Je, Tundu Lissu atakutana na Rais Samia Suluhu Ubelgiji?

Upelelezi Gani wakati waliomshambulia ni Makonda kwa kutumwa na marehemu shetani aliyezikwa chato.

Nimefurahi sana magazeti pendwa kufunguliwa. Duh jamani tulikuwa jehanum

Marehemu aongezewe moto mwingi huko aliko.
 
Itakua vyema Lisu akiomba kukutana na Raisi, inaweza kuwa moja ya hatua ya kesho nzuri ya Mwamba Mbowe
 
Kwani Lissu ana ugomvi wowote na mama?
 
Ujumbe wako hapa ni upi hasa.
Ujumbe wangu ni kwamba siasa is complicated. Kuna mengi huwa yanaendelea nyuma ya pazia kuliko unayoyaona. So mtoa mada kuuliza kama Lissu anaweza kukutana na Suluhu, jibu ni kwamba it is very possible.
 
Ujumbe wangu ni kwamba siasa is complicated. Kuna mengi huwa yanaendelea nyuma ya pazia kuliko unayoyaona. So mtoa mada kuuliza kama Lissu anaweza kukutana na Suluhu, jibu ni kwamba it is very possible.
Issue ya ngorongoro imemchanganya mama, anaenda kuomba tuition kea lisu
 
Tundu Kama Tundu Hana Tatizo. Sema wanamuogopa wao wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…