Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Inawezekana mkuu una knowledge ya kutosha sana kuchambua hilo kwa umakini na labda kupita wengi wetu humu,inawezekana,lakini pia haimaanishi hayo uyasemayo ni kweli asilimia hizo kwa kuwa tu labda ulimkubali sana JPM (hili pia hukufanya unalochambua kuegemea upande unaotaka).

Inafurahisha pia wewe na wale wakuaminio kuona unaloongea ndio sahihi na kuona maoni tofauti na yako ni ya akili ndogo,kijinga au yenye udhaifu,jambo linalofanya hata uchambuzi wako kutokuwa sahihi sana maana ni tayari upo biased.

Lakini lolote linawezekana.
 
Buriani miradi yote ya maendeleo Tz soon yule jirani yetu wa magharibi ataibuka kutudhihaki tena!
 
Aliyeua kwa Upanga na yeye atakufa kwa Upanga pia, hivi ni nani alihoji kifo cha Mzee Mkapa? Yule mzee hakuonesha dalili ya kuumwa na hata wanajeshi kipindi wanaubeba ule mwili wake wanaonekana kabisa kutumia nguvu nyingi (Yumkini wale wanajeshi waliomba likizo baada ya zoezi lile). Na tukumbuke ni Mkapa pekee ndiye alikuwa na uwezo wa kumwambia Ukweli Marehemu Magufuli, the rest wastaafu kama Mwinyi alikuwa mzee wa kusifia na Kikwete mara chache sana alitumia utaalamu wa lugha kusema utaawala wa Magufuli. Ila Mkapa kifo chake ni cha Utata sana, mstaafu tunasikia tu amefariki.

Hilo moja, Mzee Mangula kidogo tu afe kwa Sumu na inasemekana walikuwa kwenye kikao huko cha CCM, tukumbuke Mangula ni makamu mwenyekiti wa CCM na inawezekana hata kwenye kikao anakaaga karibu na Mwenyekiti. Kwa nini polisi waseme tunataka tuanze uchunguzi wa nani alimuwekea Sumu Mangula halafu ghafla, tunaona hakuna cha Uchunguzi wala nini mpaka mzee wa watu akarudi zake kijijini. Katika hali ya kawaida kaa kwenye nafasi ya Mzee Mangula, una boss ambaye ni mwenyekiti wako na anauwezo wa kuchunguza juu ya tukio la kuwekewa Sumu halafu ghafla unaona yupo kimya.

Lingine, Marehemu Magufuli alionekana mgonjwa tangu mwaka jana ila ndio hivyo madaraka matamu mno. Magufuli ukimuangakia usoni unaona kabisa hana sura angavu na unaona kabisa kuna mambo anajutia, akikaa kwenye kiti unaweza kusema amekaa mlemavu wa miguu.

Na la mwisho achana kauli ya CDF Mabeyo, marehemu alipotembelea Kurasini mwezi Februari kuna kitu alifungwa kama kitambaa cheusi hivi kwenye mkono wake wa kushoto. Na inawezekana alijua pia hana siku nyingi za Kuishi ndio maana hata Uteuzi wa Bashiru kuwa KMK ulifanyika kwa ghafla sana na siku ya Uapisho wa Katibu Mkuu kiongozi, Hayati Magufuli hakuongea kama ilivyo kawaida yake na tukaambiwa ana Ratiba zingine. Ni ratiba gani alikuwa nazo, wanajua watu wa Ikulu lakin mawazo yangu inaonekana alishauriwa na Madaktari wake asisimame kwa muda mrefu au kuzungumza.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
"Mtu kajifunga hijab ambayo haina hata dressing code, haijulikani ni sehemu gani aliyokaa, haijulikani alikuwa amekaa au kasimama , kisha zinatolewa taarifa za msiba wa kiongozi wa nchi aliye madarakani, like seriously!"

Hii paragraph inafichua mengi kwenye hii makala.
Uyo msukuma mleta uzi ni mpuuzi wa kupuuzwa,
 
Duuh so hata kijazi naye kifo chake kipo kwenye njama za mchina??

Ana madhara gani kwa wachina sasa mtu kama huyu?
Kuanza na yule ilikuwa ni kutafuta uhalali wa kwamba kuna corona, na hata atayekufa pia ni corona n ndiyo maana hata wewe umepuuza haya madini aliyoshusha jamaa hapa
 
Mkuu, ukiondoa hizo tetesi zote Hayati Dr JPM angefariki tu. Ametangulia, sisi tutafuata. R.I.P the late J.P.M.
Corona ipo, chukua tahadhari.
 
ina maana enzi za JPM madini yalikuwa hayasafirishwi nje ,,je sisi tulikiwa tunafanyia nini hayo madini kama hayasafirishwi nje?
 
Ofisini jalada la kwanza kabisa linalomsubiri ni muelekeo wake wa covid19 akifuata msimamo wa jpm tutakuwa hatunaye kinyume chake ni kutukanwa na kudhalilisha na media zao kwa kushirikiana na wachache wenye maslahi dhidi ya nchi hii.
Ukitaka kuamini corona ni biashara wala sio ugonjwa tazama sarakasi za Kenya
Unaambiwa usiku huu ndio virus wameamka wajipige lockdown asubui virus watalala hivyo lockdown inasitishwa hadi usiku tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122][emoji122]
 
uwezekano wa Corona kuwa kisababishii ni mkubwa sana ila imebidi kupindisha ukweli kwa sababu...lakini matokeo yake sasa tumeanza tafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu, kutokana na kutokuepo uwazi wa seala hili wengi wetu tuliamini maandishi ya ‘bwana yule’ wa ughaibuni na hii inatokana wasaidizi wake kuto tuambia ukweli tangu mapema, yaani kiongozi anasimama hadharan na kutudanganya kuwa mkuu yupo safi kabisa na anachapa mzigo kumbe nyuma ya pazia mkuu tayari alikwisha tangulia mbele za haki. Baada ya hapo wanatuletea habari za pacemaker ....
Imagine[emoji848]
 
GUYS,,SIYE TUNATAARUFA ZA NDANI..KIFAA ALICHIKUWA NACHO KILIWEKWA MWAKA JANA BAADA YA KILE CHA KWANZA KUEXPIRE..HIKI CHAPILI KINGEEXPIRE MWAKA 2030,,LAKINI KILISIMAMA GHAFLA NAKUAGIZA KINGINE ILIKIWA NI PROCESS.NDO MAANA MH RAIS KABLA YA KUFARIKI ALIWAITA WATU TOFAUTI NA KUWAAGA.

NA WALE WA KARIBU AKAWAAMBIA HATA VITU VYA SIRI KAMA MABEYO ALIYOSEMA. LAKINI PIA TUNASIKIA KUNAMIKATABA MIKUBWA YA KUCHIMBA MADINI NA GAS..WAINGEREZA NA WACHINA WALITOA TERMS ZAO MKUU AKAKATAA KAMA FINAKA DECISION MAKER..NA BAADA YA HAPO AKAPOKEA UBALOZI WA UINGEREZA BUKOBA NA UGENI WA CHINA HUKO BUKOBA.

BAADA YA HAPO AKAANZA KUONA MABADILIKO.ISSUE YA CORONA YEYE AMEISHAIUGUA ILE YA MWANZO NA ALIOONA NDO MAANA ALIKUWA ANAWAHIMIZA KUJIFUKIZA NK KWANI ANAUZOEFU WA KWAKE NA FAMILIA YAKE KUUGUA NA KUPONA.KUONYESHA KUWA KUNA ASSASSINATION.

MNAKUMBUKA KUNA WACHUNGAJI WALUTABIRI KIFO CHAKE MWEZI MMOJA KABLA LAKINI PIA TH 17 FEB KUNAMTU ALIANDIKA KWA KIINGEREZA KWENYE FACEBOOK KUWA MAGUFURI ANGEFARI TH 17 MARCH..NA KWELI IKATOKEA,,HII INAMAANA HAWA WATU WALIJUA KILICHOKUWA KINAENDELEA.

Kuna nchi ngapi hua zinamonitor resources zake ziwafaidishe watu wao? Nchi zingine zimefanya hivyo kwa zaidi ya muongo mmoja, na viongozi wake wanasurvive. Mfano ni nchi zenye mafuta za kiarabu.

Kama swala ni haki za binadamu na uhuru wa kujieleza mbona Duterte na Edorgan bado wapo? Sisi Makonda aliita mashoga waende kituoni wafikishwe mahakamani Duterte anawakusanya mateja anawaua, Edorgan homosexuals anawafunga na still wapo.

Serikali ya Magufuli ilishtakiwa na Msouth mpaka ndege zikashikiliwa, imeshtakiwa na wakina Zitto a person unayeweza mshtaki unahitaji kumuua kweli? Ordeal ya Acacia, baada ya kuongea alichoongea ila mwishoni alikaa nao meza moja.

Ccm wenzake? Katika chama kinachojua kushikamana na kuvumiliana ili watu wa nje wasijue kama kuna shida ni hichi, hata kama wanaona hawawezani naye wangemsubiri amalize. Hiki chama ndicho kiliprint fomu moja tu ya uraisi ili asipate upinzani ndani ya chama, this shows ni kiasi gani walimhitaji, if so wamuue ili iweje?

My point is this, sioni ni kivipi Kuna assassination hapa kutolea nje hana ubaya wa kuwafikia ambao bado wapo hai na hana ukaidi wa wakina Kim na Ahmadnejad and these two are alive.
 
Back
Top Bottom