Je, Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Awamu ya Tano au ya Sita kwa mujibu wa Katiba ya nchi?

Hapana! Awamu inaendana na kuisha na rais anayetawala. Hata Magufuli angetawala miaka 20, yaani mihula minne, bado angeitwa rais wa awamu ya 5.

Ni kama ambavyo Nyerere alitawala zaidi ya miaka 20 na bado akabaki kuwa wa awamu ya kwanza. Samia ni rais wa 6 awamu ya 6! Ali Hassan Mwinyi alitawala Zanzibar muda mfupi sana na bado akawa rais wa 3 awamu ya 3!
Upo sahihi

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Sawa kabisa!
Ninvyoelewq, awamu ni administration ya rais.

Ndiyo maana rais Mwinyi ni rais wa awamu ya pili, lakini rais Nyerere alitawala kwa miaka zaidi ya 20.

Hivyo hii ni awamu ya sita.

The Hassan administration.
 
Hapana!
 
Umeeleza vizuri sana. Awamu huendana na rais anayefuata.
 
Awamu maana yake ni awamu za uchaguzi.Rais anayeingia kwa uchaguzi ndiye anayepewa awamu.Awamu hii ni ya Magufuli isipokuwa Samia amechukulia katikati kabla Magufuli hajamaliza,Hivyo awamu inabaki ya tano ila rais ni wa sita.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Ujuaji mwingi alafu hujui kitu!!!
Kila Rais ana awamu yake, ungejua kwanza maana ya awamu usingeandika ulichoandika.
Samia ni Rais wa Sita (Awamu ya sita)
Acha upuuzi hiyo awamu ya sita uchaguzi uliitisha wewe? Unaelewa maana ya awamu?
Awamu maana yake ni awamu za uchaguzi.Rais anayeingia kwa uchaguzi ndiye anayepewa awamu.Awamu hii ni ya Magufuli isipokuwa Samia amechukulia katikati kabla Magufuli hajamaliza,Hivyo awamu inabaki ya tano ila rais ni wa sita,Uchaguzi ujao ndio utakaomuweka rais wa awamu ya sita.Usijifanye mjuaji kumbe hujui.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Uchaguzi na mapinduzi ndivyo hubadilisha awamu, hivyo ni ya 5.
 
Kwanini sasa Ali Mwinyi ni wa awamu ya 3 Zanzibar? Usipoelewa hadi sasa nikuachie ujuavyo na uwe na amani. Una uhuru wa kuelewa au kutotaka kuelewa. Usiwe na shaka, nitaheshimu mtazamo wako.
 
Kwa maelezo yako Nyerere kwa hiyo alikaa awamu 2 na nusu yaani miaka 25 maana kama ulivyosema awamu 1 ina mihula 2 yaani miaka 10, inakuaje mpaka sasa jpm alikua wa awamu ya tano?
Ndio, Nyerere amekaa awamu mbili na nusu kwa formula ya sasa. Yaani Rais wa kwanza kwenye awamu 2.5!
 
Mwandishi alitakiwa awe mgambo wa jiji maana akili yake haiwezi kutafakuri
Mgambo wa Jiji anasema kuwa ukomo wa chini wa Rais madarakani ni miaka 8 na ule wa juu kabisa ni miaka 12 kutokana na mazingira. Endapo Mhe. Hayati Dr Magufuli angekuwa kabakiza miaka miwili muda wake uieshe, basi Mhe. Samia Suluhu angemalizia kwanza awamu ya 5 halafu angewania yake ya 6. Lakini kwa sababu ilikuwa zaidi ya miaka miwili, basi hii ni awamu ya 6 yenye miaka 9 na miezi kadhaa.
 
Samia ni Rais wa ngapi?
Jibu utakalopata ndiyo awamu yake pia hiyo. Hilo neno awamu linawachanganya wengi na mnajikuta mnabisha bila kujua!
 
Ndio, Nyerere amekaa awamu mbili na nusu kwa formula ya sasa. Yaani Rais wa kwanza kwenye awamu 2.5!
Daaah! Huko shule (kama kweli umepita) husa mnaenda kufanya nini!!?? Inasikitisha sana Tanzania yangu.
 
Miaka 9 inakujaje!!?? Vipi kama asipogombea 2025 hiyo miaka 9 itakuwa imetimia!?
 
Kweni nimeandika kuuwawa peke yake Mimi nilipigwa hadi kupoteza fahamu kwa kosa la kumpelekea chakula msimamizi wangu wa Chadema wakati wa Uchaguzi mkuu uliovurugwa
Embu tuondolee utopolo wako we pumbaf na hicho chakula chako kimba wee
 
Je, hotuba fupi ya Mhe. P. Mangula, Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa upande wa Tanzania Bara, inatoa mwanga zaidi juu awamu na mihula ya uongozi wa juu wa nchi?

 
Ingekua hivy

Ingekua hivyo iwapo tunge review katiba! Nyerere umsemae umeshafikiri alikua kwenye mzingo upi kikatiba dhidi ya muda wa utawala, alikanyaga katiba kwa kutawala miaka 20?
Ni wazi hapa kuwa Kuna kitu rahisi unashindwa kukuelewa mpaka nashangaa kwanini ujiite mwalimu. Umeelezwa humu kuwa neno awamu halijatajwa kwenye kipengele chochote cha katiba kinachohusu muda wa Rais madarakani. Neno awamu kwenye siasa zinazohusu muda wa Rais madarakani limetungwa tu ili kwa maslahi ya aliyelitunga na wanaolitumia.

Hapa kwetu mpaka sasa limetumika mara sita kutaja vipindi walimo Marais waliyopita na WA sasa lakini sio takwa la kikatiba. Unapozungumza habari ya kubadilisha katiba ili neno awamu litumike kikatiba unamzungumzia utopolo, hakuna mashiko hapo.

SSH angeweza kujiita Rais wa awamu ya sita au ya tano. vyovyote hakuna kosa. Lakini SSH amejitanabaisha kuwa yeye ni Rais wa JMT wa awamu ya SITA. wapi pagumu kuelewa hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…