antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kweli kabisaaWakati wa Mungu ni sahihi,
Kwa Mungu hakuna kuchelewa wala kuwahi,
Stand strong.
Na kwa Mungu hakuna kukosa mwenza, labda umkatae mwenyewe (kwa kujua au kutokujua).
Isaya 34:16
Tafuteni katika kitabu cha BWANA mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.