Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Hapana! Awamu inaendana na kuisha na rais anayetawala. Hata Magufuli angetawala miaka 20, yaani mihula minne, bado angeitwa rais wa awamu ya 5.
Ni kama ambavyo Nyerere alitawala zaidi ya miaka 20 na bado akabaki kuwa wa awamu ya kwanza. Samia ni rais wa 6 awamu ya 6! Ali Hassan Mwinyi alitawala Zanzibar muda mfupi sana na bado akawa rais wa 3 awamu ya 3!
Ni kama ambavyo Nyerere alitawala zaidi ya miaka 20 na bado akabaki kuwa wa awamu ya kwanza. Samia ni rais wa 6 awamu ya 6! Ali Hassan Mwinyi alitawala Zanzibar muda mfupi sana na bado akawa rais wa 3 awamu ya 3!