Kwani amefanyajeDr am 4 real PhD Kaka una endeleaje??
Sawa totoo๐๐, ume kataa ukubwa๐คฃSikutanii ๐๐คฃ hizo juice sijanywa
Any of mango juice ambazo sio natural sijawahi kuzipenda.
Ali sema kapata ajali, kavunjika mguuKwani amefanyaje
Vilikua vitamu ๐๐๐ it holds aa lot memories ๐Tangazo kwa ufupi๐๐
View attachment 2903670
Hahaa si ndio + Bel Air S3Hajui una subiri season 2 ya one piece๐๐
View attachment 2903693
Hahaha duu sasa ukichanganyikiwa familia itaanzishwa na nani...hivi nimeandika kuchanganyikiwa?? Duu hapana uanze kuwazia wazia familiaHaha kwahiyo 25+ tunatakiwa tuanze kuchanganyikiwa?
Itakua maana noana wanao mu admire ni kibao humu jukwaani.... ๐ ๐๐๐๐๐๐๐. Nimecheka balaa labda anazima PM
Wana jf sio watu wazuri๐๐คฃItakua maana noana wanao mu admire ni kibao humu jukwaani.... ๐ ๐
Depal ona huyu๐คฃ๐๐, hayaVilikua vitamu ๐๐๐ it holds aa lot memories ๐
Palina una itwa Huku๐๐๐๐Hahaa mwambia aolekechap, namsubiria afungue njia
Motivational speakers bana, sasa huyo right person angekuwepo angekaa hadi hiyo 30s?Speaking from personal experience..
When approaching 30s kweli pressure ilikua just sana. And I always had a vow kua nkifika 30 I'm gon have a family regardless of my financial status.
By 29, hakuna ramani ilikua inasoma. I told my girlfriend, darling, we need to have a baby,. Akashangaa. Nkamwambia, life ni tight, yes sina life poa sana but sasa hv ndo nina nguvu
Alikataa, baadae around 31 huko akakubali, kimbembe kikaja hakukua na mimba. Tried a whole year b4 bein succesful.
to be honest, with time you get used to it, but mtoto anakupa changamoto ya kupambana zaidi. Every day I wake up at 5 a.m and my little girl anakua macho pia, we have our moments n I leave kwenda kwenye harakati. Its a good feeling wouldn't trade it for nufn.
So financial services, don't sweat it. Cha muhim upate the right person, ul never feel like you are late, it will be a start to the best chapter of your life
Kumbe huwa hajibu? Baasi hakuna cha kumsaidia...Ila Kalpana mwambie financial services ajibu pm zangu 5 bhana๐ค๐
Sema hii tunawahukumu bure dada zetu sometimes sio kila anaemtafuta ana nia nzuri, kamamimi majuzi nilipata namba lengo langu wala sio niunge nae mahusiano ya kweli bali nipite tu(Mungu anisamehe) kwa kuwa bado sijamla namghairi.Kwa nyie wadada mlio tayari kuolewa ile first time mtu anakusemesha au anakutafuta privately kuwa nayo makini sana. Mwanaume haji private pasi na kuona au kuwaza chochote. Ktk hicho chochote unaweza kupata mwenza wa maisha.
Kuna comment kama 3 nimeziona zikimlaumu mtoa mada kuwa alitafutwa lakini hakutafutika. Inawezekana ni utani. Lakini waswahili wanasema kuwa makini sana na utani, sik hizi ukweli hupitishwa ktk utani.
Natania bhana๐๐คฃ๐คฃ๐, financial services ni mwana kiroho safiKumbe huwa hajibu? Baasi hakuna cha kumsaidia...
Au maybe wengi mnaendaga kumchora tuu jamani
Wewe ruka ruka tu.Haha kwahiyo 25+ tunatakiwa tuanze kuchanganyikiwa?
Umebakisha mingapi uanze kupanic mama!!Kwani amefanyaje
๐๐ Vijana wanasupport kataa ndoa jamani. Sa tunatoboaje?Wewe ruka ruka tu.
If you can't beat them, Basi join them๐๐๐๐ Vijana wanasupport kataa ndoa jamani. Sa tunatoboaje?