfumo. JPM alivyokuwa anahudhuria mikutano yake na kujichanganya na watu, ni dhahiri kwamba ilikuwa ni rahisi kwa mtu mwenye nia ovu kutekeleza dhima hiyo kwa msaada wa Mabeberu na vibaraka wa ndani.
Hakuna utata wowote mkuu ,kuhusu hicho kifaa kudukuliwa sio kweli maana alikuwa anatembea na jammer muda wote! Kovid is real ,nasasa kuna variant mpya kutoka TZ.
 
Na wale wengije kina kijazi nao unawqweka kundi gani?

Mkuu umeelezea vizuri ila kwenye korona kuna majibu ambayo yako jirani na ukweli. Hao wachina utawaonea bure tu hata uchaguzi wa mwaka jana ulivyokuwa unahujumiwa marekani alipojaribu kutoa onyo mchina alimkanusha.

kwamba marekani aache kuingilia demokrasia ya Tanzania kwani wao wana imani na uongozi wa serikali ya tanzania
 
This was a preplanned death, it wasn't a natural one. Insu ya kigogo2014, ilikuwa inaonyesha mamluki ndani ya tiss. Membe, makamba, etc, highly likely
I have the same feelings kuwa ni pre-planned death (na nani!??? Not quite sure!!!). But no specific evidence, as well. Kitendo cha taarifa za ndani kabisa za kiusalama kujulikania nje na kusambazwa na watu wa nje kinafikirisha sana. But corona is the number one suspect.

Wednesday 17.02 --- Death of Amb. Kijazi & VP Maalim Seif

Friday 19.02 --- JPM on Kijazi's Funeral at Karimjee DSM

Sunday 21.02 --- JPM Last Day in Church

Wednesday 24.02 --- JPM at Kijazi Interchange & Magufuli International Bus Terminal Mbezi Louis

Friday 26.02 --- Dr. Bashiru Takes Oath of Office in Place of Late Amb. Kijazi

Sunday 28.02 --- JPM Unusually Misses Church Service

March 1 - 17 Speculations Regarding Sickness and Death & Eventual Official Announcement by the the VP Ms Samia
 
Hakuna utata wowote mkuu ,kuhusu hicho kifaa kudukuliwa sio kweli maana alikuwa anatembea na jammer muda wote! Kovid is real ,nasasa kuna variant mpya kutoka TZ.
Kweli mkuu na tukifanya masihara tukapuuza huu ugonjwa tutakufa kimasihara hivyo hivyo

Kulikuwa kuna sababu ya kwanini mzee wa nyungu alivaa barakoa siku ile ya maombolezo.
 
Kama nimekuelewa vzr mkuu kwa huu uzi, unajua majuzi nilileta uzi ambao ulionekana wa kawaida kwa kuwa ulikuwa katika mfumo wa Code (Sauti kutoka chumba cha siri) ili kuufanya uishi na wachache waelewe kisha waeleze wengine, , , kwa bahati mbaya hata wale wachache hawakuwelewa.
Anya way niachane na nayo, Iko hivi kuwa na PSU ndani ya PSU siyo bongo tu, hiyo ilitokea Kwa Moi/Kenya bahati nzr akafanikiwa lkn Mugabe alishindwa mwishoni ingawa mwanzoni alifanikiwa kupenya.

Sasa nije nije kwako, unadhani hao Intelligence wabobezi wenye uwezo wa kufanya uchunguzi huo atatoka wapi? Nje au ndani?
Kama ni nje na unasema huwenda watu wa nje wamefanikisha kumuhujumu Jiwe je watatoa majibu ya kweli?

Na kama ni wa ndani na ndani ya PSU kuna Ka-PSU kadogo unadhani zoezi hilo litafanikiwa bila kutokea hujuma nyingine?

Mimi nadhani SSH kwa usalama wake anakila sababu ya kuijenga upya TISS lkn kusema mara ooh kuna viapo, viapo ni nini si yale maandishi tu mtu anasoma kisha kukabidhi file.
Mkuu uzi wa chumba cha siri natamani ingekua ni Pdf nichambue taratibu nilifanikiwa kupata idea ila sikuyapata yote kwa uzuri nna kiu mno ya kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia hili
 
Hata kifo cha JFK walisema ni Conspiracy, kwa sasa tumeshajua kuwa haikuwa ni Conspiracy.....he tested the establishment.... and they eliminated him

Keep your eyes open.
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy

Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni
 
Na wale wengije kina kijazi nao unawqweka kundi gani?

Mkuu umeelezea vizuri ila kwenye korona kuna majibu ambayo yako jirani na ukweli. Hao wachina utawaonea bure tu hata uchaguzi wa mwaka jana ulivyokuwa unahujumiwa marekani alipojaribu kutoa onyo mchina alimkanusha.

kwamba marekani aache kuingilia demokrasia ya Tanzania kwani wao wana imani na uongozi wa serikali ya tanzania
Possibilities zote zinawezekana kwa sababu si Wachina wote wanaipenda Tanzania. Hata US kuna friends wa China na China kuna friends wa US. But the likeliest answer is corona ambayo imesababisha heart complications.
 
Kwa kifupi MK54 ile dhana ya "mabeberu" wanahusika inatilia mkazo na watu wengi ktk media zillizo huru zinazojaribu kujua kilichosababisha mkuu wa nchi kufariki akiwa madarakani huku akiwa na ulinzi mkubwa pamoja na kuzungukwa na madaktari bingwa.

Tabu ni kuwa hata kama itakuwa kweli mabeberu wamehusika, itakuwa ngumu serikali ya Tanzania kusema hadharani kwani italeta taswira ya udhaifu mkubwa ndani ya vyombo vyake ya ulinzi na usalama.

Ni dhahiri suala hili la mikono ya mabeberu kuhusika, litabaki kuwa siri ya taifa na pia somo kubwa kuwa waimarishe vyombo vyake kupambana na tishio la mabeberu toka nje badala ya kuwekeza nguvu zote za intelejensia, udukuzi, ulinzi na usalama kuwadhibiti waTanzania wenye kupaza sauti za upinzani ktk siasa za Tanzania.

Wakati ukweli ni kuwa wapinzani siyo tishio kwa nchi bali ni sauti za kizalendo hasa zinazoitakia mema zaidi nchi yao ya Tanzania kwa kukosoa sera za kiuchumi, kisiasa na kijamii ila taifa liweze kufikia maendeleo ya juu zaidi ktk maeneo ya siasa, uchumi na jamii kwa ujumla .
 
At first tukio la kudukua Moyo wa mtu nililiona kwenye series ya Homeland 3yrs ago

Kwa evolution na speed ya technology kwa sasa, ni rahisi sana kufanya hilo tukio mno.

Technology is evolving faster than we are.

Technology is making it easier and easier for fewer and fewer people to do greater and greater damage
 
Amazing revelations. But, vipi ushahidi mwingine wa kimazingira kuhusu vifo vya viongozi wengine inner circle vilivyofuatana kwa ukaribu!??? Mfano, JPM alimaliza tu kumzika Ambassador Kijazi, haikupita muda naye akafuata.
Good question
 
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy

Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni
I fully agree. JPM's last statements (Sunday 21.02 in Church) show tayari naye alikuwa ameshapata wasiwasi kuhusu ugonjwa huo kuvamia himaya ya watu wake wa karibu. Halafu, muda mfupi tu kabla ya hapo, Dkt Mpango alikuwa ndipo anaugulia vya mwisho -- and kwake it is fully established to be corona; and, three days before (17.02 J5) Amb. Kijazi alifariki plus Zenj VP Maalim Seif
 
Back
Top Bottom