Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Yani hizo nadharia zako za uasi za kugeza kwenye majukwaa ya humu JF unajiona una akili sana? Yani unategemea watu wafanye kazi kwa speculations za akili za watu wa aina yako never ? Anyways mzee wa akili kubwa, kaburi la hayati lipo kama lilivyowekwa si kwa bahati mbaya ni kwa ajili ya kujibu maswali ya wajuaji kama wewe ....majibu utayapata soon japo CDF ashaeleza wazi mzee aliumwa sasa wewe endelea na ramli mufilisiUnfortunately some of us have been blessed with minds that have ability to think on its own, ability to question authority and confront the hard truth.
I am sorry to say that some of us have minds that do not take things as they appear to ordinary minds like yours .
May be your mental strength is too small to fit into this discussion.
Pole
Uliongea na Mungu akakwambia anamchukia?Mbona mnamtukuza na kumlilia sana mtu ambaye ni chukizo mbele za Mungu?.
Unadhani Mungu kama angekuwa anampenda angeshindwa kimlinda na hila zote?
Achana nayeUliongea na Mungu akakwambia anamchukia?
Hakuna utata wowote mkuu ,kuhusu hicho kifaa kudukuliwa sio kweli maana alikuwa anatembea na jammer muda wote! Kovid is real ,nasasa kuna variant mpya kutoka TZ.1. Hujuma katika kifaa cha Pacemaker
Katika Lugha nyepesi kabisa, kazi ya kifaa cha Pacemaker ni kuratibu mapigo ya moyo. Ni katika mazingira magumu sana kifaa hiki kuleta shida. Aidha, Kutokana na evolution ya technology, mfumo wa kifaa hiki unaweza kuharibiwa kwa kutumia data base na access code zilizotumika ku program kifaa.
Unahitaji kupata access ya zile code kisha uwe na muhusika umbali mdogo ili kuharibu mfumo wa kifaa kwa kukihamuru kusababisha shock na kufanya mapigo ya moyo kutorandana tena. Kama kutakuwa hakuna wataalamu wa kuliona hilo kwa haraka na kuwahi kukibadili kifaa, hatari itakuwa ni kubwa kwa maana muda mwingi utapotezwa kwenye first aid za ku support maisha yake badala ya kuondoa kifaa kilichoharibiwa mfumo. JPM alivyokuwa anahudhuria mikutano yake na kujichanganya na watu, ni dhahiri kwamba ilikuwa ni rahisi kwa mtu mwenye nia ovu kutekeleza dhima hiyo kwa msaada wa Mabeberu na vibaraka wa ndani.
I have the same feelings kuwa ni pre-planned death (na nani!??? Not quite sure!!!). But no specific evidence, as well. Kitendo cha taarifa za ndani kabisa za kiusalama kujulikania nje na kusambazwa na watu wa nje kinafikirisha sana. But corona is the number one suspect.This was a preplanned death, it wasn't a natural one. Insu ya kigogo2014, ilikuwa inaonyesha mamluki ndani ya tiss. Membe, makamba, etc, highly likely
Kweli mkuu na tukifanya masihara tukapuuza huu ugonjwa tutakufa kimasihara hivyo hivyoHakuna utata wowote mkuu ,kuhusu hicho kifaa kudukuliwa sio kweli maana alikuwa anatembea na jammer muda wote! Kovid is real ,nasasa kuna variant mpya kutoka TZ.
Mkuu uzi wa chumba cha siri natamani ingekua ni Pdf nichambue taratibu nilifanikiwa kupata idea ila sikuyapata yote kwa uzuri nna kiu mno ya kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia hiliKama nimekuelewa vzr mkuu kwa huu uzi, unajua majuzi nilileta uzi ambao ulionekana wa kawaida kwa kuwa ulikuwa katika mfumo wa Code (Sauti kutoka chumba cha siri) ili kuufanya uishi na wachache waelewe kisha waeleze wengine, , , kwa bahati mbaya hata wale wachache hawakuwelewa.
Anya way niachane na nayo, Iko hivi kuwa na PSU ndani ya PSU siyo bongo tu, hiyo ilitokea Kwa Moi/Kenya bahati nzr akafanikiwa lkn Mugabe alishindwa mwishoni ingawa mwanzoni alifanikiwa kupenya.
Sasa nije nije kwako, unadhani hao Intelligence wabobezi wenye uwezo wa kufanya uchunguzi huo atatoka wapi? Nje au ndani?
Kama ni nje na unasema huwenda watu wa nje wamefanikisha kumuhujumu Jiwe je watatoa majibu ya kweli?
Na kama ni wa ndani na ndani ya PSU kuna Ka-PSU kadogo unadhani zoezi hilo litafanikiwa bila kutokea hujuma nyingine?
Mimi nadhani SSH kwa usalama wake anakila sababu ya kuijenga upya TISS lkn kusema mara ooh kuna viapo, viapo ni nini si yale maandishi tu mtu anasoma kisha kukabidhi file.
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracyHata kifo cha JFK walisema ni Conspiracy, kwa sasa tumeshajua kuwa haikuwa ni Conspiracy.....he tested the establishment.... and they eliminated him
Keep your eyes open.
Possibilities zote zinawezekana kwa sababu si Wachina wote wanaipenda Tanzania. Hata US kuna friends wa China na China kuna friends wa US. But the likeliest answer is corona ambayo imesababisha heart complications.Na wale wengije kina kijazi nao unawqweka kundi gani?
Mkuu umeelezea vizuri ila kwenye korona kuna majibu ambayo yako jirani na ukweli. Hao wachina utawaonea bure tu hata uchaguzi wa mwaka jana ulivyokuwa unahujumiwa marekani alipojaribu kutoa onyo mchina alimkanusha.
kwamba marekani aache kuingilia demokrasia ya Tanzania kwani wao wana imani na uongozi wa serikali ya tanzania
At first tukio la kudukua Moyo wa mtu nililiona kwenye series ya Homeland 3yrs ago
Good questionAmazing revelations. But, vipi ushahidi mwingine wa kimazingira kuhusu vifo vya viongozi wengine inner circle vilivyofuatana kwa ukaribu!??? Mfano, JPM alimaliza tu kumzika Ambassador Kijazi, haikupita muda naye akafuata.
I fully agree. JPM's last statements (Sunday 21.02 in Church) show tayari naye alikuwa ameshapata wasiwasi kuhusu ugonjwa huo kuvamia himaya ya watu wake wa karibu. Halafu, muda mfupi tu kabla ya hapo, Dkt Mpango alikuwa ndipo anaugulia vya mwisho -- and kwake it is fully established to be corona; and, three days before (17.02 J5) Amb. Kijazi alifariki plus Zenj VP Maalim SeifKwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy
Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni
sikweliKila nafsi itaonja umauti