Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Naomba mtu mmoja apitie ninayoandika then aniambie mi ni mtu wa namna gn na pia na haiba ipi
Akiwa sahihi 80% aniruhusu nim-PM apate muamala wa Moja baridi Moja moto

🙏Npo serious
 
Kama wewe hapo umebold maandishi, mtaani huko inaonyesha utakuwa unapenda sana kufokea watu. Asbh mpk usiku we ni kufoka tu 🤣🤣🤣
Ni wivu tu 😆😂

Aah sijui nimekuwa addicted au ndio nilivyozoea
 
Sema hapa umenena pia...unaweza muona mtakatifu kumbe m$enge tu...wengi hujificha humo
Una matusi mengi wewe mkuu, kwa hio unawaona watakatifu kumbe wanapumuliwa visogoni?
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Hapana.

Sijasoma content, nimejibu title
 
Back
Top Bottom