Utarizika tu utapokufa wewe mwenyewe kwa hivyo kauliwa na mbowe au vp ccm matope
 
Inashangaza sn,halafu watu si wajinga sikuhizi.Kumbambikia mtu kesi kijinga hivi ni ushamba.

Watakufa et hawa watu jamani,mbona hawajifunzi?

Watanzania sikuhizi maombi yao ni makali wakiamua kumshitakia Mungu
 
Acha kuandika upumbavu unaumiza vidole vyako hivyo ungetumia kupiga punyeto na utamu ungepata kuliko kuandika gazeti lisilo na content hata kidogo
Kwa hiyo kwa mawazo yako na ushirikina wako na ushetani wako unafikiri ni rahisi kumuua Rais akiwa madarakani?
Acha kuwaza mambo ya kijinga. Na wakati mwingine usijibu ujumbe wangu kipumbavu na maneno yako ya kichawi.
Washirikina wakubwa nyie na waua albino ili mpate uteuzi.
Mnanuka damu za watu wema.

Mliyemtegemea amewakimbia.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Ameandika Askofu Benson Lwakalinda Bagonza

KUMTII ASIYETII

Huu ni mwaliko mgumu na mchungu katika maisha ya mwanadamu:

1. Anavunja sheria, Lakini anakualika utii sheria.

2. Anavunja kiapo, anakualika uheshimu kiapo.

3. Anatumia nguvu, anakutaka utumie busara.

4. Anakaidi kumtii Mungu, anakualika umtii yeye.

5. Anatumia silaha, anakutaka utumie maneno.

MATOKEO YAKE:

A. Aliye na madaraka juu yako, Ajue kuna aliye na madaraka juu yake.

B. Asiyemtii aliye juu yake, ajue hawezi kutiiwa na walio chini yake.

C. Anayetumia nguvu kupata utii wako, huvuna utii unaolewesha.

"Wanaokataa mazungumzo ya amani wanawezesha vurugu zisiepukike" Nelson Mandela).
 
Ukubwa jinga nao nao ni ujiko. Una la kuongeza?
 
Pole sana, inaeleweka kwa mtu kama wewe.

Lakini katika hili ngoja nikusaidie pa kuanzia utafiti wa maswali yako.

Kwanza tafuta taarifa hii: Je, alipimwa na kuonekana hakuwa na chembe zozote za COVID-19?
Lingekuwa jambo la kushangaza sana kama hawakupima chochote juu ya hilo wakati gonjwa hilo likiwa limeshika kasi.

Wakikwambia kwamba hawakufanya vipimo vyovyote juu ya ugonjwa huo, basi anzia hapo na nadharia yako uliyonayo kichwani.

Ni sababu zipi zilizowazuia wasipime kuondoa uwezekano wa ugonjwa huo kuwa sehemu ya mauti yake.

Watu wake wa karibu, kama yule Katibu wake Mkuu, walipima akaonekana hana ugonjwa huo? Kama hawakupima, hapo bado kutaonyesha 'pattern' ya mambo ambayo hayakuwa ya kawaida.

Kwa bahati (nzuri), Maalim alijitangaza mwenyewe kwamba alipima akakutwa na COVID-19, kwa hiyo kifo chake hakina utata; lakini kinaweza kuunganishiwa hapo na cha Magufuli na Katibu wake Mkuu, kwa sababu Maalim na Dr Mwinyi walikuwa na kikao na Magufuli wiki chache tu kabla ya Maalim kulazwa hospitalini.

Labda kona nyingine uanze kupiga picha: ilikuwaje Kikwete achukue tahadhari za kuvaa barakoa katika mikusanyiko iliyofuatia kifo cha Katibu Mkuu, yeye alikuwa na taarifa tofauti na wengine?

Hata uwaze vipi: Magufuli aliuliwa na COVID-19 kwa kiburi chake tu!

Sasa mnataka kutafuta visababu vya uongo na kweli vya kuwachanganya navyo waTanzania na kupotosha madai ya katiba mpya.
 
Tunashukuru kwa niaba...pole za tangulizi ziwafikie kwani retaliation haitakuwa ya kitoto

Never and never again shetani kama Magufuli kunusa usukani wa Taifa hili. Wewe una uchungu kuliko Janet. Magufuli alikufa kwa Corona na UKIMWI. Mfuate sasa huko keshaliwa Na funza. Hovyooo
 
Acheni ujinga Covid is real.
 
Never and never again shetani kama Magufuli kunusa usukani wa Taifa hili. Wewe una uchungu kuliko Janet. Magufuli alikufa kwa Corona na UKIMWI. Mfuate sasa huko keshaliwa Na funza. Hovyooo
Mbowe naye analiwa na papasi lockup

USSR
 
Corona kwani ina mchezo??
Imelifyekelea mbali hilo dubwasha lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…