Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Kwani amefanyajeDr am 4 real PhD Kaka una endeleaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani amefanyajeDr am 4 real PhD Kaka una endeleaje??
Sawa totoo😆😂, ume kataa ukubwa🤣Sikutanii 😂🤣 hizo juice sijanywa
Any of mango juice ambazo sio natural sijawahi kuzipenda.
Ali sema kapata ajali, kavunjika mguuKwani amefanyaje
Vilikua vitamu 😚😚😚 it holds aa lot memories 🙏Tangazo kwa ufupi😆😂
View attachment 2903670
Hahaa si ndio + Bel Air S3Hajui una subiri season 2 ya one piece😂😂
View attachment 2903693
Hahaha duu sasa ukichanganyikiwa familia itaanzishwa na nani...hivi nimeandika kuchanganyikiwa?? Duu hapana uanze kuwazia wazia familiaHaha kwahiyo 25+ tunatakiwa tuanze kuchanganyikiwa?
Itakua maana noana wanao mu admire ni kibao humu jukwaani.... 😂 😂😂😂😂😂😂😂. Nimecheka balaa labda anazima PM
Wana jf sio watu wazuri😂🤣Itakua maana noana wanao mu admire ni kibao humu jukwaani.... 😂 😂
Depal ona huyu🤣😂😂, hayaVilikua vitamu 😚😚😚 it holds aa lot memories 🙏
Palina una itwa Huku😆🏃🏃🏃Hahaa mwambia aolekechap, namsubiria afungue njia
Motivational speakers bana, sasa huyo right person angekuwepo angekaa hadi hiyo 30s?Speaking from personal experience..
When approaching 30s kweli pressure ilikua just sana. And I always had a vow kua nkifika 30 I'm gon have a family regardless of my financial status.
By 29, hakuna ramani ilikua inasoma. I told my girlfriend, darling, we need to have a baby,. Akashangaa. Nkamwambia, life ni tight, yes sina life poa sana but sasa hv ndo nina nguvu
Alikataa, baadae around 31 huko akakubali, kimbembe kikaja hakukua na mimba. Tried a whole year b4 bein succesful.
to be honest, with time you get used to it, but mtoto anakupa changamoto ya kupambana zaidi. Every day I wake up at 5 a.m and my little girl anakua macho pia, we have our moments n I leave kwenda kwenye harakati. Its a good feeling wouldn't trade it for nufn.
So financial services, don't sweat it. Cha muhim upate the right person, ul never feel like you are late, it will be a start to the best chapter of your life
Kumbe huwa hajibu? Baasi hakuna cha kumsaidia...Ila Kalpana mwambie financial services ajibu pm zangu 5 bhana🤒😆
Sema hii tunawahukumu bure dada zetu sometimes sio kila anaemtafuta ana nia nzuri, kamamimi majuzi nilipata namba lengo langu wala sio niunge nae mahusiano ya kweli bali nipite tu(Mungu anisamehe) kwa kuwa bado sijamla namghairi.Kwa nyie wadada mlio tayari kuolewa ile first time mtu anakusemesha au anakutafuta privately kuwa nayo makini sana. Mwanaume haji private pasi na kuona au kuwaza chochote. Ktk hicho chochote unaweza kupata mwenza wa maisha.
Kuna comment kama 3 nimeziona zikimlaumu mtoa mada kuwa alitafutwa lakini hakutafutika. Inawezekana ni utani. Lakini waswahili wanasema kuwa makini sana na utani, sik hizi ukweli hupitishwa ktk utani.
Natania bhana😀🤣🤣😂, financial services ni mwana kiroho safiKumbe huwa hajibu? Baasi hakuna cha kumsaidia...
Au maybe wengi mnaendaga kumchora tuu jamani
Wewe ruka ruka tu.Haha kwahiyo 25+ tunatakiwa tuanze kuchanganyikiwa?
Umebakisha mingapi uanze kupanic mama!!Kwani amefanyaje
😂😂 Vijana wanasupport kataa ndoa jamani. Sa tunatoboaje?Wewe ruka ruka tu.
If you can't beat them, Basi join them😀😂😂😂 Vijana wanasupport kataa ndoa jamani. Sa tunatoboaje?