Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Speaking from personal experience..
When approaching 30s kweli pressure ilikua just sana. And I always had a vow kua nkifika 30 I'm gon have a family regardless of my financial status.
By 29, hakuna ramani ilikua inasoma. I told my girlfriend, darling, we need to have a baby,. Akashangaa. Nkamwambia, life ni tight, yes sina life poa sana but sasa hv ndo nina nguvu
Alikataa, baadae around 31 huko akakubali, kimbembe kikaja hakukua na mimba. Tried a whole year b4 bein succesful.
to be honest, with time you get used to it, but mtoto anakupa changamoto ya kupambana zaidi. Every day I wake up at 5 a.m and my little girl anakua macho pia, we have our moments n I leave kwenda kwenye harakati. Its a good feeling wouldn't trade it for nufn.
So financial services, don't sweat it. Cha muhim upate the right person, ul never feel like you are late, it will be a start to the best chapter of your life
Motivational speakers bana, sasa huyo right person angekuwepo angekaa hadi hiyo 30s?
 
Kwa nyie wadada mlio tayari kuolewa ile first time mtu anakusemesha au anakutafuta privately kuwa nayo makini sana. Mwanaume haji private pasi na kuona au kuwaza chochote. Ktk hicho chochote unaweza kupata mwenza wa maisha.
Kuna comment kama 3 nimeziona zikimlaumu mtoa mada kuwa alitafutwa lakini hakutafutika. Inawezekana ni utani. Lakini waswahili wanasema kuwa makini sana na utani, sik hizi ukweli hupitishwa ktk utani.
Sema hii tunawahukumu bure dada zetu sometimes sio kila anaemtafuta ana nia nzuri, kamamimi majuzi nilipata namba lengo langu wala sio niunge nae mahusiano ya kweli bali nipite tu(Mungu anisamehe) kwa kuwa bado sijamla namghairi.

Pia mambo ya uvumilivu aisee inataka moyo sana just imagine nina rafiki yangu wa kike alidate na mchizi jamaa ni chapombe kupindukia mixer kicheche sana na wala hajali kwa lolote, Je ni halali mwanamke aendelee kuvumilia ili tatizo? Mdada alishindwa akambwaga.

Sometime wanawake waangalie nao furaha yao sio tu kumfurahisha kila mtu eti kuhofia ya mbeleni, Mwisho ndoa na watoto ni mipango ya Mungu so unaweza force na usiipate.
 
Back
Top Bottom