Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Umeongea kwa hisia sana vipi ikatokea kuna jamaa mnyoa kiduku ndio anayemfikisha demu wako kihisiaMuda si mrefu nimeombwa kubadilisha mtungi wa gesi, kwenda kesho saluni kusuka rasta, wiki iliyopita kodi iliisha nikamlipia ya miexi 6, nyie acheni tu.
Ngoja nirudi nyumbani kwa shemeji yenu.
Ajakujibu tu kantriiiwiizee warap Gaddafi 😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787] subiri nimuulize mwanasheria wangu Kantri
Ajakujibu tu kantriiiwiizee warap Gaddafi [emoji28]
[emoji23][emoji23]Achana na kuchangia uzi hebu tuma ile pesa kwanza [emoji2222]leo furahi day
Cute wife ameifanya hiyo kazi kwa muda mrefu hadi akaangukia kwa mzungu kigamboni, nitajitahidi kumtoa huko. Huyu ni almasi mchangani, ukiisafisha unapata mali safiAjakujibu tu kantriiiwiizee warap Gaddafi [emoji28]
Hakujui vizuri huyo, telegram una group kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hausahau? Countrywide njoo unisaidie kunijibia kuna mtu anataka kuhakikisha kitu [emoji2222]
That's my opinion my sister, sio kwamba ndio dunia yote inawaza hivyo ila kwangu mimi wanawake wote nishawaweka kundi hilo isipokuwa mama yangu mzazi hivyo ondoa shaka.Sijatetea mtu. Nmesema kama umeamua kuchagua bumunda lako likupasue kichwa usijumuishe wanawake wote
Basi kazi ipoEeee! Ndiwoo [emoji6]
Hakujui vizuri huyo, telegram una group kabisa
Basi kazi ipo
Cute wife ameifanya hiyo kazi kwa muda mrefu hadi akaangukia kwa mzungu kigamboni, nitajitahidi kumtoa huko. Huyu ni almasi mchangani, ukiisafisha unapata mali safi
Kwan mama ako mwanaume jaman. Ila nmefurah kama unajua mamako mwanamke bora basi wapo bora pia. Asubuh njemaThat's my opinion my sister, sio kwamba ndio dunia yote inawaza hivyo ila kwangu mimi wanawake wote nishawaweka kundi hilo isipokuwa mama yangu mzazi hivyo ondoa shaka.
Hahahah basi tutaniane hivyo hivyo[emoji2222][emoji2222] Usichukulie serious mimi natania!
Ila mwanamke aliyepooza km uji uliopoa anaboa, wa tozo tumechachuka! Weka chuma niweke chuma mambo bulibuli [emoji6]