Mkuu mbona kama umekasirika ? Pia upo sahihi.Ww unajua utoafuati wa ualimu ni kitu Gani ? Yaani huyo anayefundisha nursery, primary , secondary, chuo.
Hadi useme asomee wa watoto wadogo, mwalimu ni mwalimu no matter utamkuta level Gani au unafikr huo wa watoto unasomwa week 1 sio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] ni umaskini wa kufikiri.
Wangejua miongoni mwa kazi ambazo hata Mungu anaweza toa thawabu juu ya kile wanachokifanya duniani mwalimu hakosekani kwenye hiyo list.
Hv unajua kumfanya mtu ajue kuandika na kusoma Tena Kwa lugha ambayo hakuzaliwa nayo sio kitu Cha kudharau sema basi tu.
Kumfanya mmasai, mgogo, mmakonde, Muha n.k anaongea English imenyooka kama mzungu nyieeeee nyieee acheni dharau na kazi za watu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kumfanya mmasai, mgogo, mmakonde, Muha n.k anaongea English imenyooka kama mzungu nyieeeee nyieee acheni dharau na kazi za watu
Upo sahihi mkuu hasa SHERIA. Unakuwa unatiii tu.Vitoto vyangu 2 sijawahi kusikia wameropoka kuwa wanataka kuwa walimu.
Yaani bora kazi yangu ya kushika bunduki huyu wa miaka 7 anaipemda sana.
Najitahidi kumkemea ila kakomaa hayumbishwi.
Nadhani ni utoto.
Ila ni heri MWALIMU kuliko askari.
Akuna mtu timamu anayejivunia matatizoFor sure kada ya kipumbafu Sanaa hii although ndo inanipa kula Ila NI ya kipuuzi HAKUNA mwalimu anaejivunia kua mwalimu
Ualimu ni shida uko akuna posho, akuna pesa ya kinywaji, akuna pesa ya pango, pesa ya likizo mbaka uende ukadeki pagala la mkurugenzi na akuchapie mkeo ndo upate, promotion mbaka ukaroge, seminar mbaka umuonge mkuu wa shule na afisa elimu, kusimamia mitihani 10% Kwa mkuu, kuenda mark mbaka yesu aludi, mikwara kibao shule aina computer lakini mkurugenzi anataka mtoe A za SoMo la computer, ata mjumbe wa nyumba kumi bosi wako anaweza akaja shule akakufokea Kwa Nini ofisi chafu aujadeki na ikiwezekana kama una kimwili kidogo anakulamba na viboko vitatu vya nguvu, pesa ya mwenge utaki unataka utatoa, makato ya Cwt unayataka uyataki itakatwa TU lete fyoko ushughulikiwe
Huo utoto wa kizamani sanaAkuna = [emoji777]
Hakuna = [emoji3514]
Ualimu,fani za afya,vyombo vya usalama kasoro Tiss na fani za ujenzi,mifugo nk ni kazi za maskiniLeo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.
Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.
Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.
Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..
Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
Watakuwa walimfelisha 😂😂😂😂Sijui walimfanya nini wakati anakuwa huko kijiji cha mpwayungu
Alikuwa mtoro huyo anatorokea kijiji cha jirani kinampanduWatakuwa walimfelisha 😂😂😂😂
Kwa sasa walimu ndio Kada yenye watumishi wenye maisha mazuri na yasiyo ya kufeki. Wana nyumba zao. Wana magari yao na watoto wao wanasoma shule nzuri. Hawaibi hela ya Serikali Ili "kufeki life" bali wanachukua mikopo kwa mishahara yao na wakati mwingine wachukua mikopo ya kausha damu Ili maisha yaende na kiukweli wanainjoi kuliko Kada zingine. Na wakistaafu, maisha yao hayabadiliki sana kama wale wenzangu na mie waliofeki life wakiwa kazini!Leo nimejisikia vibaya Sana baada ya kumsikia Mzazi mmoja akimgombeza Mtoto wake aliyekua na ndoto ya kusomea ualimu, maongezi yao yalikua hivi.
Mtoto: baba Mimi nataka kusomea ualimu.
Baba: hivi umechanganyikiwa? yaani uende ukawe Mwalimu? Walimu Wana maisha gani? Eeeh! Wana kipi Cha maana? Sitaki kusikia hizo habari zako Bora ukaombe chuo Cha diploma uombe hata clinical officer nitalipa ada.
Yale maneno yamenifanya nitafakari Sana, kundi la walimu linaonekanaje? Mbona wapo wengi wenye uwezo? Hivi Kuna mtu yoyote anatamani angelikua Mwalimu? Je kutopewa heshima kwa walimu inasababishwa na nini? Je ni ugumu wa kazi? Au salary ni ndogo? ..
Mwisho, unaweza kuruhusu mtoto wako asomee ualimu?
Hata mimi sijawahi kuona wala kusikiaNi kweli.
Uliona mtoto wa tajiri gani anasomea ualimu!!
Hivi mwalimu mnamchukuliaje nyie wapuuzi???? Imani yangu ni kwamba wanaowakashifu walimu hawana kazi yoyote iwe ndani ya public sector au private sector. Kuna kada nyingi wanafanya kazi za kawaida na wameajiriwa na serikali ila hamuwasemi.Embu fikiria, waalimu wanaenda kukopa wenyewe kwenye hizi micro finances halafu wanaelalamika kwa DED kuwa micro finances zinawapa mikopo kandamizi.
Sasa mtu unajiuliza, hivi nani aliwalazimisha kwenda kukopa? Na mkopo usio kandamizi ni ipi?.
Wengi wa waalimu wana matatizo binafsi wame relax sana, wanapenda dezo za kijinga ndio maana wanadharaulika.
Acha uhuni mkuu. Heshemu kazi ya mtu. Kama wewe hujivunii kuwa mwalimu ni wewe tu usiwasemee wengine brother.For sure kada ya kipumbafu Sanaa hii although ndo inanipa kula Ila NI ya kipuuzi HAKUNA mwalimu anaejivunia kua mwalimu
Waalimu mnazingua sana, na mkiambiwa ukweli mnalia lia tu. Hilo nililolisema hapo juu limetokea sehemu nyingi za hii nchi na wakuu wa wilaya na ma ded wamewahasa sana wqlimu muache kukopa kopa hovyo.Hivi mwalimu mnamchukuliaje nyie wapuuzi???? Imani yangu ni kwamba wanaowakashifu walimu hawana kazi yoyote iwe ndani ya public sector au private sector. Kuna kada nyingi wanafanya kazi za kawaida na wameajiriwa na serikali ila hamuwasemi.
Acha matusi wapo walimu tunaishi nao, Kuna walimu wamekopa mpaka card wameiacha maboto, hapa tunatafuta soln hatutafuti mchawiHivi mwalimu mnamchukuliaje nyie wapuuzi???? Imani yangu ni kwamba wanaowakashifu walimu hawana kazi yoyote iwe ndani ya public sector au private sector. Kuna kada nyingi wanafanya kazi za kawaida na wameajiriwa na serikali ila hamuwasemi.