Mwanume halipiwi ticket za ndege, chakula na malazi kaka..We kenge tulia wanaume wanpoongea wanajua fika kuea Mbowe ni mfuaji
Wanaomuogopa Lissu ni wala RUSHWA na wababaishaji.Sana. Mtu wa hivi ni mzuri sana. Nyeupe anasema nyeupe, hana kona kona, hana mambo ya rushwa, etc. Sema kwa mazingira yetu kuwatambua watu wa hivi na kuwathamini ni ngumu sana, ndio kwanza ataonekana ni adui.
Ni vizuri ukayatolea ushahidi madai yako.Ila ana chembechembe za choyo na husda!!
Na anajua mambo mengi sana ya Mbowe yaliyojificha ila alikuwa anamsitiri tuLissu ni muwazi sana sana.
Lissu anamstahi Mbowe lakini mbowe akiendelea kutaka Ligi na Lissu au Mbowe ashinikize uchaguzi uahirishwe hapo ndipo Lissu atatiririka na kuanika UOZO wote wa Mwenyekiti.Na anajua mambo mengi sanaa ya Mbowe yaliyojificha ila alikuwa anamsitiri tu
Na wewe ni chawa wa Lissu siyo?? Unaunga mkono hata mambo ya kijinga kwa sababu ya uchawa wakoLisu haropoki chochote anaongea ukweli risasi hazijagusa ubongo anaongea ukweli kwa Akili yako ndogo ya uchawa kwa mbowe umekariri anaropoka, hakuna cha kuropoka hapo nali ukweli mmeugeuza eti ni kuropoka, hiki ni kipindi cha kampeni kila mmoja lazima aongee udhaifu wa mwenzie, sasa mapungufu udhaifu wa mbowe hamtaki ijulikane kwa kisingizio cha kijinga kuwa ni siri za chama?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Migambo wanaruka na kukanyaganaKwa hili Lissu ni mshamba sana,
Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.
Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.
Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....
Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.
Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..
Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Dogo Machame moja Siyo?Kwa hili Lissu ni mshamba sana,
Zipo Bislashara kibao wamiliki ni ghosts for a reason.
Mazingira yeyote ya kuweka biashara zako wazi ukiwa kwenye siasa ni kitafuta kujimaliza.
Wapo wengi sana duniani hawaonekani kwenye list yeyote ya legal business lakini ni matycoon.
Yeye hajawahi fanya biashara and he knows nothing about it.....
Atulie aombe michango achangiwe aache bla bla za kishamba.
Hashangai ni yeye tu anazungusha bakuli kuomba mia mia wenzake daily Dubai, Nairobi, Dar, US etc..
Wewe unaish kwa free meal ya special political asylum card bwana wacha kujilinganisha na kila mtu.
Je.,hizo tu ndio zinatoa mamilioni yoteKumbe Mbowe Hotels hazina TIN number? Yale mashamba aliyoharibu Byakanwa na zile biashara lissu alizowahi kiri Magufuli alimharibia Mbowe kumbe ilikua uongo?
Ikungi moja Mkuu.Dogo Machame moja Siyo?
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.
Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?
Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.
Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.
Pia, soma:
Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Lissu akikuchukia anakupakazia na kukuzushia kitu chochote.Kumbe Mbowe Hotels hazina TIN number? Yale mashamba aliyoharibu Byakanwa na zile biashara lissu alizowahi kiri Magufuli alimharibia Mbowe kumbe ilikua uongo?
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu. View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu. Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe? Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake. Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya. Pia, soma: Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan... Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Wakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu. View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu. Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe? Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake. Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya. Pia, soma: Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan... Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Mbowe kamttoa mbali lissuWakuu, Tundu Lissu alipofika Uwanja wa ndege, amehoji chanzo cha fedha kwa baadhi ya watu.
View attachment 3194290
Tundu Lissu amesema, "Ni muhimu tukajua, katika Mazingira ya Tanzania halisi hii, haya Mamilioni haya yanatokea wapi na ni salama kiasi gani? Kama mtu ana biashara Nchini au Nje ya Nchi, kuna biashara ambayo huwa haijulikani? Kuna Biashara isiyokuwa na TIN number, isiyokuwa na Leseni, isiyokuwa na jina isiyokuwa na Ofisi Mahali, isiyokuwa na Bank account? Ipo? Niambieni." Mwisho wa kumnukuu.
Je, haya maneno yanalenga Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe?
Sababu ndo huwa anasema ana biashara zake.
Kuna Kipindi Paul Makonda alishindwa kujua Mbowe anafanyabiasha gani hadi akahisi anafanya biashara za madawa ya kulevya.
Pia, soma:
Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa
Nikishatoa wew utapata nini?Ni vizuri ukayatolea ushahidi madai yako.