Je, Tundu Lissu atakutana na Rais Samia Suluhu Ubelgiji?

Mwenzako Samia kashatengeneza Political Mileage na kafungulia magazeti na hii itakuwa ndio wimbo wake huko ulaya. Endelea kubwabwaja.
 
Haya ndio Maswala magumu yanafanya Wakuu wa Nchi wasikutane na Lissu.
 
Ila Mama Samia isingekuwa miccm inayomharibia alikuwa a Roho nzuri sana.
 
Ila Mama Samia isingekuwa miccm inayomharibia alikuwa a Roho nzuri sana.

Sana tu, ndiyo maana tunaona hatua zake Rais Samia Hassan za kujaribu kujinasua kutoka legacy ya utawala wa kimabavu wa awamu ya 5.

Ana mtihani mkubwa Rais Samia Hassan kwani kuna wahafidhina wanaomuabudu hayati mwendazake JPM hawataki kuona mkono wa kheri anaoanza kujaribu kutoa kwa watanzania wenzie wenye mawazo mbadala badala yake wanahamu kuona jinamizi la mabaya ya JPM yamnganganie pia kumuongezea uzito yamburuze na kumchelewesha.

Hii yote ni njama za gang la wahafidhina walioachwa yatima na JPM kumzuia Rais Samia Hassan kujibainisha kuwa yeye Rais Samia Hassan ajisimamie mwenyewe kuwa haafiki mabaya yote yaliyotendeka ktk awamu ya tano kwa kisingizio cha uzalendo feki na kutamani Tanzania mpya inayoshirikisha waTanzania wote bila kujali tofauti zao za kisiasa, mawazo na nia ya kuwa raia huru katika nchi yao.
 
Rais SSH hana chuki na mwenyekiti mwenza wa chama cha demokrasia na maendeleo, rais ameonyesha muelekeo mwema wa uhuru wa kutoa mawazo, uhuru wa vyombo vya habari na ulinzi wa wananchi
 
Mwenzako Samia kashatengeneza Political Mileage na kafungulia magazeti na hii itakuwa ndio wimbo wake huko ulaya. Endelea kubwabwaja.

she is the head of the state, ana hiyo mamlaka..

asingeyafungulia bado ungepiga kabobo tu..
ameyafungulia unapiga kabobo tu..
 
PIGA, UA, GARAGAZA ni lazima wakutane...

Siyo tu na Tundu Lissu bali na wakimbizi wa kisiasa wote i.e Godbless Lema, Roma Mkatoliki, nk walioko uhamishoni tokana na kukimbia utawala katili wa Mwendazake John Pombe Magufuli wanaweza kuwasili Ubelgiji wakati wowote kwa ajili hiyo...

Na mkutano huo utawezeshwa kuwepo na serikali ya Ubelgiji pamoja na mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za wakimbizi wa kisiasa...

Kumbukeni pia ombi la Tundu Lissu mwezi April, 2021 la kutaka kuongea na Rais Samia na kukubaliwa lakini tokana na figisu figisu fulani hapo katikati toka kwa wahuni walio ktk circle ya kumshauri Rais wakavuruga ile appointment. Sasa inakwenda kutokea....

Angalieni na kuisoma vyema Press Release ya Ikulu kupitia msemaji wake Zuhura Yunus, inatoa ujumbe fulani kwa wafikiriao vyema...

For instance, PR hiyo imesema kila kitu ambacho Rais atafanya akiwa Ufaransa. Lakini anakwenda kufanya nini Ubelgiji, PR iko kimya. Mpaka hapo, akili kumkichwa..!

Huyu mwanamke (Rais Samia) anaweza kuwa very intelligent. Ameshagundua kuwa kuna watu ndani ya inner circle yake ya ushauri wanamhujumu. Sasa ameamua sometimes ajiongeze mwenyewe...!
 
Huo ubongo wako ni mzigo tu kichwani. Nakushauri utoe
 
Reactions: Pep
Anaweza kukutana nae kama diaspora wengine kawaida tu.huyo mtu wenu kule ni Mkimbizi wa kawaida tu hana lolote.
 
Mh Lissu ile mashine, wanaweza kukutana ili Hali liwepo Jambo la msingi vinginevyo mh Lissu hauwezi angaika na kuacha Mambo yake, chezea lissu wewe
 
Sidhani kwa akili za TL anaweza kwenda kukutana na mama. Sababu kubwa ambayo lisu nilivyomprofile ni kwamba kina lisu wameomba kukutana na mama muda mrefu hata kina mnyika wanaomba hayo lakini walikuwa wakipuuzwa sasa Lissu ataona ni kama kujipendekeza wakati yeye anataka haki itendeke.

Na kama wakikutana ni sababu mabeberu watafurahi Lissu akikutana na mama chini ya mediators wa Umoja wa ulaya. Asikwambie mtu ukiwa upande wa mabeberu kuna raha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…