Hilo jina lako tu, I can no longer respond on your comment. Nawaogopa sana akili ndogo . Huwa mnatabia ya kuambukiza.
 

Nawaweka kwenye Ujio wa Ugeni kutoka China
 
We are on the same page.
 
I have the same feelings kuwa ni pre-planned death (na nani!??? Not quite sure!!!). But no specific evidence, as well. Kitendo cha taarifa za ndani kabisa za kiusalama kujulikania nje na kusambazwa na watu wa nje kinafikirisha sana.

Always pre planned death haziwezi kuwa na evidence. May be baada ya kupita miaka mingi. JFK aliuliwa na establishment, but wakati wa mauaji yake , kuna watu walikamatwa kabisa na kupewa kesi za kuua

Generation ya sasa hivi we are all sure kwamba the man was killed
 
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy

Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni

Nakushauri uondoe posibility ya mdudu kaka. Utakosa kuuona ukweli .

Tambua kwa sasa kila anaekufa ni Mdudu. Tulikuwa na vifo kabla ya mdudu.

Pre infection theories za Corona zinakataa kabisa kuwa JPM alikuwa na COVID . We all
Know what it takes kusema huyu ana Corona
 
Possibilities zote zinawezekana kwa sababu si Wachina wote wanaipenda Tanzania. Hata US kuna friends wa China na China kuna friends wa US. But the likeliest answer is corona ambayo imesababisha heart complications.

The likelihood answer ni Corona kwa sababu you have been made to believe that.
 
Akili yako ndogo sana.....
ungepita vile
 
"Mtu kajifunga hijab ambayo haina hata dressing code, haijulikani ni sehemu gani aliyokaa, haijulikani alikuwa amekaa au kasimama , kisha zinatolewa taarifa za msiba wa kiongozi wa nchi aliye madarakani, like seriously!"

Hii paragraph inafichua mengi kwenye hii makala.
 
Inawezekana walikuwa bado wanatafuta codes
 
labda covid imekuwa kama daraja la kutekeleza maana hata mwizi akitaka kuiba kwako ni lazima akusome kwanza na atafute chance ya kupenya
Yes. But who cares kama angefanyiwa majanga hayo kabla ya kovidi!??? If they wanted him dead, haijalishi inajulikana wazi kwa watu kwamba ni planned. The end result is what they want. Even then, heart complications ingeweza kutumiwa kama some seemingly justifiable scapegoat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…