Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #121
Mkubwa hivyo, unaenda kwa mama kufanya nini?Kwa mama na wanangu
Aikooh! Jishaue tu π€£ π€£ π€£ utasaga manjino hayoUnajua we ni kashenzyyy ππ
Ndiyo wangu,karibu sanaKwa hio tutakula hapo kwa Mama na wanao
Kumpelekea zawadiMkubwa hivyo, unaenda kwa mama kufanya nini?
Unatakiwa uwe karibu na mtu atakayekutoa ubaridiKumpelekea zawadi
π Pisha njia msichana wanguAikooh! Jishaue tu π€£ π€£ π€£ utasaga manjino hayo
Kikatili SanaππNdo ivoπ€
Jamani sehemu nzuri nzuri sehemu special hizi za kizungu na uje nazawadi namie nitakuja nayo .We unataka tuilie wapi?
π€£ π€£ π€£ π€£ Nikishindwa vyote namuuuzia mafile yako bumunda wewe tena nayapaka na rangi mpya!! naomba na silaha za misaada nakumbuka mujibu tuliambiwa zinaitwa brain na rifleπ Pisha njia msichana wangu
Tunza hizo nguvu ukazitumie kwa Jafo ndo S. increment zije mbio mbioπ€£ π€£ π€£ π€£ Nikishindwa vyote nauza mafile yako bumunda wewe tena nayapaka na rangi mpya!! naomba na silaha za misaada nakumbuka mujibu tuliambiwa zinaitwa brain na rifle
Ivo yaan....likewise....tukutane usiku wa mananeee πKikatili Sanaππ
Weee unakuja na Maua?Jamani sehemu nzuri nzuri sehemu special hizi za kizungu na uje nazawadi namie nitakuja nayo .
Mida yetuππππ, sema siku onagi??Ivo yaan....likewise....tukutane usiku wa mananeee π
Duh! Unisaidie? Unamaanisha nini mkuu? Sijaelewa.Itabidi tukusaidie kumfariji
Unataka kutoka na sisi wote?
ππ Toa komwe hapaTunza hizo nguvu ukazitumie kwa Jafo ndo S. increment zije mbio mbio
Wewe tu unaonaje kwani?Unataka kutoka na sisi wote?