Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Wakati wa Mungu ni sahihi,

Kwa Mungu hakuna kuchelewa wala kuwahi,

Stand strong.
Kweli kabisaa

Na kwa Mungu hakuna kukosa mwenza, labda umkatae mwenyewe (kwa kujua au kutokujua).

Isaya 34:16
Tafuteni katika kitabu cha BWANA mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.
 
Okay huwa mnasema ni sawa kwa mwanaume kuwa malaya si ndio, je vipi hayo masuala ya kiroho huwa yanachagua jinsia au, au hii imekaaje
Mkuu sija wahi halalisha hicho kitu, sheria ni msumeno why ikate upande mmoja???.
Kama wote mko njia sahihi ni vizuri, na sio Eti mmoja ni royal Afu mwingine burudani kwa wote.

Masuala ya kiroho haya chagui jinsia au umri, ni Kama magonjwa je Yana chagua mgonjwa!!
Ili tuwe na jamii Bora, lazima wote tuwe committed.
Na masuala Kama haya ni matokeo mabovu ya misimamo ya mtu. Jadda
 
Hahahahaha...zitandike usizione huruma maana zenyewe hazina huruma
Ah kabisa wacha nizigegede kwa kweli maana kwanza ni tamuuu na usemavyo hazina huruma kabisa so na mie hapana kuzionea huruma. Nikuzipelkea moto na kibamia changu hiki
 
Wewe ni mdogo angu na unajua fika kaka yako siwez shindwa kulea mkeo na katoto kamoja viwili wewe ukiwa bado unajitafuta kama kisingizio ni maisha .maana ndio sababu pekee vijana watakuambia ukiwauliza kwann hawaanzishi family

Naona unanikanya hadharani na kiutuzima 😁😁😁
Uzuri address zako zote ninazo, nitarajie mlangoni pako, iwe home au ofisini muda wowote kuanzia sasa maana umeongea kibabe sana 😁✊🏽✊🏽
 
Nitafute najitolea ili upate mtoto [emoji1787]
 
Yah, ni vyema ukamuacha tu ili walau mada iendelee kuwa salama zaidi ktk mijadala.
 
Miaka yetu pia tulianza na miaka saba.
Sasa hiyo 24 yako ni kwa sababu haikutokea ukarudia darasa au ukapita diploma na pia degree yako pengine ilikuwa ya miaka mitatu. Kunq watu wanamaliza form four tu wanamiaka 20
Umenchekesha sana mkuu.
 
Kaa huko huko kiongozi..kwani mtu ukifa haujazaa shida ni nini.jamani hamuitaji kwenda mbinguni
 
Naona unanikanya hadharani na kiutuzima 😁😁😁
Uzuri address zako zote ninazo, nitarajie mlangoni pako, iwe home au ofisini muda wowote kuanzia sasa maana umeongea kibabe sana 😁✊🏽✊🏽
Will be waiting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…