Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Mtafute Daktari wake akwambie cause of death ilikua nini ukishindwa nenda mahakamani kaombe amri ya kufukua mwili ili uufanyie uchunguzi,ukishindwa hapo mtafute mwanafamilia akueleze historia nzima ya maisha ya marehemu hadi kifo chake.

Kifo kipo kwa ajili ya mwaandamu vifo havifanani siku,sekunde wala dakika.Nakusalimia mkuu
 
Huyu mtoto wa mjini hakuna anayeweza kumshinda. Akiwekwa ndani akitoka aliyemuweka anafariki. Subirini mtaona. Mbwa wenu jiwe si mnaona alivyokufa kibwege?
Akitoka nae atakufa kibwege pia, na kwa kua watu wana anza kujua ndo chanzo cha kifo cha magu sasa ataishi kwa shida sana mtaani.
 
Back
Top Bottom