Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Yani hizo nadharia zako za uasi za kugeza kwenye majukwaa ya humu JF unajiona una akili sana? Yani unategemea watu wafanye kazi kwa speculations za akili za watu wa aina yako never ? Anyways mzee wa akili kubwa, kaburi la hayati lipo kama lilivyowekwa si kwa bahati mbaya (shimo na mfuniko) ni kwa ajili ya kujibu maswali ya wajuaji kama wewe ....majibu utayapata soon japo CDF ashaeleza wazi mzee aliumwa sasa wewe endelea na ramli mufilisi


Wasalaam.

Hilo jina lako tu, I can no longer respond on your comment. Nawaogopa sana akili ndogo . Huwa mnatabia ya kuambukiza.
 
Na wale wengije kina kijazi nao unawqweka kundi gani?

Mkuu umeelezea vizuri ila kwenye korona kuna majibu ambayo yako jirani na ukweli. Hao wachina utawaonea bure tu hata uchaguzi wa mwaka jana ulivyokuwa unahujumiwa marekani alipojaribu kutoa onyo mchina alimkanusha.

kwamba marekani aache kuingilia demokrasia ya Tanzania kwani wao wana imani na uongozi wa serikali ya tanzania

Nawaweka kwenye Ujio wa Ugeni kutoka China
 
Now we are talking. The PSU needs reforms.

Kwanza, kipindi kama hiki cha vita ya uchumi , Corona and ku dispute Vaccines na kuwataka mabeberu ku invest kwenye madini ndani ya TZ badala ya kusafirisha,

kwa Intelligence makini ... JPM angetakiwa awe ni very hard to meet and see. But JPM wetu aliachiwa azurure kama mtoto wa kambo aliyekosa uangalizi wa wazazi.

Wapo busy na mabunduki, no one is giving a damn about guns now days.

Only technology can stop the truth. We have lost our truth.

Ishu lingine la msingi, what did PSU do technologically kwa kujua the president is holding a device which can be reprogrammed at distance?

Did they even know that the device can be recommended at a certain distance ? ... I don’t know [emoji2368]

Technology is making it easier and easier for fewer and fewer people to do greater and greater damage
We are on the same page.
 
I have the same feelings kuwa ni pre-planned death (na nani!??? Not quite sure!!!). But no specific evidence, as well. Kitendo cha taarifa za ndani kabisa za kiusalama kujulikania nje na kusambazwa na watu wa nje kinafikirisha sana.

Always pre planned death haziwezi kuwa na evidence. May be baada ya kupita miaka mingi. JFK aliuliwa na establishment, but wakati wa mauaji yake , kuna watu walikamatwa kabisa na kupewa kesi za kuua

Generation ya sasa hivi we are all sure kwamba the man was killed
 
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy

Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni

Nakushauri uondoe posibility ya mdudu kaka. Utakosa kuuona ukweli .

Tambua kwa sasa kila anaekufa ni Mdudu. Tulikuwa na vifo kabla ya mdudu.

Pre infection theories za Corona zinakataa kabisa kuwa JPM alikuwa na COVID . We all
Know what it takes kusema huyu ana Corona
 
Possibilities zote zinawezekana kwa sababu si Wachina wote wanaipenda Tanzania. Hata US kuna friends wa China na China kuna friends wa US. But the likeliest answer is corona ambayo imesababisha heart complications.

The likelihood answer ni Corona kwa sababu you have been made to believe that.
 
Yani hizo nadharia zako za uasi za kugeza kwenye majukwaa ya humu JF unajiona una akili sana? Yani unategemea watu wafanye kazi kwa speculations za akili za watu wa aina yako never ? Anyways mzee wa akili kubwa, kaburi la hayati lipo kama lilivyowekwa si kwa bahati mbaya (shimo na mfuniko) ni kwa ajili ya kujibu maswali ya wajuaji kama wewe ....majibu utayapata soon japo CDF ashaeleza wazi mzee aliumwa sasa wewe endelea na ramli mufilisi


Wasalaam.
Akili yako ndogo sana.....
ungepita vile
 
"Mtu kajifunga hijab ambayo haina hata dressing code, haijulikani ni sehemu gani aliyokaa, haijulikani alikuwa amekaa au kasimama , kisha zinatolewa taarifa za msiba wa kiongozi wa nchi aliye madarakani, like seriously!"

Hii paragraph inafichua mengi kwenye hii makala.
 
Possible. Upande mwingine, mbona hawakumfanyia hujuma hiyo miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
Inawezekana walikuwa bado wanatafuta codes
 
labda covid imekuwa kama daraja la kutekeleza maana hata mwizi akitaka kuiba kwako ni lazima akusome kwanza na atafute chance ya kupenya
Yes. But who cares kama angefanyiwa majanga hayo kabla ya kovidi!??? If they wanted him dead, haijalishi inajulikana wazi kwa watu kwamba ni planned. The end result is what they want. Even then, heart complications ingeweza kutumiwa kama some seemingly justifiable scapegoat.
 
Back
Top Bottom